Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

 
Mchango wangu ni kupeleka tangazo lako la msiba radio one
 
Acha ujinga,kama Mwanamke ana power DNA zilivumbuliwa za nini?
Kama mwanamke amelala na wanaume 2 kwenye siku zake za hatari atajuaje mimba ni ya A na sio B.
 
Red flag ilikuwa kukamata sms ulivyomuuliza akakana, Mimi habari ingeishia hapo kwenye kukana sms, hakuna mtu mjinga duniani, once mtu akikuconfront kwa kitu fulani jua kabisa kuna kitu anajua....

Binafsi nisingemuelewa labda serikali ingeingilia kati.

I can't go along with liers, hivi mnawezaje kuishi na watu waongo?

Haya ngoja waje wailaumu ndoa wakati ndoa ilikuwa imekaa zake pembeni imetulia.
 
nimekuelewa kaka
 
Mtu aliolewa twice huko aliko akaachika na wewe ukamuamini kirahisi? Man jitafakari kwanza. Umeoa a walking red flag
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…