Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Huna akili. Ni mpumbavu. Na unastahili kila linalokupata. Ulishindwaje ku call it off? Ulitaka kufurahisha watu. Pita hivi.
 
Huna akili. Ni mpumbavu. Na unastahili kila linalokupata. Ulishindwaje ku call it off? Ulitaka kufurahisha watu. Pita hivi.
 


Mambo 2:

1. Acha huyo Mbwa.
2. DNA.

Ila huwa hamsikii....

Unatuabisha kuja kuuliza ushauri, mimi hata ndo isingefungwa.
 
Tulishawakataza kuwaonea huruma wanawake narudia tena “ mwanamke sio mtu wa kumwonea huruma” ye alikuwa hapati mtoto kwani ni tatizo laoko wewe ? Si la kwakwe yeye ? Umemwonea huruma umentia mimba amezaa ila ye hakupend wewe anampenda jamaake alichokifanya yeye ni kukuonea huruma ukamwoa na hiyo ni sababu umeweza kumjaza mimba mapenz ya kuoneana huruma ni mabaya sana hilo zigo libebe kama lilivyo umewaolea wahuni, mtoto kashapata ila bado hajampata anae mpenda ndio anamtafuta na nakuhakikishia anaempenda sio wewe mkuu, kuna jamaa mwingine atakuwa anamshindilia misumari ya moto na mapenz yatakuwa moto. When are you guys gonna learn to mind your own business ?
 
kwa hiyo avumilie kulea mtoto wa mwanaume mwingine.? hapo jambo la muhimu ajiridhishe kwanza kama mtoto ni wake ndo anaweza kuamua kuvumilia
 
Nilishindwa kuahirisha alinililia sana nisimdhalilishe mbele ya familia na ndugu zake
Kila siku tunapigiana kelele humu kwamba usimuoe mwanamke kwa sababu ya huruma eti atadhalilika hiyo itaku-cost lakini wewe bado umekuwa stubborn husikii!!!

Acha kuhurumia malaya hao hakuna kitu watakupa zaidi ya maradhi na headache mwanamke wa kumjali ni mama yako mzazi tu na yule anayefuata matakwa yako nje ya hapo mtoto wa kiume maisha utayaona machungu kama sifongo kwenye dunia hii.
 
Kweli, hutuma sio malezi
 
Mwanamke akiishinda tamaa, ameshinda sehemu kubwa ya maisha yake.
 
Ukaogopa kumdhalilisha yeye ila ukajilipua kujidhalilisha wewe. Kwahiyo waliomuoa mwanzo na kuachana mwanzo walikuwa wanaume ila wewe ukajiona kidume utaweza! Hizi shida umezitaka mwenyewe endelea kupambana nazo
NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
TUNZA FURAHA YAKO
 
Asipokuwelewa hapa ndo basi tena, salama yake ni kukaa mbali na huyo mwanamke haijalishi mtoto ni wake au lah.
 
Kwa nini binadamu tupo judgemental sana? Mtu mwenyewe humjui?
Kaomba ushauri. Kama unalo la kumshauri do. Kama huna pita pembeni. You don't need to judge him.
You judge their thinking. Mwanamke alikuwa demu wake akamuacha kwenda kuolewa, akaachika akaolewa kwingine akaachika anarudi kwako eti unamuoa kisa huruma?
 
  • Ndio maana wazee waliwachagulia vijana wao wenza.
  • Demokrasia (uhuru wa kuchagua) ni utaratibu mzuri ila unahitaji jamii iliyostaarabika vilivyo - yenye akili na nidhamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…