Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!

Kama nimekuelewa vizuri, mwamba akimlea huyo mtoto kwa mtazamo alionao sasa for sure anaweza kujutia badae. Ila kama akimchukulia sawa na wenzake basi hili anaweza kuliepuka

Ila sasa ubaya ni kwamba huyu dogo atakuja kuwa karibu zaidi na mama na huyu mwamba atakuwa very dissappointed. Hapa ndio napoona mtazamo wako kama kiasi unaweza tokea.

Tatizo watu wamekuja kuponda juu juu sababu tumezowea maneno matamu matamu tu. Ila jamaa akiwaza vizuri ataona chances za majuto ni kubwa sana na zitatokana na kuwa dissappointed.

Hii kitu wanaiita child worshiping na huwa ina wa cost watu wengi sana.
 
Aisee. "Nakuhakikishia!!!" Uko kwenye cabinet ya uumbaji wa Mungu na kutengeneza hatma za maisha ya mwanadamu?? We should be careful with our words.
Kwani anaetengeneza hatma ya maisha ya mwanadamu ni Mungu?Yaani kwa mfano uvute bangi kisha uwe teja halafu umsingizie Mungu?Akili za wapi hizi?!
 
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Kwahiyo wakati mtoto wako wa kike anato.mbwa utakuwepo room ukishudia game? 🤔
 
Sijatabiri kuwa mtoto atakuwa zigo.

Kinachokusumbua ni kukosa elimu pamoja na maarifa mbalimbali.Kwenye hii dunia ukikosa elimu ni umekosa vyote.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutabiri(prediction) na kufanya anticipations.

Mimi sijatabiri bali nimefanya anticipations.Kajifunze anticipations ni kitu gani na pia jifunze tofauti kati ya anticipations na predictions.
Mimi ni kweli elimu sina. Ila nyinyi wenye elimu acheni roho mbaya na spinning kisa mnajua terminology za uchumi.
 
Mimi ni kweli elimu sina. Ila nyinyi wenye elimu acheni roho mbaya na spinning kisa mnajua terminology za uchumi.
Kwani kwa mfano watu wa utabiri wa hali ya hewa wakisema kuwa kesho kutakuwa na kimbunga kikali sana na kitaua watu kwa maelfu ni wana roho mbaya?Wao si wamechakata tu data na kugundua kuwa kesho kuna kimbunga kikali sana?

Hata mimi nimechakata tu data na kujua kuwa huyo mtoto atakuwa zigo wala simtakii awe zigo.Mtoto ambae hata simjui kwa nini nimtakie awe zigo?!
 
Kwangu mimi mtoto mtoto tu, ili mradi mola ajaalie aje kuwa na kheri na mimi.

Kwa mujibu wa imani yangu, mtume (s.a.w) anasema tusijilinganishe na waliotuzidi ila tuliowazidi.. Wakat wewe unabagua watoto angalia kuna mtu anahitaji hata huyo unaembagua pia.. Kuna mtu anatafuta hata huyo 1 tu.. Kikubwa ni kumuomba mungu watoto wawe na kheri nawe, unaweza ukazaa toto la kiume WAKALIFINYIA KWA NDANI huko akasahau kama kuna mzazi duniani..[emoji3][emoji23]

Kikubwa mtoto atakaekufaa hapa duniani ukiwa hai na akukumbuke baada ya kuondoka(umauti)
Kwahiyo una wangapi chief?
 
Kwani watu wa utabiri wa hali ya hewa wakisema kuwa kesho kutakuwa na kimbunga kikali sana ni wana roho mbaya?Wao si wamechakata tu data na kugundua kuwa kesho kuna kimbunga kikali sana?Hata mimi nimechakata tu data na kujua kuwa huyo mtoto atakuwa zigo.
Data gani hizo?😂😂😂

Acha spinning wewe msomi. Sasa hali ya hewa na kudai mtoto atakua mzigo kuna uhusiano gani?
Basi hapo data zako zote umetoa kwenye muvi na tamthilia unajiona umemaliza kila kitu.
 
Hali hii hutokea katika ndoa nyingi. Mke anazaa watoto wa jinsia moja tu mfululizo, ama wa kike au wa kiume tu. Wazazi wengi huwa wanapenda wapate watoto wa jinsia zote. Kwa sababu hiyo inapotokea wanapata watoto wa kiume tu au wa kike tu huanza kutafuta njia ya kutatua 'tatizo' hilo. Wengine huenda kwa madaktari kutafuta ushauri wa kisayansi na kufanikiwa kupata mtoto wanayemtaka; lakini wengine ushauri wa kisayansi bado hauwasaidii kupata mtoto wa kiume au wa kike.

