adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Tour guide alituingiza chaka akaenda kusimama pahala kumbe wajamaa upande wa pili kuna familia kuubwa hatukuona.Walikuja wangu wangu si kitoto.Tembo hawapendi makelele na haoni mbali ila ana uwezo mkubwa wa kusikia hata kama mnaongea kwa sauti ndogo, dawa ni kutulia na kukaa kimya mkiwa karibu nae,hapo atakuja kama anawatisha na akiona mumetulia anarudi alikotoka na kuendelea na shughuli zake.
Tour guide alituingiza chaka akaenda kusimama pahala kumbe wajamaa upande wa pili kuna familia kuubwa hatukuona.Walikuja wangu wangu si kitoto.
Wale wamasai wewe mzaramo nenda kawaige tutasikia kweny taarifa ya habar yaliyojiri mbuganMbona wamasai wanaishi nao na niwazima!
Hah hah tembo ni wanyama wakubwa sana, sasa tembo ambao wanaaminika kuwa ni wakubwa zaidi wapo Katavi, mkuu hao tembo mmoja akisimama utadhani ni zile nyumba/kibanda cha chumba kimoja na hata Twiga wa Katavi ni wakubwa kulinganisha na vitwiga vya Serengeti/Mikumi au Ruaha. Inaaminika wanyama wakubwa kwa maumbo wapo mbuga mbili tu Katavi na pori la selous.Tour guide alituingiza chaka akaenda kusimama pahala kumbe wajamaa upande wa pili kuna familia kuubwa hatukuona.Walikuja wangu wangu si kitoto.
Tembo mmoja alikuwa mkubwa sana si kawaida mrefu haswa kigari kileee
Selous sina mashaka nako mana niliishi sana miaka ya 90 huko.Ila kisa cha Tarangire kilikuwa cha kusisimua sana.Hah hah tembo ni wanyama wakubwa sana, sasa tembo ambao wanaaminika kuwa ni wakubwa zaidi wapo Katavi, mkuu hao tembo mmoja akisimama utadhani ni zile nyumba/kibanda cha chumba kimoja na hata Twiga wa Katavi ni wakubwa kulinganisha na vitwiga vya Serengeti/Mikumi au Ruaha. Inaaminika wanyama wakubwa kwa maumbo wapo mbuga mbili tu Katavi na pori la selous.
Halafu maporini tofauti na watu wanavyodhani ni burudani tu kuna hatari sana, ukileta masikhara unaweza kuwa kitoweo cha wanyama wakali wakati wowote, ukiwa mbugani lazima uwe mwangalifu, mimi ninachokifanya kabla sijaenda maporini kwanza ni usalama wa gari ninaloenda nalo na pia silali kwenye vihema na ikifika tu saa 12 sitoki nje ya lodge kwani wanyama huja hadi karibu kabisa na hizo lodge kwa hiyo kulala kwenye mahema kwangu ni big NO!Selous sina mashaka nako mana niliishi sana miaka ya 90 huko.Ila kisa cha Tarangire kilikuwa cha kusisimua sana.
Kuna jeraha analo mtu wa karibu sana kwa family hii ni baada ya kushutukizwa ghafla na ujio wa Simba aliyeachwa na wenzake mida ya jioni 1996 Selous huko, ule ulikuwa mtafutano si wa Dunia hii😀😀😀Halafu maporini tofauti na watu wanavyodhani ni burudani tu kuna hatari sana, ukileta masikhara unaweza kuwa kitoweo cha wanyama wakali wakati wowote, ukiwa mbugani lazima uwe mwangalifu, mimi ninachokifanya kabla sijaenda maporini kwanza ni usalama wa gari ninaloenda nalo na pia silali kwenye vihema na ikifika tu saa 12 sitoki nje ya lodge kwani wanyama huja hadi karibu kabisa na hizo lodge kwa hiyo kulala kwenye mahema kwangu ni big NO!
Simba milia???[emoji13][emoji13][emoji13] Tanzania hii??Mkuu Ngorongoro mbona ndio centa yenyewe ya chui. Kuna Chui milia, Chui madoa, na wale duma aise ni wengi huu ndio msimu wao ..njoo chap hata kesho utawakuta ..simba ndio usiseme wamezaliana kinoma, kuna hadi simba milia (tiger) wameanza kuletwa ili kuzoea mazingira ya Africa. Njo Serengeti ndio utashaaa ..hao swala wa kila aina, nyati sasa ndio balaa ..hao Punda milia ndio usiseme ..nyumbu ndio kwao kabisa kuna ndege wa kila aina Mkuu nashangaa wewe unasema ujawaona ..embu kunjua roho towa pesa uone wanyama ..ushawai kumuona live Chui Duma akimchomoa Swala ..hahha najua ujawahi kuona ..au kundi la simba likipambana na boonge la nyati ..nyati aliyoshiba haswa ..basi njo Tarangire aise utayenjoy sana.
Pitia Kwa kampuni sahihi za kitalii,, siyo unakaa siku mbili unatarajia uone kila kitu ndugu! Unadhani hao wanyama wanakuwa wamepewa taarifa kwamba unaenda? Baadhi ya wanyama Kama chui Kwa mfano,, mnaweza kumaliza hata mwezi bila kumuona! Na siyo kwamba yupo mbali au hawapo!Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.
Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!
Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!
Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.
Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Si wanasema kwenye mahema hawaleti soo?Halafu maporini tofauti na watu wanavyodhani ni burudani tu kuna hatari sana, ukileta masikhara unaweza kuwa kitoweo cha wanyama wakali wakati wowote, ukiwa mbugani lazima uwe mwangalifu, mimi ninachokifanya kabla sijaenda maporini kwanza ni usalama wa gari ninaloenda nalo na pia silali kwenye vihema na ikifika tu saa 12 sitoki nje ya lodge kwani wanyama huja hadi karibu kabisa na hizo lodge kwa hiyo kulala kwenye mahema kwangu ni big NO!
Ni mnyama mwenye aibu au bandindu, afuu uchoyo unamfanya ajificheKile eneo linasifika kwa aina ya wanayama wa aina fulani, kwahio tembelea mbuga zote ingawa chui si rahisi kuonekana hata kama wapo ni myama mwenye aibu hivyo hujificha....
Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.
Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!
Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!
Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.
Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Huko Ngorongoro creater wanapoishi wamasai jamii za simba wamepewa koo za kimasaiWamasai ni specie tofauti na wamezoeana na simba n.k, we ulishasikia hata Simba amemla mtoto wa kimasai?
Hata kula tu ng'ombe wa mmasai ni ngumu...ila ni mara kadhaa simba wanaua na kudhuru binadamu wengine
Kuna dawa wanapaka wamasai Hata wakipita jirani na simba kwa mita 3 wanakuwa kero kwa simba na wanyama wengine
Kingine wamasai wamekuwa wakiua simba mara kadha wa kadha bila risasi na simba wanajua hilo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.
Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!
Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!
Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.
Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?