Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Nilifadhaika sana kupata watoto wa kike tu

Like wakati mwingine ni kuonyesha umeona post
Kwahiyo ukiandika pumba unaambiwa tumeona pumba zako

Haijawahi kukutokea umeandika ujinga aki-like mtu mnayeheshimiana unaogopa sana?
Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.

Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.

Cc:invisible
 
mkuu unakwma wapi mbn hawa viumbe wametapakaa kila kona , ila hata hivy kwa watoto wa kigogo sikushaur mana ni Break p*mbu tu ndio utaambulia

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Mi napenda kuzururia mitaa ya mbali na ninapoishi ndiyo maana mtaani kwangu sina kazi yoyote.

mzee break p kwangu siyo ishu. We nitunuku kazi moja chura wa hatari utakua umenipa assisst matata sana
 
Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.

Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.

Cc:invisible
Hold hiyo alama ya 'Thanks' itakuletea option na 'Dislike' utaiona.
 
Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!

Usimtishe bhana kwani wewe nani wa kumuhakikishia hivyo?
Ameshasema kaomba kwa Mungu sio sehemu nyingine why Mungu akupe then afanye uwe mzigo.
 
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app

Mkuu kumbuka hata wa kiume siku hizi wanaliwa tgo ni wew tu uchague apigwe wa kiume au wakike iyo dog style.
 
Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.

Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.

Cc:invisible
Sahihi
 
Mzee mimi nimesoma saikolojia. Najua juu ya malezi ya mtoto katika saikolojia inatarajiwa nini kiwe na nini kisiwe.

Hoja yako ya mtoto kua karibu na mama siyo tatizo as katika saiokoloji inatarajiwa mtoto wa kike awe karibu na baba, hii huitwa Electra complex, na wa kiume awe karibu na mama, hii huitwa Oedipus complex.

So there is nothing wrong huyo mtoto akiwa karibu na mama.

Mtoto/ binadamu tabia anaidevelop. Inakua shaped kuanzia ndani mpaka nje anapoenda, huyo mtoto kua mzigo kutategemea zaidi na treatment anayogewa na wazazi na wenzake anaokua nao na siyo hiko mnachowaza.

Mnachowaza ni tamthilia na muvi ndiyo zinatoa hizo notions.

Mkuu usiwe too emotional, inapunguza uwezo wakuchambua mambo. Sasa nikuulize ulichokiandika hapo aya ya nne kina tofauti gani na nilichoelezea mimi? Relax Bro!.

Sasa turudi hapo uliposema akiwa karibu na mama sio shida na kisaikolojia inategemewa hivyo. Hiyo ni kweli kabisa na sikatai. Ila jua hapo ndipo shida itakapokuja kuanzia.

Umeshajiuliza kwanini huyu jamaa alikuwa anatafuta sana mtoto wa kiume?, labda hukujiuliza ila tujaribu kuweka mitazamo michache hapa

Anaweza akawa alikuwa anatafuta mtoto wa kiume ili awe mrithi wake (kiafrika). Hii itamfanya atake kuwa karibu zaidi na mtoto wake huyu 'wapekee' na same time mama naye atataka ivyo ivyo hapa tatizo litajitokeza (sita eleza sana mengine fikiria mwenyewe)

Pili, labda alikuwa na hamu na mtoto wa kiume ili aje kufanikisha yale aliyoshindwa yeye kufanikisa. Hii ipo sana na ni unyonyaji. Sasa mtoto atakuwa na future yake na huyu jamaa kama ndio lengo lake itatokea shida hapa. Kwani hujawai kuona baba ametaka mtoto awe daktari kweli kasoma udaktari then kaja kuwa mwimbaji. Hawa wapo wengi wa hivi. Hawa wazazi huwa uzeeni wanajuta sana.

Mkuu kesi ni nyingi sana na ukiona mtoto apatani na baba yake asilimia kubwa huwa ni wale ambao baba zao/wazazi wao waliweka expectation kubwa sana juu yao then hazikutimia.

Usimshangae jamaa alichosema kuna uwezekano kasema out of experienc pia, muhimu kujifunza jambo kutoka kwake kwa kuuliza maswali si kumkandia. Tuwe wadadisi kama watoto wadogo.
 
