Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Mwanamke siku zote ndiye mwenye power ya kusema baba wa mtoto ni nani.

Siku hizi wengine wana kadi 2 hadi tatu za clinic zenye baba tofauti lengo likiwa ni kujipatia fedha za kujikimu.

Kutokana na aliyoyapitia, jaribu kumsikiliza vizuri na kwa utulivu ili ujue uhalisia alitaka kufanya nini.

Hata kama ulikuwa hujamfuma na hizo sms, bado ukweli unabaki kwamba mwanamke ndiye anayejua baba halisi ni nani.

Siku zote mwanaume ni mlezi kwa hali yeyote ile.

Usikatishwe tamaa na watoto wa 2000 humu.

Msikilize vizuri ukimwelewa baki naye ila usipomwelewa achana naye!
 
Kichwa yako ina
Shika
Kichwa yako inakamata network fresh?
 
jufunze kusamehe na kusahau
 
Kwanza kabsa kapme dna maana ina maana huyo mtoto mmepeea wawili na alipokuwa akitoka kwako anaenda kukitembeza kwa jamaa pia.
 
Ulijitwisha mzigo mzito Sana toka awali.
 
Siwezi kuamini hii story.
Kwa hakika hakuna mwanaume mjinga wa namna hiyo. Miezi 5 tu hajashika mimba aachike na wewe uamini. Huyo ana umalaya na uongo promax ndivyo vilivyovunja ndoa zake 2 kwa mfululilizo
Kweli kabisa sijawah sikia ndoa inavu jika ndani ya miezi 5 kisa kutoshika mimba. Huyo ana kitu ambacho hakumwambia na ndicho kimevunja ndoa zake za awali na huenda ni umalaya
 
Nilishindwa kuahirisha alinililia sana nisimdhalilishe mbele ya familia na ndugu zake
Nina wasiwasi na uwezo wako katika kufikiri ,kutafakari na kupambanua mambo.

Usioe / kuolewa kwasababu ya kumuonea huruma unayemuoa / kuolewa naye.

Hamna ndoa hapo, pamoja na kwamba bado utaendelea naye huku ukijua dhahiri kuwa mbeleni lazima utashindwana naye. Umeoa "kahaba" .

Siku zote kichaka cha huruma ya mwanamke imejificha kwenye machozi. Una kazi ya ziada.
 
Sio tu nilimuonea huruma lakini nilitaka nijipe muda wa kutafakari na kupata ushauri kama hivi maana hata week haijaisha nimefunga ndoa just last friday.Najaribu kutafuta suluhu ya hili au utatuzi maana sikuamini nilichokiona
 
Wewe ni kati ya wanaume wajinga na wapumbavu kabisa kuwahi kutokea duniani

Yaani unaona kabisa mwanamke ni malaya halafu unamuoa hivyohivyo. Miaka hii kuna wanaume wa hovyo sana

Malaya huwa haachi asili yake. Mwanamke malaya huwa hasamehewi na usimpe malaya nafasi ya kumsikiliza. Mwanamke malaya ni mnafiki sana kujiliza na kuomba msamaha.

Ukisamehe anakuona mjinga anaendelea kutombesha

Wenzako hata kama walilipa mahari wakagundua mwanamke ni malaya huwa wanapiga chini hapohapo hata ikiwa vikao vya harusi vilianza wanapiga chini

Si umeona kuna mwamba hapo ndani ya miezi 5 tu ya ndoa kapiga chini huyo malaya. Ulivyo mjinga wewe unamfanya mke

You will learn the hard way
 
umeoa mwanamke aliyeshindwa ku move on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…