Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Well then no stopping mpaka apatikane mwenzake wa kiume.Sijui .lakini mostly unarudia jinsia nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well then no stopping mpaka apatikane mwenzake wa kiume.Sijui .lakini mostly unarudia jinsia nyingine
Wapi nimemtakia mabaya?Unaelewa tofauti ya kumtakia mtu mabaya na ku-anticipate?Cha msingi ungeniuliza zipi sababu za mimi ku-anticipate kuwa huyo mtoto ataharibika.Mamlaka ya kumtamkia mabaya unapata wapi
🤣🤣🤣 mama mkwe alinishauri hvyo .akasema mwenzako sikukata tamaa hatimaye wa mwisho akapatikana ke..nikamwambia acha ujuha ww !chaa .kila ukijaribu kidume😒Well then no stopping mpaka apatikane mwenzake wa kiume.
Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
AmeenTunafuta haya maneno kwa damu ya Yesu kristo wa Nazareti aliye hai. Huyu mtoto maadam amepatikana kwa maombi atakuja kufanikiwa na kufanyika mtoto wa baraka katika familia ya mtoa uzi.
Umemuhakikishia mtoto atakuja kuwa mzigo kwake + majuto.Wapi nimemtakia mabaya?Unaelewa tofauti ya kumtakia mtu mabaya na ku-anticipate?Cha msingi ungeniuliza zipi sababu za mimi ku-anticipate kuwa huyo mtoto ataharibika.
Hauoni kama uwepo wa hao wachache unaondoa uhalali wa kugeneralize na bwana Behaviourist kutabiri mtoto atakua mzigo.Wachache mno! Wakuangazia na tochi...!
Kwamba....?Bora kuzaa watoto wakike kuliko wakiume..navyoonaga mimi lakini...una raha umemix sie wengine nyumba nzima wanawake ni ww na bek 3[emoji19]!
Hongera
Watu wanashindwa kutembea na positivity.Umemuhakikishia mtoto atakuja kuwa mzigo kwake + majuto.
Just wish Him well man, and that's enough
😂naamini haujaacha. Na usiache piga game mpaka kieleweke🤣🤣🤣 mama mkwe alinishauri hvyo .akasema mwenzako sikukata tamaa hatimaye wa mwisho akapatikana ke..nikamwambia acha ujuha ww !chaa .kila ukijaribu kidume😒
hahahahahahaKubabeki zako nyie ndo mnatuzalia mashoga wanagongwa gonhwa hovyo , unaenda kwa. Mganga kisa mtoto , fambaga sana
Kuna siku nilimsikia baba anamwambia mdogo wangu wa mwisho wa kiume..hivi unaongeaga naye nini huyo wangari? Mtu mwenyewe ashaolewa anakuambia nini? Wakati hapo dogo anasoma nje..kiliniuma zaidi ya miaka 7!Mimi kwenye suala la jinsia ya Watoto sionagi jinsia fulani Ni Bora. Nitakaopewa nitashukuru Mungu
Maana huku mtaani unaona familia wasichana ambao walidharaurika ndo wametoboa na wanasaidia Wazazi kushinda hao wa kiume Kazi ulevi tu
Yamkini yeye tayari ni mzigo kwa wazazi wakeWatu wanashindwa kutembea na positivity.
Lurking outta nowhere na kudeclare mtoto atakua mzigo na mzazi atajuta is very weird. Yet this person stands his ground akidai yupo sahihi kwa alichosema