Mkuu sio kigogo tu nenda mbagala, Buza ,Gongo la mboto,msasani,kinondoni ukajionee rabda hujafuatilia tu. Tatzo kubwa la wazazi wanawaamini sana watoto wao na watoto wanavyojua kuekti sasa kama mzazi sio mjanja huwezi kumjua kabisaa. Kwa maisha ya sasa muda mwingi watoto wanautumia mbali na wazazi wao hasa kwenye mambo ya masomo sasa unakuta mtoto akiwa shuleni huko anafanya mabalaa hatari mengine hata wewe mzazi hujawahi kuyapitia ila mtoto huyohuyo akirudi nyumbn anakua mtulivu ,mpole mstaarabu yani kiujumla akiwa nyumbn anakuwa mtoto mwema sana kiasi cha kwamba mzazi huwezi kudhania kabisa kama mwanao anawza kuwa na tabia chafu huko aendapo ,mfano mimi nimesona Azania pale ilikuwa kila jumamosi watoto wa Jangwani ,Zanaki na kisutu wanaaga makwao kwamba wanaenda tuition kumbe wanakuj Azaboy pale tunatok navyo tunaenda kuvichezea huko hapo unakuta wengine wanatoka makwao na mavazi ya stara tu ila wakifika Azania wanabadili wanavaa nguo za ajabuajabu kisha walizokuja nazo wanatia kwenye begi.
Sent from my SM-G900I using
JamiiForums mobile app