Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

ndugu yangu,hakuna dawa zaidi ya mazoezi fanya zaidi na zaidi,usiende gym wee nenda pwani au road push up,sqush,runs kwa wingi fanya kama mwezi then piga mzigo.

but ukielezea hilo tatizo hovyo kuna wengine utawafata nao ni michezo yao badala ya kusolve itakaribisha tatizo zaidi,nakusihi pambambana kupitia mazoezi.

mazoezi huongeza homoni za kiume kwa kiasi kikubwa.
Ni kweli kabisa machoko humu ni wengi umakini unahitajika.
 
Pole kijanaa

Jikaze wewe ni DUME KUKATIKIA MAUNO MWANAUME MWENZIO ni kujiendekeza.

Imekua FANTASY yako Sasa Ila ukiamua ni very easy kwani Kuna utamu mnasikiaga..

NB.
Kuna uraibu mgumu kuacha ku mention few
*Sigara
*Madawa ya kulevya ie. Unga
*Bangi
*POMBE
*Nyeto
 
Kukulia town sometimes jau sana, wakati wanakijiji wanamalizia nyege kwa ndama wa ng'ombe, kondoo au kuku, town wajinga wanatia tu watoto haijalishi jinsia zao. Stupid kabisa
 
Bahati mbaya fursa ya kutotaja majina yetu halisi na wapi tunatoka kwa maana ya kazi ndio yanakupa weye uhuru wa kuyasema haya.

Sitaki kuhukumu wala sitakasirika ,ila jitahidi kuwa upande wa yule ambaye unajipa uhuru wa kumsema vibaya kama ambavo umeandika hapa.

Jiulize kama ningekupa shutuma hizi ungejisikiaje?

Jitahidi sana kujiheshimu.
Dalili inaonesha hivyo acha maneno mengi dogo una mpango umle huyo choko
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Hiyo ni issue ya kisaikolojia nakushauri kitu.

Usipende kuspend time ndefu na madem

Penda kupiga stors na wanaume wale ambao unahis hawapendi hiyo michezo

Piga mazoez mazito mpk uwe unahis kuchoka na kuumia hapo utajiongezea ujasiri wa kiume

Tafuta supplements zitakazokuongezea testosterone production

Kuwa mjanja mjanja tafuta madem wew jiamin usiweke notion kwamba wewe hujakamilika take yourself as a real nigger wachakate madem ila usisahau kupima usije pata magonjwa

Epuka mazingira ambayo yatakufanya ushawishike kuingiliwa, usiangalie pornography, usiangalie movies za kisenge......
 
Mimi ni Mwanaume umri miaka 25 kipindi nipo Primary katika ukuaji wangu nishawahi kuingiliwa na ndugu yangu wa karibu akaniambia niseseme ikawa tabia yake ila sio mara kwa mara badae akaachaga kabisa.

Mimi alikuwa ashaniharibu kisaikolojia na unavojua akili za utoto zile, nikafikirigi ni michezo ya kawaida. Kuna kipindi nikaendaga kucheza kwa majirani kuna huyo mtoto ila alikuwa mkubwa kwangu kwa kukadiria kama miaka 5 amenipita nae ilikuwa michezo yake ila mimi nilikuwa sijui. Nae akafanikiwa kipindi natoka shule njiani akiniona mimi naenda anipeleka kichakan ikawa hivyo

Nikafika secondary mimi tayari hisia zangu kwa Mwanaume nikawa naichukia hali ile pia nilikuwa muoga sana kipindi nipo secondary nilingiliwa mara 7 kama sikosei ila sio shuleni. Nilipofika form 4 nikasema hapana nikaacha mpaka nikamaliza chuo ila kipindi hicho nilikuwa nahisia na Mwanaume mwenzangu hasa hawa wapiga gym

Mnielewe mimi nilizaliwa fresh kabisa nina sauti ya kiume wala sina chembechembe zozote wala sina sauti ya kike. Kutoka form 4 mpaka form 6 nikawa napiga punyeto nilivofika chuoni nikapataga mwanamke issue ni kwamba nikawa namwaga chini ya dkk 1, uume hausimami vizuri

Kuna muda nikawa na mawazo sana labda kipindi cha nyuma haswa kipindi kile napumuliwa ndio imesababisha hilo hali ninayo mpaka sasa hivi

Naombeni msaada kwa yeyote anaweza kunisaidia ni addiction ambayo napambana nayo kuzuia hisia ya kutomtamani Mwanaume mwenzangu kama mtu ana dawa yake mnisaidie

Hospitali naogopa naona aibu haswa ikitokea daktari wa kike kumuelezea hivi hata wa kiume pia kiukweli mimi michezo hii sipendi ila kuna muda unafanya bila kupenda. Naombeni msaada najua mkinisaidia hili hata tatizo la kumwaga litakuwa limesaidika.
Kwa kweli inauma sana, pole mshikaji ila kaza moyo tu.....muone mwanasaikolojia atakupa ushauri mzuri kama naye si mpenzi wa hiyo michezo maana Tanzania bwana kila mtu ni msanii kivyake.
 
Wee usiniambie kumbe inabidi na mie niende gym. Sasa mwanawane hapo mbona rahisi tuu. Sii una mwambia tuu gelofrend wako avae strapon alafu anakugegeda na wee unamgegeda.
Suala la dakika moja kumwaga mbona wee afadhali mwenzio sekunde ishirini chali
Asee nilijua mimi mbovu maana dakika nne tu chaliii kumbe kuna wasekunde 20?
 
Back
Top Bottom