Wazazi wanapofikia hali hiyo wengine huenda kwa waganga wa kienyeji na huko huishia kuchanganyikiwa tu kutokana na masharti magumu wanayoambiwa na mganga. Jaribu kuwaza mtu anaambiwa apeleke kwa mganga kinyesi "fresh" cha tembo ndio apate dawa!

Nakumbuka mme fulani alisababisha mgogoro katika ndoa yake baada ya kumgombeza mke wake kwanini anazaa watoto wa kike tu. Na waume wengine huamua kuwaacha wake zao au kuoa mke wa pili ili wajaribu kama watapata watoto wanaowataka kwa njia hiyo. Njia zote hizo zinaposhindikana hubaki na huzuni isiyokoma.

Mimi pia nimepitia hali hiyo. Mara ya kwanza mke wangu alipata mtoto wa kike. Mara ya pili akajifungua tena mtoto wa kike. Tulikuwa tunajitahidi angalau tupate mtoto kila baada ya miaka miwili. Mara ya tatu mke wangu akazaa tena mtoto wa kike. Hee nikaanza kufadhaika, maana nilitamani na mimi niwe na mtoto wa kiume. Sikumlaumu wala kumgombeza mke wangu kwanini anazaa watoto wa kike tu kwa sababu najua kisayansi mwanaume ndiye anayehusika zaidi kufanya mtoto wa jinsia ipi azaliwe.

Katika kutafakari nifanyeje nikakumbuka yale maneno ya Mungu yasemayo "Ombeni nanyi mtapewa" Nikakumbuka pia habari za mama mmoja katika Biblia aliyekuwa hapati kabisa watoto lakini baada ya kumwomba Mungu akapata.

Kwa sababu hiyo na mimi nikaanza kumwomba Mungu kwa juhudi kwamba mke wangu atakapojifungua mtoto wa nne, awe wa kiume. Ndugu zangu, Mungu hana upendeleo, alisikia maombi yangu na kutupatia mtoto wa kiume. Kinachotakiwa tu ni kuhakikisha mahusiano yetu na Mungu ni mazuri na kuomba kwa imani, pasipo shaka. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23).
amiana, sasa tuendelee kumwombea na watoto wengine wote ili wakue katika maadili yanayompendeza Muumba wetu.
 
angalia statistics mkuu, watoto wa kiume ni nadra kuangukia kwenye mamb hayo hata ukiangalia mtaa mzima unaweza ukamkuta mmoja ,wawili au hakuna kabisa. ila sasa angalia hao wakike mkuu vinavyoanza kuwashwa na mapema.Yani watoto wakike siku hizi hadi wakifika form four huko chini unakuta pashatepetwa. Mkuu mm sikufuchi nakaa kigogo hapa Dar kwa ninayoyashuhudia kwa hivi viumbe wa Mungu kiukweli hunambii kitu, unaweza kuta kitoto cha form 3 kishaliwa na bodaboda wanafika sita !!!

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Watoto wa Msasani, Mikocheni, Kigogo, Buguruni, Vegas, Swaz Inter ukimtokea akikubali akikuambia umle jicho ukagoma huyo harudi tena hata umuahidi nini.
 
Data gani hizo?😂😂😂

Acha spinning wewe msomi. Sasa hali ya hewa na kudai mtoto atakua mzigo kuna uhusiano gani?
Basi hapo data zako zote umetoa kwenye muvi na tamthilia unajiona umemaliza kila kitu.
Mambo ya hali ya hewa nimekupa kama mfano tu ili uelewe ninachozungumzia.Mimi hadi kusema kuwa huyo mtoto atakuwa zigo nimechakata data kutoka kwa mleta uzi ,data za matukio ya nyuma kama hayo,data kutoka kwenye tamaduni zetu na kadhalika.
 
Hali hii hutokea katika ndoa nyingi. Mke anazaa watoto wa jinsia moja tu mfululizo, ama wa kike au wa kiume tu. Wazazi wengi huwa wanapenda wapate watoto wa jinsia zote. Kwa sababu hiyo inapotokea wanapata watoto wa kiume tu au wa kike tu huanza kutafuta njia ya kutatua 'tatizo' hilo. Wengine huenda kwa madaktari kutafuta ushauri wa kisayansi na kufanikiwa kupata mtoto wanayemtaka; lakini wengine ushauri wa kisayansi bado hauwasaidii kupata mtoto wa kiume au wa kike.

Wazazi wanapofikia hali hiyo wengine huenda kwa waganga wa kienyeji na huko huishia kuchanganyikiwa tu kutokana na masharti magumu wanayoambiwa na mganga. Jaribu kuwaza mtu anaambiwa apeleke kwa mganga kinyesi "fresh" cha tembo ndio apate dawa!

