Yaani mimi nihangaike kwa madaktari kusaka jinsia ya mtoto? Mimi huyu huyu nizurure kwa waganga kutaka jinsia fulani ya mtoto!!??? Yaani mimi nijisikie vibaya kuzaa watoto wa jinsia fulani!!?? Mimi huyu?
Umbumbumbu na laana ya hali ya juu sana, kuna watu hawana watoto wanaposoma maoni yenu hapa wanasikitika sana
MTOTO NI MTOTO(Nimesisitiza kwa herufi kubwa)
Halafu nina bahati na watoto wa kike tu na niko normal kabisa, mwanamke anapambana na ushauri wa kitaalamu ili apatikane wa kiume mimi ndo kwaanza nafelisha makusudi tu, akisema tarehe hizi nile vizuri, nisifanye sana mazoezi, nipumzike vizuri ndo kwaanza sina habari mwendo ni uleule
Akisema sijui siku ya ngapi tukit.iana tunapata wa kiume ndo kabisaa hiyo siku navuruga ratiba
Siwezi kutumia nguvu kubwa kusaka jinsia ya mtoto never!!!!! Acheni hizo kuna watu hawana watoto wanatamani wapate hata mlemavu
Yameniuma sana baadhi ya maoni hapa, ukute wanachagia watoto wadogo