Hali hii hutokea katika ndoa nyingi. Mke anazaa watoto wa jinsia moja tu mfululizo, ama wa kike au wa kiume tu. Wazazi wengi huwa wanapenda wapate watoto wa jinsia zote. Kwa sababu hiyo inapotokea wanapata watoto wa kiume tu au wa kike tu huanza kutafuta njia ya kutatua 'tatizo' hilo. Wengine huenda kwa madaktari kutafuta ushauri wa kisayansi na kufanikiwa kupata mtoto wanayemtaka; lakini wengine ushauri wa kisayansi bado hauwasaidii kupata mtoto wa kiume au wa kike.

Wazazi wanapofikia hali hiyo wengine huenda kwa waganga wa kienyeji na huko huishia kuchanganyikiwa tu kutokana na masharti magumu wanayoambiwa na mganga. Jaribu kuwaza mtu anaambiwa apeleke kwa mganga kinyesi "fresh" cha tembo ndio apate dawa!

Nakumbuka mme fulani alisababisha mgogoro katika ndoa yake baada ya kumgombeza mke wake kwanini anazaa watoto wa kike tu. Na waume wengine huamua kuwaacha wake zao au kuoa mke wa pili ili wajaribu kama watapata watoto wanaowataka kwa njia hiyo. Njia zote hizo zinaposhindikana hubaki na huzuni isiyokoma.

Mimi pia nimepitia hali hiyo. Mara ya kwanza mke wangu alipata mtoto wa kike. Mara ya pili akajifungua tena mtoto wa kike. Tulikuwa tunajitahidi angalau tupate mtoto kila baada ya miaka miwili. Mara ya tatu mke wangu akazaa tena mtoto wa kike. Hee nikaanza kufadhaika, maana nilitamani na mimi niwe na mtoto wa kiume. Sikumlaumu wala kumgombeza mke wangu kwanini anazaa watoto wa kike tu kwa sababu najua kisayansi mwanaume ndiye anayehusika zaidi kufanya mtoto wa jinsia ipi azaliwe.

Katika kutafakari nifanyeje nikakumbuka yale maneno ya Mungu yasemayo "Ombeni nanyi mtapewa" Nikakumbuka pia habari za mama mmoja katika Biblia aliyekuwa hapati kabisa watoto lakini baada ya kumwomba Mungu akapata.

Kwa sababu hiyo na mimi nikaanza kumwomba Mungu kwa juhudi kwamba mke wangu atakapojifungua mtoto wa nne, awe wa kiume. Ndugu zangu, Mungu hana upendeleo, alisikia maombi yangu na kutupatia mtoto wa kiume. Kinachotakiwa tu ni kuhakikisha mahusiano yetu na Mungu ni mazuri na kuomba kwa imani, pasipo shaka. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23).
kanisa la anglican lilitokana na mambo hayohayo ya kutaka mtoto wa kiume
Mfalme alikuwa akipata mabinti tu. sasa akataka apate bi mdogo ahjaribu na huko. Akaomba kibali kwa pope aoe mke wa pili, akapigwa stop . Ndo akaamua kuanzisha kanisa lao na kujitenga na RC
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mababa wengi wa Kiafrica badu wanaamini mwanamke ni bora zaidi ya mwanaume!
Hakuna kitu mbaya kwa baba kama kuzaa watoto wa kike tu. Bora mara milioni kuzaa wa kiume tu
 
Utazaa na mwanaume mwenzako?
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.

Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
 
Wewe sio muhanga. Na hakuna tatizo lolote kuzaa watoto wa kiume au wa kike peke yake.
Ni mentality za kijima na kishamba kuamini jinsia moja ni bora zaidi ya nyingine.
Oohh halleluyaah nami ni muhanga wa jinsia nina watatu wa kiume nawish Mungu asikie kilio changu wa4 awe dada wa vijana wangu
Mungu nikumbuke nami kama ulivyomkumbuka kaka huyu [emoji120]
 
Watu wengi bado wana mawazo ya kijima
Si vizuri kuchagua Gender. Lakini tuwe wakweli watu wengi hupenda watoto mchanganyiko.

Issue siyo mtoto wa kike, Hata ukizaa watoto wa kiume pekee huwezi kufurahia.
 
Back
Top Bottom