Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Unajisikiaje unavyoshika manii ya mwanaume mwenzako? Huna kinyaa?
Pia, ongeza self esteem yako na kujua wewe ni MWANAUME, ni kichwa. Wewe ndiwe unatakiwa uwageuze watu, siyo ugeuzwe.
Nenda kapige gym, inaongeza confidence!
Kati ya vitu sivikubali basi ni sperm, zinanitia kinyaa mno
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Piga sana zoezi la kutosha ninaimani utakuja kukaa sawa
 
pole sana...kama upo fb mtafute jamaa mmoja anaitwa Kondo Zahran Humbwaga atakusaidia bure kabisa....amewasaidia wengi no yake hii hapa 0747121111 mpigie
 
Nenda hospitali wakusafishe kama bado unaendelea na hiyo michezo..

Epuka kukaa peke yako ama kuingia mitandao inayokishawishi kufanya huo upuuzi.

Omba Mungu kwa imani yako.

Fanya mazoezi na ujiunge na vilabu vya mazoezi..

Mengine waongeze wanasaikolojia, ila hilo la kutamani vidume sijui unasaidikaje aisee.
Asante sana
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Pole sana rafiki yangu, kitu cha kwanza ni kumuomba Mungu maana hizo ni spirit so Mungu pekee ndio anaweza kukusaidia kushinda na kuvuka hapo.

Kuhusu kuwahi, tengeneza juice ya vitunguu maji, weka limao na asali kunywa glass moja asbh na jioni moja usizidishe usije ukawa unajichafulia boxer buree maana dudu litakuwa linatema utee kila wakati, nasubiri shukran yangu
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Omba sana MUNGU upate watu wema wa kukupa ushauri,,
Usije ukakutana na watu waovu wakakuoa kabisa.

Dunia hii imeshakuwa vurugu tupu kwa sasa.
 
Pole kijana ila ushauri wangu tafuta demu pia humu wadau msaidieni kijana kupata mwanamke haswa ambae hajatumika sana uone utamu wake utaacha hizo hisia ukiendekeza utashindwa kuacha bado hujachelewa nyie wadada mpo single nendeni kwa kijana hapo
Mi ntalipa Room na Dem lakini Kwa Shart la Deh ahakikishe Kato...
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Weka namba hapa usaidike kama huyu mwenzio
 

Attachments

  • IMG-20240901-WA0007.jpg
    IMG-20240901-WA0007.jpg
    56 KB · Views: 9
Pole Kwa hiyo changamoto unayopitia....

Suala la wewe kufika mshindo kabla ya dakika 1 lisiwe jambo la kukukatisha tamaa na kufanya uendelee kutamani kuingiliwa na Wanaume wenzako.

Tupo Wanaume wenzako wengi tu ambao pamoja na kumwaga Chini ya dakika 1 lakini bado tunaendelea kufurahia Uanamme wetu

Nashauri kama una hilo tatizo la kumwaga Chini ya dakika 1, hakikisha Mpenzi wako mnaandaana Kwa yeye kukunyonya Ub****o wako hadi umwage

Baada ya hapo, muombe akufute na kitambaa cha Maji ya moto kisha akusinge (Akumasaji) mb***o yako hadi inaposimama tena

Ikiwa kwenye hali hiyo hiyo ya kusimama, mwambie aikalie mkifanya huku mnaangaliana usoni ili kuongeza hisia Kwa huyo girlfriend wako

Hakuna raha Kwa Mwanaume kama kuendelea kuwa Mwanaume
Umejitahidi kidooogo.
Binafisi nimetambua kuwa huyu jamaa akili inamtuma kwamba tatizo A huenda ndilo limepelekea kupata tatizo B. Sikatia na wala sikubali ila ninachokifahamu mimi kuhusu tatizo B ni shahuku kubwa anayokuwa nayo ndiyo umpelekea kuhitimisha mbio mapema sana.

Lkn kadri atakavyozidi kufanya kwa interval fupifupi ndivyo kiwango cha manii kwenye stock yake zinavyopungua hivyo kumpa nafasi ya kuchelewa kwa mara nyingine zaidi kwani sperm secretion inakuwa taratibu mno.

Tatizo A aamue yeye kubadilika kwanza ndipo mwenendo wa maisha na tabia yake itabadilika ikiwa alichokiandika ndicho anacho maanisha.
 
Wakuu mi nameongea na Dem wangu Flan...kuhusu hii ishu.
Tumekubaliana ikibidi jamaa atoke na Dem wangu Gharama zote zangu.
Ili amsaidie changamoto zake.

Ikishindikana basi nimuelekeze jinsi ya Kula dem... wakati tukiwa wote mpaka apone huu ndo Msaada wangu
 
Back
Top Bottom