Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Vipi Mkuu? Tunampa mbinu mdogo wetu aachane na huo uraibu wake ili ajiunge nasi kuzifaidi mbususuAloooooooo.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Mkuu? Tunampa mbinu mdogo wetu aachane na huo uraibu wake ili ajiunge nasi kuzifaidi mbususuAloooooooo.......
Kuna doctor anaitwa kilingo TRA yupo zanzibaR atakusaidia ni mtaalam wa saikolojia ....znz kuna kipind walitaka kufukuza sababu ya saikolojiaMimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.
Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo
Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym
Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri
Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi
Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie
Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Ficha ujinga wako basiKuna mahali umesema michezo hii huipendi na unafanya tu pasipo kupenda.
Michezo gani hiyo?
Ya kumwaga ndani ya dk 1 au ya kuingiliwa?
Je, mpaka sasa unaingiliwa?
Anza kufanya mazoezi na wanaume wenzio kama sisi. Pushup za kutosha, miksa mibio na hasahasa cheza mpiraViagra ni vya muda mfupi mm nahitaji tiba ya muda mrefu
Nyamwi wametoka kukupiga bani leo tu na leo hii upo kwenye mada zisizoeleweka vizurSwali zuri..
We mbona upoNyamwi wametoka kukupiga bani leo tu na leo hii upo kwenye mada zisizoeleweka vizur
Sasa huko wale washenzi si watampiga mtungo wampoteze kabisa.Mficha uchi wanasema hazai. Acha uwoga, kama hospitalini unaona jau tafuta watu wa tiba asili. Omba nao appointment waelezee unaweza pata mwangaza
Mm sio aggressive na mada hiz, ofkoz nipo kuangalia namna ambavyo kijana huyu atapata tiba kwa wadauWe mbona upo
Mkuu habari,
Kwanza hongera kwa kuwa jasiri na kuliweka wazi lile likusumbualo.
Njia ya kwanza ya kupona ni kujua kinachokusumbua,na pia kuchukua hatua stahiki za kuweza kulitatua.
Hatua ya pili ni kutafuta mtu ambae wewe utamuamini na kuyazungumza kwa kina yale uliyonayo moyoni.
Safari ya kupona haina KUCHELEWA ,hivo huu ni wakati SAHIHI.
Pia tambua , Mtandaoni kila mmoja ana maoni yake,Hivo jikite kwenye kuusoma ujumbe wa mtu na kuuacha kama ulivo.Maana ukiuweka kichwani kila tusi ,dhihaka au maskhara ya mtu unaweza kujiona weye si mtu.
Niko tayari tuzungumze kwa kina kuona namna gani ya kufanya.
Karibu pm kwa mazungumzo zaidi.
Mkuu mbona naona kabisa kama unampango kabambe wa kumla huyu choko?Mkuu habari,
Kwanza hongera kwa kuwa jasiri na kuliweka wazi lile likusumbualo.
Njia ya kwanza ya kupona ni kujua kinachokusumbua,na pia kuchukua hatua stahiki za kuweza kulitatua.
Hatua ya pili ni kutafuta mtu ambae wewe utamuamini na kuyazungumza kwa kina yale uliyonayo moyoni.
Safari ya kupona haina KUCHELEWA ,hivo huu ni wakati SAHIHI.
Pia tambua , Mtandaoni kila mmoja ana maoni yake,Hivo jikite kwenye kuusoma ujumbe wa mtu na kuuacha kama ulivo.Maana ukiuweka kichwani kila tusi ,dhihaka au maskhara ya mtu unaweza kujiona weye si mtu.
Niko tayari tuzungumze kwa kina kuona namna gani ya kufanya.
Karibu pm kwa mazungumzo zaidi.
Hospitali nyingi hasa za government ukienda na magonjwa ya ajabu ni mwendo wa kupigwa spana mpaka akili itakukaa sawa mgonjwa.Sasa huko wale washenzi si watampiga mtungo wampoteze kabisa.
Sisi ndo twaendekeza huruma, hutakiwi muonea mt huruma, akalale guest kwisha habari hakuna mazoea na mtuPole sana
Wazazi kuweni makini na ndugu
Atleast private hospital anaweza saidika.Hospitali nyingi hasa za government ukienda na magonjwa ya ajabu ni mwendo wa kupigwa spana mpaka akili itakukaa sawa mgonjwa.
Bora are opt private hospital or kwa hawa matibibu wa kiasili.
Au aonane na Arsis ana babu yake anaitwa jini bakora anaweza msaidia