Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mkuu ukitafuna wa wenzio na wako watatafunwa pia.
 
Yaani mimi nihangaike kwa madaktari kusaka jinsia ya mtoto? Mimi huyu huyu nizurure kwa waganga kutaka jinsia fulani ya mtoto!!??? Yaani mimi nijisikie vibaya kuzaa watoto wa jinsia fulani!!?? Mimi huyu?
Umbumbumbu na laana ya hali ya juu sana, kuna watu hawana watoto wanaposoma maoni yenu hapa wanasikitika sana

MTOTO NI MTOTO(Nimesisitiza kwa herufi kubwa)

Halafu nina bahati na watoto wa kike tu na niko normal kabisa, mwanamke anapambana na ushauri wa kitaalamu ili apatikane wa kiume mimi ndo kwaanza nafelisha makusudi tu, akisema tarehe hizi nile vizuri, nisifanye sana mazoezi, nipumzike vizuri ndo kwaanza sina habari mwendo ni uleule
Akisema sijui siku ya ngapi tukit.iana tunapata wa kiume ndo kabisaa hiyo siku navuruga ratiba

Siwezi kutumia nguvu kubwa kusaka jinsia ya mtoto never!!!!! Acheni hizo kuna watu hawana watoto wanatamani wapate hata mlemavu

Yameniuma sana baadhi ya maoni hapa, ukute wanachagia watoto wadogo
Yani wewe ndo hewa kabisa na unamfelisha mwenzako pakubwa sana. Huyo mwenzio yeye anatamani apate wa kiume ila kwa ubinafsi wako unamfelisha makusudi, kweli wewe Mfukuza ndoto kama Id yako inavyosema. Nakuhakikishia soon utagongewa ili azaliwe wa kiume maana wewe kwasasa mkeo atakuwa anakuona kama limzigo fulani tu hapo nyumbani.
 
Mimi ni kijana wa miaka 34 ninatumika kwenye Kanisa moja huku kwetu. Katika umri wa ujinga wangu, nilikuwa sipendi watoto wa kike na nilikuwa Nkiri hivyo hata tusichana twangu twa kipindi hiko tuliniogopa. Kumbe kitu kile nilikuwa najenga kitu katika ulimwengu wa Roho.

Nilioa 2012 na Mungu kunipa mtoto wa kwanza wa kike. Mungu baada ya kuniita kutumika alinionesha wapi naenda ikiwemo familia. Alinionesha kuna vibinti viwili vingine vinakuja na kuwa na watoto watatu wasichana tu.

Kitendo hiki kiliniuma na kuwa na manung'uniko. Nikitaka anipe mvulana. Aiseeer akanionesha na kuniambia, unalalamika na kunung'unika unataka mtoto wa kiume. Nitakupa ila atakuwa tanzi kwako. Akanionesha jinsi atakavyokuwa. Watu wa mbeya pale stendi ya nane nane kuna dogo mmoja mweusi mara nyingi hushirikiana na wapiga debe. Ni chini ya miaka 20 na mlevi ile mbaya, mgomvi na mla kijiti. Ndio akaniambia atanipa wa namna ile.

Kuanzia hapo, malalamiko na manung'uniko yakaisha. Nikasema bora niwe na mabinti zangu. Sasa ninao wawili wa miaka 6 na 3 na mmoja wa tatu tunategemea kumpata mwezi wa kumi mwaka huu.
 
Mimi ni kijana wa miaka 34 ninatumika kwenye Kanisa moja huku kwetu. Katika umri wa ujinga wangu, nilikuwa sipendi watoto wa kike na nilikuwa Nkiri hivyo hata tusichana twangu twa kipindi hiko tuliniogopa. Kumbe kitu kile nilikuwa najenga kitu katika ulimwengu wa Roho.

Nilioa 2012 na Mungu kunipa mtoto wa kwanza wa kike. Mungu baada ya kuniita kutumika alinionesha wapi naenda ikiwemo familia. Alinionesha kuna vibinti viwili vingine vinakuja na kuwa na watoto watatu wasichana tu.

Kitendo hiki kiliniuma na kuwa na manung'uniko. Nikitaka anipe mvulana. Aiseeer akanionesha na kuniambia, unalalamika na kunung'unika unataka mtoto wa kiume. Nitakupa ila atakuwa tanzi kwako. Akanionesha jinsi atakavyokuwa. Watu wa mbeya pale stendi ya nane nane kuna dogo mmoja mweusi mara nyingi hushirikiana na wapiga debe. Ni chini ya miaka 20 na mlevi ile mbaya, mgomvi na mla kijiti. Ndio akaniambia atanipa wa namna ile.

Kuanzia hapo, malalamiko na manung'uniko yakaisha. Nikasema bora niwe na mabinti zangu. Sasa ninao wawili wa miaka 6 na 3 na mmoja wa tatu tunategemea kumpata mwezi wa kumi mwaka huu.

