Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
 
Mitume na manabii wameharibu sana kizazi cha leo.

Yaani mambo yako yakienda vibaya tayari unaanza kusema umelogwa, kuna mtu kashika nyota yako.

Unaanza chuki zisizo na msingi kwa binadamu wenzio kwamba wanakuchezea.

Hebu tubadilike wakuu!
 
Manabii wengi ni matapeli
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
 
Kinachokudidimiza wewe ni hiyo hofu uliyojijengea,viimani vya ujinga ujinga...kwanini usiishi tu...kwanini usiachane na Imani hizo na ukubali kuwa kushuka kiuchumi ni kawaida na muda ukifika utanyanyuka Tena?

Tafadhali,em acha hizo bas bhana
 
Note: HAKUNA SADAKA INAYOWEZA KUMKOMBOA MTU KUTOKA KWENYE JAMBO LOLOTE. Ingekuwa kuna sadaka ya namna hiyo Yesu asingekufa msalabani badala yake angejaalia watu pesa nyingi ili kila wanapokwama watoe misadaka mingi wafunguliwe .
 
Mitume na manabii wameharibu sana kizazi cha leo.

Yaani mambo yako yakienda vibaya tayari unaanza kusema umelogwa, kuna mtu kashika nyota yako.

Unaanza chuki zisizo na msingi kwa binadamu wenzio kwamba wanakuchezea.

Hebu tubadilike wakuu!
Imani ni muhimu kuliko mtaji, tatizo hapo ni credibikity ya hao manabii kama ni feki au ni manabii kweli


Tatizo linaanzia hapo mkuu


Hata marekani wana msemo wao In God we trust

Hii dunia ina siri nyingi sana
Usione watu wanapanda vyeo na kufanikiwa kwenye biashara ukadhani inatokea tu kirahisi rahisi


Kuna siri nyingi nyuma ya pazia

Kunasayansi ipo ambayo haifundishwi chuo haipomashuleni ila ipo mtaani na inafanya kazi watu wansitumia na inawasaidia


Fanya research mkuu
 
Imani ni muhimu kuliko mtaji, tatizo hapo ni credibikity ya hao manabii kama ni feki au ni manabii kweli


Tatizo linaanzia hapo mkuu


Hata marekani wana msemo wao In God we trust

Hii dunia ina siri nyingi sana
Usione watu wanapanda vyeo na kufanikiwa kwenye biashara ukadhani inatokea tu kirahisi rahisi


Kuna siri nyingi nyuma ya pazia

Kunasayansi ipo ambayo haifundishwi chuo haipomashuleni ila ipo mtaani na inafanya kazi watu wansitumia na inawasaidia


Fanya research mkuu
Sawa mkuu mpeleke jamaa kwa huyo nabii wa kweli unayemjua akamuondolee matatizo yake.
 
ukitaka kujua shida inayokusibu nenda kwa muonaji (siyo mganga). Kama unaamini upande wa nuru, sikiliza au tafuta kitabu cha Mwl. Mwaksege au Pastor Sunbella Kyando masomo yake juu ya ndoto yapo YouTube. Kumbuka hawatafsiri ndoto bali wanakuelekeza namna ya kutafsiri ndoto.
 
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
Mungu kakujalia uwezo gani? Uwezo huo umewagusa vipi wengine? Sadaka (si lazima kwenye nyumba za ibada) unatoa? Ulishawahi kufunga kwa dhati? Bila kujali kama ni Kwaresma au Ramadhani? Huwa unamuomba Mungu kitu gani? Huwa unatubu?

Watu wengi tunaishi tukijiaminisha tunamjua Mungu ila rohoni hiyo imani hatuna. Njia za Mungu sio njia zetu. Wala mawazo yake sio yetu. Inatubidi tuishi kwa namna Mungu atakavyo na sio vile tunavyotaka.
 
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
Ili kuskia sauti ya wito wa Mungu kwenye maisha yako,

ni muhimu kujitakasa kwa toba ili maskio ya roho yako yafunguke na upate kuitambua kirahisi sauti ya wito wa Mungu, ya nini Mungu anataka ufanye wapi ili hatimae maelekezo hayo ukiyatimiza yawe Baraka kwako binafsi na furaha kwa watoto na familia yako.
Mungu akuhurumie na akubariki sana gentleman 🐒

Hili linahusu wote,
Kuna mambo ni muhimu kuyaepuka ndrugo zango tunapotafuta baraka na neema za Mungu.
Mathalani,
Kwenye nyumba nyingi za ibada unaweza kuta mtu anatoka kufanya uasherati au uzinzi anaenda kuombewa apate baraka Fulani, bila kutubu kwanza najisi aliyoifanya, kisha tena mtu huyo huyo akitoka kwenye maombezi anarudi tena kwenye uasherati, na kesho anaenda tena kwenye maombi na maombezi vile vile bila kutubu. This can't work my friends ladies and gentlemen 🐒
 
Back
Top Bottom