Nakumbuka mme fulani alisababisha mgogoro katika ndoa yake baada ya kumgombeza mke wake kwanini anazaa watoto wa kike tu. Na waume wengine huamua kuwaacha wake zao au kuoa mke wa pili ili wajaribu kama watapata watoto wanaowataka kwa njia hiyo. Njia zote hizo zinaposhindikana hubaki na huzuni isiyokoma.

Mimi pia nimepitia hali hiyo. Mara ya kwanza mke wangu alipata mtoto wa kike. Mara ya pili akajifungua tena mtoto wa kike. Tulikuwa tunajitahidi angalau tupate mtoto kila baada ya miaka miwili. Mara ya tatu mke wangu akazaa tena mtoto wa kike. Hee nikaanza kufadhaika, maana nilitamani na mimi niwe na mtoto wa kiume. Sikumlaumu wala kumgombeza mke wangu kwanini anazaa watoto wa kike tu kwa sababu najua kisayansi mwanaume ndiye anayehusika zaidi kufanya mtoto wa jinsia ipi azaliwe.

Katika kutafakari nifanyeje nikakumbuka yale maneno ya Mungu yasemayo "Ombeni nanyi mtapewa" Nikakumbuka pia habari za mama mmoja katika Biblia aliyekuwa hapati kabisa watoto lakini baada ya kumwomba Mungu akapata.

Kwa sababu hiyo na mimi nikaanza kumwomba Mungu kwa juhudi kwamba mke wangu atakapojifungua mtoto wa nne, awe wa kiume. Ndugu zangu, Mungu hana upendeleo, alisikia maombi yangu na kutupatia mtoto wa kiume. Kinachotakiwa tu ni kuhakikisha mahusiano yetu na Mungu ni mazuri na kuomba kwa imani, pasipo shaka. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23).
Oohh halleluyaah nami ni muhanga wa jinsia nina watatu wa kiume nawish Mungu asikie kilio changu wa4 awe dada wa vijana wangu
Mungu nikumbuke nami kama ulivyomkumbuka kaka huyu [emoji120]
 
Kama nimekuelewa vizuri, mwamba akimlea huyo mtoto kwa mtazamo alionao sasa for sure anaweza kujutia badae. Ila kama akimchukulia sawa na wenzake basi hili anaweza kuliepuka

Ila sasa ubaya ni kwamba huyu dogo atakuja kuwa karibu zaidi na mama na huyu mwamba atakuwa very dissappointed. Hapa ndio napoona mtazamo wako kama kiasi unaweza tokea.

Tatizo watu wamekuja kuponda juu juu sababu tumezowea maneno matamu matamu tu. Ila jamaa akiwaza vizuri ataona chances za majuto ni kubwa sana na zitatokana na kuwa dissappointed.

Hii kitu wanaiita child worshiping na huwa ina wa cost watu wengi sana.
Mzee mimi nimesoma saikolojia. Najua juu ya malezi ya mtoto katika saikolojia inatarajiwa nini kiwe na nini kisiwe.

Hoja yako ya mtoto kua karibu na mama siyo tatizo as katika saiokoloji inatarajiwa mtoto wa kike awe karibu na baba, hii huitwa Electra complex, na wa kiume awe karibu na mama, hii huitwa Oedipus complex.

So there is nothing wrong huyo mtoto akiwa karibu na mama.

Mtoto/ binadamu tabia anaidevelop. Inakua shaped kuanzia ndani mpaka nje anapoenda, huyo mtoto kua mzigo kutategemea zaidi na treatment anayogewa na wazazi na wenzake anaokua nao na siyo hiko mnachowaza.

Mnachowaza ni tamthilia na muvi ndiyo zinatoa hizo notions.
 
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂Umenichekesha sana.
Ila usisahau kuwa dunia imebadirika sana sio sawa na miaka ya nyuma. Nowadays ata mtoto wa kiume anaweza vuliwa chupi na mashugamammy kama sio kuwa shoga kabsaa
 
Mambo ya hali ya hewa nimekupa kama mfano tu ili uelewe ninachozungumzia.Mimi hadi kusema kuwa huyo mtoto atakuwa zigo nimechakata data kutoka kwa mleta uzi ,data za matukio ya nyuma kama hayo,data kutoka kwenye tamaduni zetu na kadhalika.
Ewe nguli wa elimu ungetutajia chuo ulichosoma kinachofundisha kukusanya data kwenye paragraph nne na kuja na conclusion iliyoshiba kama yako.
 
Back
Top Bottom