Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Hauoni kama uwepo wa hao wachache unaondoa uhalali wa kugeneralize na bwana Behaviourist kutabiri mtoto atakua mzigo.
Sijatabiri kuwa mtoto atakuwa zigo.

Kinachokusumbua ni kukosa elimu pamoja na maarifa mbalimbali.Kwenye hii dunia ukikosa elimu ni umekosa vyote.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutabiri(prediction) na kufanya anticipations.

Mimi sijatabiri bali nimefanya anticipations.Kajifunze anticipations ni kitu gani na pia jifunze tofauti kati ya anticipations na predictions.
 
Kuna siku nilimsikia baba anamwambia mdogo wangu wa mwisho wa kiume..hivi unaongeaga naye nini huyo wangari? Mtu mwenyewe ashaolewa anakuambia nini? Wakati hapo dogo anasoma nje..kiliniuma zaidi ya miaka 7!
"Mengine umeshaandika ww!"
Kuna rafiki yangu kwao wako watatu Yeye ndo wakike peke yake. Baba yake alikuwa anamdharau kwasababu Ni Ke, anawapa power Kaka zake kwa kila kitu, Hadi alimtamkia live wewe Ni msichana huna chako hapa.

Saivi Kaka zake wote walevi hawana msaada kwenye familia msichana ndo anasimamia kila kitu, Baba yake nafsi ilimsuta kwa aliyosema alimuomba msamaha.
 
Umemuhakikishia mtoto atakuja kuwa mzigo kwake + majuto.

Just wish Him well man, and that's enough
Sijatabiri kuwa mtoto atakuwa zigo.Kinachokusumbua ni kukosa elimu pamoja na maarifa mbalimbali.Kwenye hii dunia ukikosa elimu ni umekosa vyote.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutabiri(prediction) na kufanya anticipations.Mimi sijatabiri bali nimefanya anticipations.Kajifunze anticipations ni kitu gani na pia jifunze tofauti kati ya anticipations na predictions.
 
Kuna rafiki yangu kwao wako watatu Yeye ndo wakike peke yake. Baba yake alikuwa anamdharau kwasababu Ni Ke, anawapa power Kaka zake kwa kila kitu, Hadi alimtamkia live wewe Ni msichana huna chako hapa.

Saivi Kaka zake wote walevi hawana msaada kwenye familia msichana ndo anasimamia kila kitu, Baba yake nafsi ilimsuta kwa aliyosema alimuomba msamaha.
Mie hajaniombaga msamaha ila mie ndo imekuwa reference hom...wanaishi kama baba yao hatakuja kufa mtu ana 80's! Full mipombe..
Kuna kipindi niliomba pikipiki ilikuepo tu hm..dingi akasema hv hujui ww umeshaolewa huna chako hapa? Nililiaa🤣🤣!
Ss hv wananiletea tu kesi..oh ongea na dadako na mdg wako wameanza vutana kuhusu nyumba za dar..mie nasema baba mm nilishaolewa hayo hayanihusu..na kweli hayanihusu sipend kbs kupigana kisa mali za mzaz .ujinga sana! Bas kila mara ananiambia ongea na bro ako mwambia maisja anayoishi sio kbs ntakuja kufa namwambia mie nishaolewa sina hadhi ya kuongea naye tunaishia kununiana tu ..! MUNGU FUNDIII
 
Sijatabiri kuwa mtoto atakuwa zigo.Kinachokusumbua ni kukosa elimu pamoja na maarifa mbalimbali.Kwenye hii dunia ukikosa elimu ni umekosa vyote.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutabiri(prediction) na kufanya anticipations.Mimi sijatabiri bali nimefanya anticipations.Kajifunze anticipations ni kitu gani na pia jifunze tofauti kati ya anticipations na predictions.
[emoji16][emoji16]easy chief.
IMG_20210520_111451.jpg
 
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu mbaya kwa baba kama kuzaa watoto wa kike tu. Bora mara milioni kuzaa wa kiume tu
Obama anawakike tu, Bill Clinton anawakike tu. Waafrica na wahindi ndo tumebaki kuamini Watoto wakiume Ni asset.

Dunia ya saiv kwanza ukizaa wa kiume inabidi umuombee Sana. Hata James delicious Baba yake alikuwa proud alipozaliwa akasema amezaa kidume.
 
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mkuu na hata hao wakiume siku hizi hawatabiriki. Unaweza jisifu umezaa kidume baadae anakuja kuliwa pia
 
Kwangu mimi mtoto mtoto tu, ili mradi mola ajaalie aje kuwa na kheri na mimi.

Kwa mujibu wa imani yangu, mtume (s.a.w) anasema tusijilinganishe na waliotuzidi ila tuliowazidi.. Wakat wewe unabagua watoto angalia kuna mtu anahitaji hata huyo unaembagua pia.. Kuna mtu anatafuta hata huyo 1 tu.. Kikubwa ni kumuomba mungu watoto wawe na kheri nawe, unaweza ukazaa toto la kiume WAKALIFINYIA KWA NDANI huko akasahau kama kuna mzazi duniani..[emoji3][emoji23]

Kikubwa mtoto atakaekufaa hapa duniani ukiwa hai na akukumbuke baada ya kuondoka(umauti)
 
[emoji16][emoji16]easy chief.
View attachment 1791556
Hilo jibu lako ni la kingumbaru ngoja nikusaidie tu fasta hapa.Tofauti kubwa kati ya predictions na anticipations ni kwamba katika anticipations unakuwa na ushahidi wa kitafiti au ushahidi wa kisayansi kuwa tukio fulani litatokea lakini katika predictions ni unahisi na kubuni tu kwamba tukio fulani litatokea pasipo ushahidi wowote ule.

Kwa hiyo katika anticipations ni kwamba level ya probability ya tukio kutokea huwa ipo juu kwa sababu kuna support ya ushahidi wa tukio hilo kutokea wakati katika predictions level ya ushahidi ni ndogo sana kwa hiyo probability ya tukio kutokea huwa ni ndogo pia.

Mfano watabiri wa hali ya hewa huwa wanatumia shahidi za kisayansi kujua kuwa kesho mvua itanyesha kwa hiyo huwa wanafanya anticipations na wala siyo predictions👇
20210520_114021.jpg
 
Mkuu na hata hao wakiume siku hizi hawatabiriki. Unaweza jisifu umezaa kidume baadae anakuja kuliwa pia
angalia statistics mkuu, watoto wa kiume ni nadra kuangukia kwenye mamb hayo hata ukiangalia mtaa mzima unaweza ukamkuta mmoja ,wawili au hakuna kabisa. ila sasa angalia hao wakike mkuu vinavyoanza kuwashwa na mapema.Yani watoto wakike siku hizi hadi wakifika form four huko chini unakuta pashatepetwa. Mkuu mm sikufuchi nakaa kigogo hapa Dar kwa ninayoyashuhudia kwa hivi viumbe wa Mungu kiukweli hunambii kitu, unaweza kuta kitoto cha form 3 kishaliwa na bodaboda wanafika sita !!!

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom