Ole wako binti yao apatwe na Baya watahisi ni weweWatu tumeeenda kuoa mbeya tukaitwa chinja chinja, wanywa damu za watu.... mama mkwe analia mashangazi wanalia kwamba binti yao anaenda kunyonywa damu lakini tulikomaa na binti mpaka ndoa.
Na sasa mama mkwe na mashangazi wanayasimulia Makuu ya Mungu juu ya ndoa yetu...
Kmmk kwahiyo warangi ñdo umeona wana mambo ya hovyo?Shemegi we ni mrangi?
Unaona sasa unavoonesha mambo ya ovyo we mrangi. 😁Kmmk kwahiyo warangi ñdo umeona wana mambo ya hovyo?
Inawezekana ni mfupi kwenda juu ila mrefu kwenda chini
Ulakoze!Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.
Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!
Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji847][emoji847] tuko pamojaUnaona sasa unavoonesha mambo ya ovyo we mrangi. [emoji16]
Kumbe we ni muha?Mimi wakufananishwa na muhutu?walisema kabila letu wavivu binti yao atakufa njaa mara tutazaa watoto wafupi,washenzi Sana wale wakwe
🤣🤣🤣Mimi wakufananishwa na muhutu?walisema kabila letu wavivu binti yao atakufa njaa mara tutazaa watoto wafupi,washenzi Sana wale wakwe
😆Kmmk kwahiyo warangi ñdo umeona wana mambo ya hovyo?
Wao ni Kenge? Kwa hiyo na wewe umeamua kuwatukana Ex-wakwe zakoWalitutabiria mabaya kenge wale
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.
Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!
Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao