Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Afu sjui huwa ipoje ,mtoto wa kiume akiingiliwa mara moja,inakuwa anatokewa na hayo mambo sjui wapenda tope huwa wanajuaje,sasa ona anatoka shule jamaa kampeleka kichakan na wakat anaonekana yupo kiume
MOD WANAFUTA MADA ZA MAANA WANAACHA UJINGA KAMA HUU KWELIII..ALIKUWA MALAIKA

INAFUNZA NN HUU UCHAFU
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Kumbuka kila mtu ana shida zake,wewe unachotakiwa kufanya endelea kuwatafuna wanawake kwa Kasi kubwa,tumia Asali na Kitunguu swaumu,then paka Colgate kwa Babu alafu hakikisha huna wasiwasi,then mambo ya akili slowly utazoe,ukitaka kumwaga chomoa then oga kidogo then endelea hakikisha unatawala game alafu sema I am a real man yes I am.with time utarudi live,usiangalie pornal.
 
Kumbuka kila mtu ana shida zake,wewe unachotakiwa kufanya endelea kuwatafuna wanawake kwa Kasi kubwa,tumia Asali na Kitunguu swaumu,then paka Colgate kwa Babu alafu hakikisha huna wasiwasi,then mambo ya akili slowly utazoe,ukitaka kumwaga chomoa then oga kidogo then endelea hakikisha unatawala game alafu sema I am a real man yes I am.with time utarudi live,usiangalie pornal.
iyoo kitunguu swaumu unatafunaa
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Umenikumbushaa mwamba mmmoja wa ifm miakahioo somebody mosh... dah akawa anakuja beach rainbow wanamgonga live akikupenda anakufwata

Napiga sana mazoezi nkamwambia nikuunge na Watu wa Munguu wakusaidie uache akasema siwezii nataman kila siku

Kule beach wakawa wanampiga mande za maana....

Sasa sikumoja wakatoka na jamaa flan wakaenda kufanya karibu na nyumba ya mzungu kumbe anawaona cctv jamaa walikuwa wawili

Mzungu akamwita mmasai akamsomesha unaona wale nataka wote washugulikiwe

Wana mbwaa kama tembo wawili walinzi wakafungua geti polepoleee wakasakazia mbwa wale aisee dogo alitafunwaa ombooo ngandee kila sehemu na mmmoja wa wafirai nae akaliwa kama panyaaa wakafia pale

Nilisikitika sanaa...rip

Jitahidi kwenda makanisa ya kirohoi watakuombea utaacha hizo n rohoooo

Na ukiona hivyoi kuna baadhi hukoo nyuma ndugu zakooo naoo walikuwa na haka kamchezo so n kama umerithiiii........

Ukawe huru ndugu
 
mtumaini Mungu atakuweka huruuu kweli kweliii.....wapoo wasagajii humu wanasoma wanataman kuachaa naooo wasikkatee tamaaaa muwe karibu na Mungu

mtakuwaa salama kwelikweli
 
Kumbuka kila mtu ana shida zake,wewe unachotakiwa kufanya endelea kuwatafuna wanawake kwa Kasi kubwa,tumia Asali na Kitunguu swaumu,then paka Colgate kwa Babu alafu hakikisha huna wasiwasi,then mambo ya akili slowly utazoe,ukitaka kumwaga chomoa then oga kidogo then endelea hakikisha unatawala game alafu sema I am a real man yes I am.with time utarudi live,usiangalie pornal.
Sijaelewa yaani katikati ya mgegeduano wakati unasikia wadhungu wanakuja achomoe aende kuoga?
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Hii testimony imenitoa machozi.
Angalieni tatizo la kisaikolojia la kudumu linavyomsumbua muathirika wa matendo ya ulawiti kuanzia utotoni.

Mkuu, mtafute Dr. Mariposa akupe tiba ya kisaikolojia kwanza
 
Nenda Maria stopes unaweza saidika. Sijui uko wapi?

Suala lako liko sensitive linahitaji watu sensitive, usipokuwa makini wataendelea kutumia your vulnerability kukumanipulate na utaendelea kuliwa, Men are just curious out there, Kuwa makini.

If you are serious lakini, maana JF nayo.
 
Back
Top Bottom