Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Kweli kabisa sijawah simia ndoa inavu jika ndani ya miezi 5 kisa kutoshika mimba. Huyo ana kitu ambacho hakumwambia na ndicho kimevunja ndoa zake za awali na huenda ni umalaya
Kwani yeye mbona kakudhalilisha mbele ya mshenga?
mshenga sikumwambia kaka yaani sijamwambia yeyote zaidi yake yeye na kupost hapa JF
 
Daah pole sana brother.
Dunia uwanja wa vita, Dunia sio mahala salama sana na sio salama kabisa kwa good guys kama wewe.

Kama mwanaume kataa katu kua good guy, utajuta karibu maisha yako yote, utakumbana na disapointments za kutosha, utaumizwa na kufanywa daraja kwa kila wa karibu yako hasa wanawake.

Huyo mkeo kashakuzidi akili na maarifa, alikutega kidogo na wewe ukajaa, daah pole sana aisee.

Sasa wewe unaogelea kwenye maamuzi kwa kufata hisia, wakati huo yeye anatumia akili ili mwanae na yeye waishi vizuri kupitia koro mmoja ambae ni wewe.

Cha kukushauri ni kua, kwenye kila maamuzi yako utayofanya anza kujiangalia wewe kwanza, sio mkeo wala huyo chalii, anza na wewe kwanza then hao wengine wafate.
 
Wewe ni kati ya wanaume wajinga na wapumbavu kabisa kuwahi kutokea duniani

Yaani unaona kabisa mwanamke ni malaya halafu unamuoa hivyohivyo. Miaka hii kuna wanaume wa hovyo sana kmmmk

Malaya huwa haachi asili yake. Mwanamke malaya huwa hasamehewi na usimpe malaya nafasi ya kumsikiliza. Mwanamke malaya ni mnafiki sana kujiliza na kuomba msamaha.

Ukisamehe anakuona mjinga anaendelea kutombesha

Wenzako hata kama walilipa mahari wakagundua mwanamke ni malaya huwa wanapiga chini hapohapo hata ikiwa vikao vya harusi vilianza wanapiga chini

Si umeona kuna mwamba hapo ndani ya miezi 5 tu ya ndoa kapiga chini huyo malaya. Ulivyo mjinga wewe unamfanya mke

You will learn the hard way
ahsante kwa ukweli mchungu brother
 
Daah pole sana brother.
Dunia uwanja wa vita, Dunia sio mahala salama sana na sio salama kabisa kwa good guys kama wewe.

Kama mwanaume kataa katu kua good guy, utajuta karibu maisha yako yote, utakumbana na disapointments za kutosha, utaumizwa na kufanywa daraja kwa kila wa karibu yako hasa wanawake.

Huyo mkeo kashakuzidi akili na maarifa, alikutega kidogo na wewe ukajaa, daah pole sana aisee.

Sasa wewe unaogelea kwenye maamuzi kwa kufata hisia, wakati huo yeye anatumia akili ili mwanae na yeye waishi vizuri kupitia koro mmoja ambae ni wewe.

Cha kukushauri ni kua, kwenye kila maamuzi yako utayofanya anza kujiangalia wewe kwanza, sio mkeo wala huyo chalii, anza na wewe kwanza then hao wengine wafate.
nashkuru sana kwa ushauri ndugu yangu
 
Endelea tu na maisha bro !
Bora ya wewe umeona, sisi wengine hatuoni yanayoendelea ila tunajipa moyo ingawa nyuma ya pazia kuna mengi mno.
Hata kama usingeona siku ya harusi ipo siku ungeona na pengine ingekuwa mbaya zaidi kuliko siku hio.

Vinginevyo wewe ni mwanaume wa shoka, uanaume haupimwi kwa maumbile kana ndevu sauti nzito nk bali uwezo wa kubeba swala nzito huku ukiendelea na mambo mengine bila wengine kuhisi au kujua, ni wachache mno wa aina yako, hata wazee wetu walikuwa wanafuka 100% lakini walikaza na kuhitimisha kitanda hakizai haramu.

Ila ijuikane mwanamke ni mtu mwenye tamaa ya asili hivyo kama unajihusisha na mwanamke juwa namna ya kukabilia na aina hio ya udhaifu wake.
Huu ushauri wa kujimaliza huu, uanaume sio kuficha ujinga ila ni kujua unadeal nao vipi usikuathiri.

Unaficha kuchapiwa mwisho wa siku unakuja kuambiwa watoto wote sio wako, huyo ni mke wa mtu na matatizo kama hayo.

Nini maana ya kuoa kama huna amani na unaeishi nae??
 
ila chibu unatamani kufa mapema
Kwanini ndugu yangu?
Huu ushauri wa kujimaliza huu, uanaume sio kuficha ujinga ila ni kujua unadeal nao vipi usikuathiri.

Unaficha kuchapiwa mwisho wa siku unakuja kuambiwa watoto wote sio wako, huyo ni mke wa mtu na matatizo kama hayo.

Nini maana ya kuoa kama huna amani na unaeishi nae??
FACT
 
Back
Top Bottom