Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Mkuu mbona naona kabisa kama unampango kabambe wa kumla huyu choko?
Bahati mbaya fursa ya kutotaja majina yetu halisi na wapi tunatoka kwa maana ya kazi ndio yanakupa weye uhuru wa kuyasema haya.

Sitaki kuhukumu wala sitakasirika ,ila jitahidi kuwa upande wa yule ambaye unajipa uhuru wa kumsema vibaya kama ambavo umeandika hapa.

Jiulize kama ningekupa shutuma hizi ungejisikiaje?

Jitahidi sana kujiheshimu.
 
Dah....!

Msaada wako uko Kwa Yesu....!
SHETANI alifanikiwa kufanya kitu ukiwa Tumboni...!
That's why ulipoanza kukua hukuitaji wewe kuwaambia watu una feel Nini, ulikua una feel wewe, then wao Wana take Action....!

Issue za Ushoga na Usagaji ni mpango wa SHETANI, na zinakua planted toka Mimba.....!
Lengo la SHETANI kuharibu Watoto kama wewe....!

Sikujui wewe ila najua tu wewe sio mtu wa kawaida, na hautakua mtu wa kawaida, I mean utakua Mtu Mkuu baadaye..... !
Vile utavyokua SHETANI aliona kabla, ili kuzuia usiwe yule alifanya kile kilifanya uwe ulivyokua...!

Yesu tu atakuponya na Makovu na Maumivu yote....! Na utakua Mwanaume kama Wengine...!

Ulichonacho ni Evil Spirit, ikiondoka utakua huru...!

Mungu akusaidie.
Asante sana mungu anisaidie kwa kweli
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Pole sana kijana.

Kama ni Muislam sali sala zako tano kwa siku na ufanye subra. Tafuta mke muoane.
 
Mtoa mada pole kwa unayopitia
Ntakuuliza maswali machache tujue tunaanzia wapi

1 Ukiwa unaingiliwa unapata erection na unafika mshindo?
2 Ukikaa na vijana wenzako wa kiume unakua na hali gani UNAJIAMINI? HAUHISI UOGA KUA INFERIOR?
3 Mtu gani unamuangalia kama Idol wako
Ndio nafika mshindo
Nikikaa na vijana wenzangu huwa najiamini kabisa huwa siogopi
 
Kati ya watu hupaswi kuwaonea hofu ni madaktari wale ni watu na nusu tena narudia ni watu na nusu
Sasa fanya hivi nenda hospital muone daktari wa ushauri kwanza hasa pale amana au muhimbili Kisha baada ya hapo Kuna matibabu utapewa na utakuwa sawa
Kuhusu kumwaga mapema hiyo nadhani Kila mwanaume amekutana nayo kwenye Rika Hilo tena Bora wewe unamwaga mapema Kuna wengine ilikataa kabisa kuinuka hii hutokana na high expectations towards your partner and sex in general
Kitu kingine jitahidi sana usiangalie kabisa picha au video za x hope uta recover
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Dah
 
Back
Top Bottom