Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Mkuu sio kigogo tu nenda mbagala, Buza ,Gongo la mboto,msasani,kinondoni ukajionee rabda hujafuatilia tu. Tatzo kubwa la wazazi wanawaamini sana watoto wao na watoto wanavyojua kuekti sasa kama mzazi sio mjanja huwezi kumjua kabisaa. Kwa maisha ya sasa muda mwingi watoto wanautumia mbali na wazazi wao hasa kwenye mambo ya masomo sasa unakuta mtoto akiwa shuleni huko anafanya mabalaa hatari mengine hata wewe mzazi hujawahi kuyapitia ila mtoto huyohuyo akirudi nyumbn anakua mtulivu ,mpole mstaarabu yani kiujumla akiwa nyumbn anakuwa mtoto mwema sana kiasi cha kwamba mzazi huwezi kudhania kabisa kama mwanao anawza kuwa na tabia chafu huko aendapo ,mfano mimi nimesona Azania pale ilikuwa kila jumamosi watoto wa Jangwani ,Zanaki na kisutu wanaaga makwao kwamba wanaenda tuition kumbe wanakuj Azaboy pale tunatok navyo tunaenda kuvichezea huko hapo unakuta wengine wanatoka makwao na mavazi ya stara tu ila wakifika Azania wanabadili wanavaa nguo za ajabuajabu kisha walizokuja nazo wanatia kwenye begi.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Maana yangu ilikuwa Dar sio Tz
 
Nilivyomuelewa mleta mada hajasema jinsia fulani ni bora

Nimeelewa alipata watoto watatu jinsia moja akatamani kupata jinsia tofauti...ambacho ni kawaida
Mkuu umesoma heading anasema alifedheheka kupata wa kike tu. Meaning Watoto wakike kwake si Bora furaha yake ingekamilishwa Kama angepata wa kiume.
 
Mkuu umesoma heading anasema alifedheheka kupata wa kike tu. Meaning Watoto wakike kwake si Bora furaha yake ingekamilishwa Kama angepata wa kiume.

Sio kwamba watoto wa kike sio bora...alitamani kupata wa kiume pia

Nafikiri hata angepata wa kiume tupu angetamani kupata wa kike,sio kwa ubaya/uzuri wa jinsia nyingine

Halafu mleta mada ametumia neno fadhaika sio fedheha
 
Mkuu sio kigogo tu nenda mbagala, Buza ,Gongo la mboto,msasani,kinondoni ukajionee rabda hujafuatilia tu. Tatzo kubwa la wazazi wanawaamini sana watoto wao na watoto wanavyojua kuekti sasa kama mzazi sio mjanja huwezi kumjua kabisaa. Kwa maisha ya sasa muda mwingi watoto wanautumia mbali na wazazi wao hasa kwenye mambo ya masomo sasa unakuta mtoto akiwa shuleni huko anafanya mabalaa hatari mengine hata wewe mzazi hujawahi kuyapitia ila mtoto huyohuyo akirudi nyumbn anakua mtulivu ,mpole mstaarabu yani kiujumla akiwa nyumbn anakuwa mtoto mwema sana kiasi cha kwamba mzazi huwezi kudhania kabisa kama mwanao anawza kuwa na tabia chafu huko aendapo ,mfano mimi nimesona Azania pale ilikuwa kila jumamosi watoto wa Jangwani ,Zanaki na kisutu wanaaga makwao kwamba wanaenda tuition kumbe wanakuj Azaboy pale tunatok navyo tunaenda kuvichezea huko hapo unakuta wengine wanatoka makwao na mavazi ya stara tu ila wakifika Azania wanabadili wanavaa nguo za ajabuajabu kisha walizokuja nazo wanatia kwenye begi.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mzee kwahiyo unanikazia au?
 
Wana JF wanaojifanya mamungu
Mungu ndiye anafanya watu/watoto kuwa mizigo?Yaani Mungu mwenye upendo wote na huruma yote huwa anafanya watoto kuwa mizigo?Kwa hiyo tunavyohubiriwa kanisani kuwa Mungu ana huruma sana pamoja na upendo mwingi sana huwa tunadanganywa?
 
Mungu ndiye anafanya watu/watoto kuwa mizigo?Yaani Mungu mwenye upendo wote na huruma yote huwa anafanya watoto kuwa mizigo?Kwa hiyo tunavyohubiriwa kanisani kuwa Mungu ana huruma sana pamoja na upendo mwingi sana huwa tunadanganywa?
Mkuu kwa sasa sina muda wa kujadili na wewe.

Samahani na Kwa heri.
 
Kuna wengine wanapata wa kike tu licha ya maomba - nawashauri kwa sasa kuwekeza kwa watoto wa kike ndiyo habari ya mjini... uzeeni hutalala njaa ndugu hadi unawekwa kaburini... masuala eti ya urithi wa jina hayana maana - ukoo kwa sasa ni wewe mkeo na watoto wako - over.
 
Umemaliza..my lil bro ana 30 bt anafuliwa nguo bado na maza😱! Akichelewa kwenye mipombe yake wazaz wake hawakai..unawakuta wamesimama getini wanaangalia kila mtu nawaambiaga mna kazi..na yy anajua hawa wananipenda bas anakanyagia hapo hapo
Sababu kubwa inanziaga kwenye malezi unakuta baba /mama anampenda mtoto kupita kiasi sababu ni wapekee. Wala hio sio kanuni
 
Maana yangu ilikuwa Dar sio Tz
Hii ni Tz nzima, nina sista wangu anafundisha shule ya sekondari huko Singida anasema watoto huko ni amsha popo kila siku kesi tu mara huyu kakutwa na yule huyu sijui kafumaniwa wapi huko huyu mara ana mimba mpk hivi juzi kati kuna mtoto wa form 2 aliwatamkia kabisa walimu wake kwamba yeye huo mchezo kaanz tokea la saba na mpk sasa hawezi tena kukaa bila kuufanya, tena hawa watoto ni waongo balaaa kama hujui kuwahoji kwa technic watakupiga chenga ya mwili mzima mana sista anakwambia jinsi wanvyowahoji mpk waje kukubali hizo kesi zao inabidi tu usiwe na kichwa chepesi ndio utawaweza lasivyo utadanganyika tu na utaona kama kweli wanasingiziwa. Au kama vip ww jaribu kwenda shule yoyote Tz hii yenye wasichana ukaongee na mwalimu wa nidhamu ili akuhadithie mabalaa ya wanafunzi kama hujajishika kichwa basi utakua na robo ngumu. Mkuu hii dunia siku hzi imevaa kaptula

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Umemaliza..my lil bro ana 30 bt anafuliwa nguo bado na maza😱! Akichelewa kwenye mipombe yake wazaz wake hawakai..unawakuta wamesimama getini wanaangalia kila mtu nawaambiaga mna kazi..na yy anajua hawa wananipenda bas anakanyagia hapo hapo
Miaka 30?

Halafu anafuliwa nguo na mama!

Aisee
 
Oohh halleluyaah nami ni muhanga wa jinsia nina watatu wa kiume nawish Mungu asikie kilio changu wa4 awe dada wa vijana wangu
Mungu nikumbuke nami kama ulivyomkumbuka kaka huyu [emoji120]
Ee Mungu, sikia kilio cha ndugu huyu anayeomba kwa imani. Umjalie kupata mtoto wa kike ili furaha yake iwe timilifu. Nakushukuru kwa kuwa utafanya hivyo, katika Jina la Yesu. Ameen
 
Back
Top Bottom