begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Pole sana dogo maranyingi huwa nasema familia nyingi niviwanda vya kuzalishia mashoga kinachokusumbua baada ya kuingiliwa mapepo yalikuvamia ilikuhalibu mfumo wako wahisia ,huko kutokusimamisha nisababu ya kupiga punyeto kuliko pitiliza fanya toba sali sana hilo swala lita toka, kingine onana na wataalamu wa saikolojiahuyo aliye kuharibu kizazi chake hakitakuwa salama milele