Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Pole sana dogo maranyingi huwa nasema familia nyingi niviwanda vya kuzalishia mashoga kinachokusumbua baada ya kuingiliwa mapepo yalikuvamia ilikuhalibu mfumo wako wahisia ,huko kutokusimamisha nisababu ya kupiga punyeto kuliko pitiliza fanya toba sali sana hilo swala lita toka, kingine onana na wataalamu wa saikolojiahuyo aliye kuharibu kizazi chake hakitakuwa salama milele
 
Ukirudi sii demu kashalala tena hana stimu
Kwani unapotibu tatizo lazima uje kivingine,na kumbuka hapo akipiga kimoja mpaka mwezi uishe,akizoea hiyo hali atapata kujiamini then atakuja na strength more,na mwanamke ajitambue asiwe mwendo kasi
 
Kumbuka kila mtu ana shida zake,wewe unachotakiwa kufanya endelea kuwatafuna wanawake kwa Kasi kubwa,tumia Asali na Kitunguu swaumu,then paka Colgate kwa Babu alafu hakikisha huna wasiwasi,then mambo ya akili slowly utazoe,ukitaka kumwaga chomoa then oga kidogo then endelea hakikisha unatawala game alafu sema I am a real man yes I am.with time utarudi live,usiangalie pornal.
Sawa nitafanya ivo
 
Umenikumbushaa mwamba mmmoja wa ifm miakahioo somebody mosh... dah akawa anakuja beach rainbow wanamgonga live akikupenda anakufwata

Napiga sana mazoezi nkamwambia nikuunge na Watu wa Munguu wakusaidie uache akasema siwezii nataman kila siku

Kule beach wakawa wanampiga mande za maana....

Sasa sikumoja wakatoka na jamaa flan wakaenda kufanya karibu na nyumba ya mzungu kumbe anawaona cctv jamaa walikuwa wawili

Mzungu akamwita mmasai akamsomesha unaona wale nataka wote washugulikiwe

Wana mbwaa kama tembo wawili walinzi wakafungua geti polepoleee wakasakazia mbwa wale aisee dogo alitafunwaa ombooo ngandee kila sehemu na mmmoja wa wafirai nae akaliwa kama panyaaa wakafia pale

Nilisikitika sanaa...rip

Jitahidi kwenda makanisa ya kirohoi watakuombea utaacha hizo n rohoooo

Na ukiona hivyoi kuna baadhi hukoo nyuma ndugu zakooo naoo walikuwa na haka kamchezo so n kama umerithiiii........

Ukawe huru ndugu
Nimeshaanza kwenda makanisani mkuu
 
Nenda Maria stopes unaweza saidika. Sijui uko wapi?

Suala lako liko sensitive linahitaji watu sensitive, usipokuwa makini wataendelea kutumia your vulnerability kukumanipulate na utaendelea kuliwa, Men are just curious out there, Kuwa makini.

If you are serious lakini, maana JF nayo.
Niko serious kuacha sitaki kurudi nyuma
 
Pole sana dogo maranyingi huwa nasema familia nyingi niviwanda vya kuzalishia mashoga kinachokusumbua baada ya kuingiliwa mapepo yalikuvamia ilikuhalibu mfumo wako wahisia ,huko kutokusimamisha nisababu ya kupiga punyeto kuliko pitiliza fanya toba sali sana hilo swala lita toka, kingine onana na wataalamu wa saikolojiahuyo aliye kuharibu kizazi chake hakitakuwa salama milele
Ok sawa asante
 
Baba yangu alipo wapeleka ndugu zetu (wageni) wakalale wodini (hospitali), kipindikile sikumuelewa kabisa.
Ilinichukua miaka mingi kuja kugundua kwanini mzee alifanya vile.
So sad....
Kijana mdogo and he is just 25 yrs old...🤨
Mzee wako alikua anajua hujui kukaza ungeliwa mapema tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
toto zembe wewe ulikua unashindwa kusema kwawalezi wako kua unafirw?
Ushaanita mzembe pia huu muda sio wa kunilaumu kitendo kishafanyika ukiwa mtoto ni ngumu sana kusema usifikirie ni rahisi na hata ukisema kile kitu kinakuwa kimekaa kichwani kwa hiyo utatafuta kila namna ukirudie hata nje ya kwenu
toto zembe wewe ulikua unashindwa kusema kwawalezi wako kua unafirw?
 
Pole sana mkuu.
KAMA WEWE NI MKRISTO
sali ile sala ya Baba yetu
ILa isali ukiwa unamaanisha na ukichqmbua kifungu kimoja kimoja.

Nenda hospitali usiogope maana uoga wako ndio anguko lako.

Aibu na watanionaje havijawahi kusaidia hata kodogo
 
Pole sana mkuu.
KAMA WEWE NI MKRISTO
sali ile sala ya Baba yetu
ILa isali ukiwa unamaanisha na ukichqmbua kifungu kimoja kimoja.

Nenda hospitali usiogope maana uoga wako ndio anguko lako.

Aibu na watanionaje havijawahi kusaidia hata kodogo
Asante nitafanya ivo kuhusu hospitali ndio nipo kwenye mpango huo kwenda ila lazima niende safari hii
 
Ni muhimu kwenye hospitali kupata tiba kwanza ambayo itakuondolea misisimko sehemu ya nyuma.

Ukifanikiwa hilo anza mazoezi. Mazoezi ya kujenga misuli zaidi yatakusaidia kupandisha homoni ya kiume na hivyo kuufanya uume kua ngangali.


Usipige nyeto kabisa
 
Back
Top Bottom