Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Mm ni mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa hasa mm alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile nikafikirigi ni michezo ya kawaida kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadilia kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mm nilikuwa sijui nae akafanikiwa kipind natoka shule njian akiniona mm naenda anipeleka kichakan ikawa ivo nikafika secondary mm tayari hisia zangu kwa mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipind nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni nilipofika form4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipind hicho nilikuwa nahisia na mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym mnielewe mm nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe yeyote wala sina sauti ya kike. Kutoka form4 mpaka form6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1 uume hausimami vizurii kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipind cha nyuma haswa kipind kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa ivi naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea ivi hata wa kiume pia kiukweli mm michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Wee usiniambie kumbe inabidi na mie niende gym. Sasa mwanawane hapo mbona rahisi tuu. Sii una mwambia tuu gelofrend wako avae strapon alafu anakugegeda na wee unamgegeda.
Suala la dakika moja kumwaga mbona wee afadhali mwenzio sekunde ishirini chali
 
ndugu yangu,hakuna dawa zaidi ya mazoezi fanya zaidi na zaidi,usiende gym wee nenda pwani au road push up,sqush,runs kwa wingi fanya kama mwezi then piga mzigo.

but ukielezea hilo tatizo hovyo kuna wengine utawafata nao ni michezo yao badala ya kusolve itakaribisha tatizo zaidi,nakusihi pambambana kupitia mazoezi.

mazoezi huongeza homoni za kiume kwa kiasi kikubwa.
 
Mm ni mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa hasa mm alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile nikafikirigi ni michezo ya kawaida kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadilia kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mm nilikuwa sijui nae akafanikiwa kipind natoka shule njian akiniona mm naenda anipeleka kichakan ikawa ivo nikafika secondary mm tayari hisia zangu kwa mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipind nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni nilipofika form4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipind hicho nilikuwa nahisia na mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym mnielewe mm nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe yeyote wala sina sauti ya kike. Kutoka form4 mpaka form6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1 uume hausimami vizurii kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipind cha nyuma haswa kipind kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa ivi naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea ivi hata wa kiume pia kiukweli mm michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Mkuu weka namba ya simu. Soko lenu lipo vizur
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
cocastic akiuona tu huu uzi, atakuja haraka sana kuweka kambi. cocastic! Acha kabisa.
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Ukiwa mzazi, halafu ukutane na hizi meseji roho inauma sana nafsi inasononeka.....huyo ndugu mlikua mnahusiana vipi ni nani kwako?

Pole sana, badili mtazamo wako badili namna ambavyo unajifikiria, jiondolee hizo negattivity katika nafsi yako. Ione ilikua ni bahati mbaya tu ukakutana na mtu katili akakufanyia ukatili kama ambavyo anaweza kufanya kwa wengine pia, sahau hilo endelea na maisha yako ya kiume...as long as una uwezo wa kufanya usijihesabie dakika we fanya tu hata ukimwaga sekunde.

Jipe tu muda mrefu wa kukaa na huyo dem, ukishamwaga endeleeni na story na kunywa nk hadi ikisimama tena uendelee pole.

DR HAYA LAND mpe kijana maneno ya kumjenga.
 
Ukiwa mzazi, halafu ukutane na hizi meseji roho inauma sana nafsi inasononeka.....huyo ndugu mlikua mnahusiana vipi ni nani kwako?

Pole sana, badili mtazamo wako badili namna ambavyo unajifikiria, jiondolee hizo negattivity katika nafsi yako. Ione ilikua ni bahati mbaya tu ukakutana na mtu katili akakufanyia ukatili kama ambavyo anaweza kufanya kwa wengine pia, sahau hilo endelea na maisha yako ya kiume...as long as una uwezo wa kufanya usijihesabie dakika we fanya tu hata ukimwaga sekunde.

Jipe tu muda mrefu wa kukaa na huyo dem, ukishamwaga endeleeni na story na kunywa nk hadi ikisimama tena uendelee pole.

DR HAYA LAND mpe kijana maneno ya kumjenga.
Najitahidi kupambana
 
Back
Top Bottom