The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Huyo Baba ni mjingaKuna rafiki yangu kwao wako watatu Yeye ndo wakike peke yake. Baba yake alikuwa anamdharau kwasababu Ni Ke, anawapa power Kaka zake kwa kila kitu, Hadi alimtamkia live wewe Ni msichana huna chako hapa.
Saivi Kaka zake wote walevi hawana msaada kwenye familia msichana ndo anasimamia kila kitu, Baba yake nafsi ilimsuta kwa aliyosema alimuomba msamaha.
Hiyo ni kweli ( Mixing)Si vizuri kuchagua Gender. Lakini tuwe wakweli watu wengi hupenda watoto mchanganyiko.
Issue siyo mtoto wa kike, Hata ukizaa watoto wa kiume pekee huwezi kufurahia.
Ni kweli ndugu yangu.Kuwa na amani mkuu wala wasikupe tabu, ni watoto hao
Nikiwaza kwamba kuna watu hawana watoto na wanapambana sana, hujikuta sihitaji kuchagua chagua
Kuna mtu anatamani hata apate toto jambazi mradi tu ijulikane ana kizazi lakini ana bahati mbaya
Amen AmenEe Mungu, sikia kilio cha ndugu huyu anayeomba kwa imani. Umjalie kupata mtoto wa kike ili furaha yake iwe timilifu. Nakushukuru kwa kuwa utafanya hivyo, katika Jina la Yesu. Ameen
Unachekaaa wkt inabidi tuungane kwenye maombi[emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]! Amen
Nimekuelewa mkuu.Maisha tunapita tu haya mkuu na wala sio marefu
Nashukuru Mungu sina tamaa, sihitaji majumba mengi sihitaji magari mengi, sihitaji mapesa mengi, nahitaji furaha tu
Kwahiyo kukosa mtoto ingenipa huzuni lakini kupata mtoto inanipa furaha, ila kuchagua aina ya mtoto ni tamaa
Sijui kama unanielewa
Roho ya tamaa ni chanzo cha vurugu nyingi sana hapa duniani
Nafikiri unaelewa unaongea na nani
Yeah, huo ni ushauri mzuri kwake. Mimi maombi ni kama chakula kwangu. Every time is a prayer time. Tulishaagizwa tangu zamani tushukuru kwa kila jambo na kuomba bila kukoma. Watoto wangu nawaombea sana, almost daily. Na Mungu anawabariki kwa kweli.Mshukuru muumba kwa kukata kiu yako ya mtoto wa kiume, lakini kumbuka pia kumuomba sanasana huyohuyo uliyemwomba, akusaidie katika matunzo na malezi sahihi ya kijana wako, usije ukaleta ufundi wako na ukasahau wakati wa kiu yako uliekekeza kilio chako wapi.
Mimi nime🙌🙌yaan hiyo siku sijui tu...Alafu nakuaga na dalili za videmu kbs sinaga machunus au kuvimba pua..ila ndo hao tena...tuombeaneUnachekaaa wkt inabidi tuungane kwenye maombi[emoji3]
Hahahahahahahahahahahah muda wa kwenda shule ni kilio mwanzo mwisho🤣🤣! Toto had std 7 linaamshwa asbh liende shule...mbaafuHaa😃😂😁😀😆😅😄
Unammenyea Yai Analia Unampa Uji Anatupa Kikombe
Unamzaba Kofi Moja Abugie Yai
JPM
DuhHakuna kitu mbaya kwa baba kama kuzaa watoto wa kike tu. Bora mara milioni kuzaa wa kiume tu
Ndo akili za wanaume wa kiafrica!...ila basi tu watu kama hawa mm ningekuwa na nafasi🤭
Baba yangu alibahatika mabinti wa kike wa5,wakahangaika kutafuwa wa kiume,wakapata wawili.Ndo akili za wanaume wa kiafrica!...ila basi tu watu kama hawa mm ningekuwa na nafasi[emoji2960]
Huyo Baba ni mjinga
Bora na ww umeappear kutoa ushuhuda huu .wengine tuna gundu tukisema watu wnaona unajifagilia ..!Baba yangu alibahatika mabinti wa kike wa5,wakahangaika kutafuwa wa kiume,wakapata wawili.
Sasahivi mabinti ndio wanaomsaidia,wa kiume hawana msaada wowote kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila anaekuja hapa duniani anakuja na kusudi maalumu. Sisi ndo tuna wajibu wa kuamua kutimiza ama laa. Kuvuta bangi ama tabia nyingine mbovu ni maamuzi yetu tu japo mazingira wakati mwingine huwa yanachangia.Kwani anaetengeneza hatma ya maisha ya mwanadamu ni Mungu?Yaani kwa mfano uvute bangi kisha uwe teja halafu umsingizie Mungu?Akili za wapi hizi?!
Watu wanawachukulia poa watoto wa kike lakini kiuhalisia ndio wenye msaada sana kwa familia na wazazi.Bora na ww umeappear kutoa ushuhuda huu .wengine tuna gundu tukisema watu wnaona unajifagilia ..!
Hata mm babu mzaa mama alizaa12..6 wakike 6 kiume..lakinu had anafariki mwaka juz watoto wa kike ndo walikua msaada sana kwake...kuliko mamen...! Yaan kwenyr msiba wajomba walikua wanasubiri tu msos wale..mie had nipate kakike aise..wee!
😀😀 Lolote linawezekana. Wife kajiongeza kulinda ndoa yakeMnamzingua jamaa😅😅😅