Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Mkuu pole Hilo tatizo lako unapona kabisa kwa dawa za mitishamba ikiwa una uhakika ulikuwa unaingiliwa bila kupenda na una Nia kuacha hiyo tabia
Nina Ushuuda wa mtu ambaye alikuwa shoga wa kutupwa miaka ya 2000 mwanzoni lkan sasa ameachana na ana familia yapata miaka 15 sasa imepita na ana mtoto mwaka huu anafanya mtiani wa darasa la saba
Ni jambo ambalo ukiamua kwa Nia unaweza
Kwa tiba za mitishamba unapona kabisa
 
Baba yangu alipo wapeleka ndugu zetu (wageni) wakalale wodini (hospitali), kipindikile sikumuelewa kabisa.
Ilinichukua miaka mingi kuja kugundua kwanini mzee alifanya vile.
So sad....
Kijana mdogo and he is just 25 yrs old...🤨
Mxenge wewe 🤣🤣🤣
 
Haya mambo ya kulaza wageni kwenye vyumba wanavyolala watoto, ni moja ya vitu ambavyo siwezi kuja kufanya kwa kweli.
 
Asante nina nia ya dhati kuacha
 
Hizi Post zinazidi TU kuongezeka , Nika Kuna campaign Inapigwa,
Japo hii 👆 post ni chai jaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…