Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Umejitahidi kidooogo.
Binafisi nimetambua kuwa huyu jamaa akili inamtuma kwamba tatizo A huenda ndilo limepelekea kupata tatizo B. Sikatia na wala sikubali ila ninachokifahamu mimi kuhusu tatizo B ni shahuku kubwa anayokuwa nayo ndiyo umpelekea kuhitimisha mbio mapema sana.

Lkn kadri atakavyozidi kufanya kwa interval fupifupi ndivyo kiwango cha manii kwenye stock yake zinavyopungua hivyo kumpa nafasi ya kuchelewa kwa mara nyingine zaidi kwani sperm secretion inakuwa taratibu mno.

Tatizo A aamue yeye kubadilika kwanza ndipo mwenendo wa maisha na tabia yake itabadilika ikiwa alichokiandika ndicho anacho maanisha.
Nafikiri kama ana nia ya dhati ya kuacha, basi ataacha huo uraibu wake

Maana ni tabia inayokuwa Kwa Kasi Kwa Vijana wengi miaka hii
 
Wakuu mi nameongea na Dem wangu Flan...kuhusu hii ishu.
Tumekubaliana ikibidi jamaa atoke na Dem wangu Gharama zote zangu.
Ili amsaidie changamoto zake.

Ikishindikana basi nimuelekeze jinsi ya Kula dem... wakati tukiwa wote mpaka apone huu ndo Msaada wangu
Mtafute jamaa ila ushauri wangu ni bora usiwepo na ww atajasikia aibu mpe uhuru demu wako ndio atakupa feedback kama kashindwa au vp ikitokea kashindwa ndio siku nyingine uwepo ww umfundishe
 
Pole sana rafiki yangu, kitu cha kwanza ni kumuomba Mungu maana hizo ni spirit so Mungu pekee ndio anaweza kukusaidia kushinda na kuvuka hapo.

Kuhusu kuwahi, tengeneza juice ya vitunguu maji, weka limao na asali kunywa glass moja asbh na jioni moja usizidishe usije ukawa unajichafulia boxer buree maana dudu litakuwa linatema utee kila wakati, nasubiri shukran yangu
Ok sawa asante 🙏
 
Mtafute jamaa ila ushauri wangu ni bora usiwepo na ww atajasikia aibu mpe uhuru demu wako ndio atakupa feedback kama kashindwa au vp ikitokea kashindwa ndio siku nyingine uwepo ww umfundishe
Yeye tuu...maana huyu Dem wangu ni mshkaji wangu Hana Shida.
Atakavyo penda mi nampa...
Na akiona Aibu ntamuonesha Demonstrations
 
Baba yangu alipo wapeleka ndugu zetu (wageni) wakalale wodini (hospitali), kipindikile sikumuelewa kabisa.
Ilinichukua miaka mingi kuja kugundua kwanini mzee alifanya vile.
So sad....
Kijana mdogo and he is just 25 yrs old...🤨
🤣🤣
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
...Pole Sana. Subiri waje Washauri....?
 
Back
Top Bottom