Aliye anza kuwalaani watoto wa kike namchukia sana..mtoto wa kike ni dawa!kwanza ana upendo wa hali ya juu sana! Hongera mkuu kwa kumskia Mungu wako
 
.................Kama wewe ulivyo mzigo kwa wazazi wako,halafu nashangaa kwa post ya kipuuzi kama hii wapo members ninaowaheshimu sana humu wamei-like,like buttons sijui zinatumikaje humu najiuliza au ni kikundi cha watu kinaamua tu kumkubali mtu hata kwa ujinga wake basi wanaona japo kaandika ujinga ngoja ni-like aone nimekubaliana naye huku moyoni wakipinga?

Rubbish!!!
Jamaa anamaanisha huyo mtoto atalelewa kama yai na mwisho wake atakuwa mzigo. Ukiwa na akili za lumumba huwezi muelewa.
 
Naturally wanawake wengi tayari unaombea kitu adimu
 
Yani wewe ndo hewa kabisa na unamfelisha mwenzako pakubwa sana. Huyo mwenzio yeye anatamani apate wa kiume ila kwa ubinafsi wako unamfelisha makusudi, kweli wewe Mfukuza ndoto kama Id yako inavyosema. Nakuhakikishia soon utagongewa ili azaliwe wa kiume maana wewe kwasasa mkeo atakuwa anakuona kama limzigo fulani tu hapo nyumbani.
Maisha tunapita tu haya mkuu na wala sio marefu

Nashukuru Mungu sina tamaa, sihitaji majumba mengi sihitaji magari mengi, sihitaji mapesa mengi, nahitaji furaha tu
Kwahiyo kukosa mtoto ingenipa huzuni lakini kupata mtoto inanipa furaha, ila kuchagua aina ya mtoto ni tamaa
Sijui kama unanielewa

Roho ya tamaa ni chanzo cha vurugu nyingi sana hapa duniani

Nafikiri unaelewa unaongea na nani
 
Mimi ni kijana wa miaka 34 ninatumika kwenye Kanisa moja huku kwetu. Katika umri wa ujinga wangu, nilikuwa sipendi watoto wa kike na nilikuwa Nkiri hivyo hata tusichana twangu twa kipindi hiko tuliniogopa. Kumbe kitu kile nilikuwa najenga kitu katika ulimwengu wa Roho.

Nilioa 2012 na Mungu kunipa mtoto wa kwanza wa kike. Mungu baada ya kuniita kutumika alinionesha wapi naenda ikiwemo familia. Alinionesha kuna vibinti viwili vingine vinakuja na kuwa na watoto watatu wasichana tu.

Kitendo hiki kiliniuma na kuwa na manung'uniko. Nikitaka anipe mvulana. Aiseeer akanionesha na kuniambia, unalalamika na kunung'unika unataka mtoto wa kiume. Nitakupa ila atakuwa tanzi kwako. Akanionesha jinsi atakavyokuwa. Watu wa mbeya pale stendi ya nane nane kuna dogo mmoja mweusi mara nyingi hushirikiana na wapiga debe. Ni chini ya miaka 20 na mlevi ile mbaya, mgomvi na mla kijiti. Ndio akaniambia atanipa wa namna ile.

Kuanzia hapo, malalamiko na manung'uniko yakaisha. Nikasema bora niwe na mabinti zangu. Sasa ninao wawili wa miaka 6 na 3 na mmoja wa tatu tunategemea kumpata mwezi wa kumi mwaka huu.
Kuwa na amani mkuu wala wasikupe tabu, ni watoto hao

Nikiwaza kwamba kuna watu hawana watoto na wanapambana sana, hujikuta sihitaji kuchagua chagua

Kuna mtu anatamani hata apate toto jambazi mradi tu ijulikane ana kizazi lakini ana bahati mbaya
 
Maisha tunapita tu haya mkuu na wala sio marefu

Nashukuru Mungu sina tamaa, sihitaji majumba mengi sihitaji magari mengi, sihitaji mapesa mengi, nahitaji furaha tu
Kwahiyo kukosa mtoto ingenipa huzuni lakini kupata mtoto inanipa furaha, ila kuchagua aina ya mtoto ni tamaa
Sijui kama unanielewa

Roho ya tamaa ni chanzo cha vurugu nyingi sana hapa duniani

Nafikiri unaelewa unaongea na nani
Umeongea vizuri sana,ingawa inahitajika akili kubwa kukuelewa...
 
Kwa kifupi!
Anticipation~Matarajio
Prediction~Makisio.
Halihitaji PHD
 
Mi wala sitaki kuwa mnafki nasema ukweli bora nipate wa kiume tupu kuliko wa kike mmoja no way aisee

Ila ndio hivyo atakae kuja huna budi ni kukubaliana na matokeo tu
 
Mimi kwenye suala la jinsia ya Watoto sionagi jinsia fulani Ni Bora. Nitakaopewa nitashukuru Mungu

Maana huku mtaani unaona familia wasichana ambao walidharaurika ndo wametoboa na wanasaidia Wazazi kushinda hao wa kiume Kazi ulevi tu
Wasichana wengi usaidia Wazazi kuliko WA watoto WA kiume
 
Back
Top Bottom