Natamani nisingezaliwa
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 112
- 265
- Thread starter
- #201
Hapana usiseme ivoMungu atujalie girls
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usiseme ivoMungu atujalie girls
Sitaki naogopa sanaHapana usiseme ivo
AsanteMkuu pole sana kwa kweliii
Hayo mambo yalikuwepogi kitamboooo sana sema ni vile tu kulikuwaga hamna sosho mediazBoys Hapana Hali mbaya nje uku
Mkuu pole Hilo tatizo lako unapona kabisa kwa dawa za mitishamba ikiwa una uhakika ulikuwa unaingiliwa bila kupenda na una Nia kuacha hiyo tabiaMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Sio kuogopa inabidi ujifunze mshukuru mungu umepata ufahamu jinsi ndugu wanavoharibu watoto wa kiumeSitaki naogopa sana
Mxenge wewe 🤣🤣🤣Baba yangu alipo wapeleka ndugu zetu (wageni) wakalale wodini (hospitali), kipindikile sikumuelewa kabisa.
Ilinichukua miaka mingi kuja kugundua kwanini mzee alifanya vile.
So sad....
Kijana mdogo and he is just 25 yrs old...🤨
Lkn nimeogopa baba majike tupate😂Hayo mambo yalikuwepogi kitamboooo sana sema ni vile tu kulikuwaga hamna sosho mediaz
Haya mambo ya kulaza wageni kwenye vyumba wanavyolala watoto, ni moja ya vitu ambavyo siwezi kuja kufanya kwa kweli.Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Huku kwetu ndugu unapiga BAN kuja kulala home, wanatakiwa waje wageuze siku hiyohiyoLkn nimeogopa baba majike tupate😂
Nimejifunza ila mtoto Ntaenda nae shule?Sio kuogopa inabidi ujifunze mshukuru mungu umepata ufahamu jinsi ndugu wanavoharibu watoto wa kiume
Mgeni kama huwezi kulala sebulen kapange guest, full stop. Chumba cha watoto wangu hata usafi wanafanyaga waoHaya mambo ya kulaza wageni kwenye vyumba wanavyolala watoto, ni moja ya vitu ambavyo siwezi kuja kufanya kwa kweli.
Watasema nimekuloga 😍ila inaonekana bado unataka baby boyHuku kwetu ndugu unapiga BAN kuja kulala home, wanatakiwa waje wageuze siku hiyohiyo
Asante nina nia ya dhati kuachaMkuu pole Hilo tatizo lako unapona kabisa kwa dawa za mitishamba ikiwa una uhakika ulikuwa unaingiliwa bila kupenda na una Nia kuacha hiyo tabia
Nina Ushuuda wa mtu ambaye alikuwa shoga wa kutupwa miaka ya 2000 mwanzoni lkan sasa ameachana na ana familia yapata miaka 15 sasa imepita na ana mtoto mwaka huu anafanya mtiani wa darasa la saba
Ni jambo ambalo ukiamua kwa Nia unaweza
Kwa tiba za mitishamba unapona kabisa
Hakika mkuu mgeni hatakiwi kulala home akija ni kupata msosi tu na kusepaMgeni kama huwezi kulala sebulen kapange guest, full stop. Chumba cha watoto wangu hata usafi wanafanyaga wao
Ndugu sijui mabinamu, sijui Wajomba zake nk hawatakiwi home except babu yao na bibi yaoWatasema nimekuloga 😍ila inaonekana bado unataka baby boy
Ndugu sijui mabinamu, sijui Wajomba zake nk hawatakiwi home except babu yao na bibi yaoWatasema nimekuloga 😍ila inaonekana bado unataka baby boy
Staki naogopaKwann tena
Kwa kweli mhNdugu sijui mabinamu, sijui Wajomba zake nk hawatakiwi home except babu yao na bibi yao
Over