Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

NO. Jikubali tu.

Haya ni maisha yako, hauishi kwa ajili ya mtu mwingine.

Kwani ukifirwa unajisikia vibaya? Kama ndio basi acha.

Kama haujisikii vibaya endelea kula miboro hiyo, hata yesu akishuka anakukuta unabugia na kunyonya hogo kubwa jeusi.

Ni heshima sana.

Cc: Poor Brain Mbaga Jr Half american Mzee wa kupambania Extrovert The Icebreaker dronedrake
Aisee ila ngoja nikuambie tu ukweli najisikia vibaya sana na sijafanya huo mchezo toka form4 mpk namaliza chuo kinachonisumbua nachokipambana nacho hizo hisia ambazo zinakuja ndio natafuta tiba yake pia pamoja na uume kulegea hausimami vizuri na kujoa chin dkk 1 pia kwangu sio heshima nitakuwa na amani nikipata tiba na hizi hisia zikitoka kabisa na kuwa huru kama wanaume wengine ni kitu ambacho naomba mungu anisaidie
 
Ni muhimu kwenye hospitali kupata tiba kwanza ambayo itakuondolea misisimko sehemu ya nyuma.

Ukifanikiwa hilo anza mazoezi. Mazoezi ya kujenga misuli zaidi yatakusaidia kupandisha homoni ya kiume na hivyo kuufanya uume kua ngangali.


Usipige nyeto kabisa
Ok sawa nimekulewa kuhusu hospital bado sijaanza kwenda na mpango wa kwenda mazoezi nimeanza ya kukimbia
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Pole sana ndugu mungu atakusaidia,
Tafuta mafuta yanaitwa habati soda(black seed oil) tumia kijiko kimoja Kwa siku na Kila unapokunywa chukua na tende Moja au mbili kula fanya Hilo zoezi ndani ya mwezi alafu lete mrejesho.

Usiache mazoezi.
 
Pole sana ndugu mungu atakusaidia,
Tafuta mafuta yanaitwa habati soda(black seed oil) tumia kijiko kimoja Kwa siku na Kila unapokunywa chukua na tende Moja au mbili kula fanya Hilo zoezi ndani ya mwezi alafu lete mrejesho.

Usiache mazoezi.
Ok sawa nitatafuta mazoezi sitaacha
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Wewe ni mwanaume shababi.

ni sawa umeliwa mara kadhaa lakini hilo halikufanyi nawe ukose uwezo wa kuwala wadada.

Sahau yaliyopita,jiamini na kisha anza maisha mapya.


Usipende kuintertain matatizo ya zamani ukayapata airtime kwamba ndio yanakuletea shida za sasa.

Mapito yameshapita achana nayo anza maisha mengine kama mwanaume,kuanza kukaa na kuuelezea ishu za zamani huwenda ikawa ni ishara ya kwamba unataka kuendelea
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Limeisha hilo mkuu ni rahis chukua naz na muhogo tafuta kwa pamoja kunywa maji lita moja kisha fanya zoez la kuruka ruka kwa nusu sa kama hiv kwenye video nime attach fanya kama week utakua na hormone na hamu nying ya uume kusimama hivyo utaitaji kuingilia zaid kama utaitaj msaada zaid zipo tiba za program za matunda na maji ya uvugu uvugu kw gharama ya elf 10 tu what app 0712505049
 
Pole sana dogo maranyingi huwa nasema familia nyingi niviwanda vya kuzalishia mashoga kinachokusumbua baada ya kuingiliwa mapepo yalikuvamia ilikuhalibu mfumo wako wahisia ,huko kutokusimamisha nisababu ya kupiga punyeto kuliko pitiliza fanya toba sali sana hilo swala lita toka, kingine onana na wataalamu wa saikolojiahuyo aliye kuharibu kizazi chake hakitakuwa salama milele
aminaaa na aamini uyo piaa kjna
 
Limeisha hilo mkuu ni rahis chukua naz na muhogo tafuta kwa pamoja kunywa maji lita moja kisha fanya zoez la kuruka ruka kwa nusu sa kama hiv kwenye video nime attach fanya kama week utakua na hormone na hamu nying ya uume kusimama hivyo utaitaji kuingilia zaid kama utaitaj msaada zaid zipo tiba za program za matunda na maji ya uvugu uvugu kw gharama ya elf 10 tu what app 0712505049
Ok sawa mkuu asante
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Chukua ndizi mbichi choma jikoni ikipata joto menya maganda haraka na uchomeke huko nyumaa
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Hakuna dawa ya araibu labda kama umepata infection itokanayo na huo uraibu ndo utatibu kwa dawa,,,,nguzo ya kuachana na hii kitu na ndo dawa basi ni akili yako mwenyewe ikubali kuacha hicho kitu ila kama unasema ushauri utakubadilisha huo uongo kaka ,,, akili yako ikatae tu ichi kitu utaacha swala la hisia na wanaume hili ni gumu maana tayari ubongo ushatengeneza flavour sasa fanya iv vutiwa nao ila potezea,,,swala la kumwaga chini ya dk 1 hiyo kawaida kwa binadamu mwenye afya
 
  • Thanks
Reactions: 2v1
Peleka ujinga fanya mazoezi achaa mastory na mademu usiangalie movie za kimarekani kula mkuyati na kula vyakula vya kuongeza homoni kukabiliana na addicted yyt inataka maamuzi sio kuja kuongea humu kinyongenyonge kaza broo utalema
 
Nenda hospitali wakusafishe kama bado unaendelea na hiyo michezo..

Epuka kukaa peke yako ama kuingia mitandao inayokishawishi kufanya huo upuuzi.

Omba Mungu kwa imani yako.

Fanya mazoezi na ujiunge na vilabu vya mazoezi..

Mengine waongeze wanasaikolojia, ila hilo la kutamani vidume sijui unasaidikaje aisee.
 
Back
Top Bottom