Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Dah!
Nakumbuka mnamo mwaka 95 tulienda mahali kufanya shughuli Kwa kipindi Cha miezi kadhaa. Tulikua na mwenzangu akinizidi kama miaka miwili hivi. Siku moja usiku tumelala katika mazungumzo ya kutafuta usingizi baada ya shughuli za kutwa nzima, ghafla akasema tupigane kazi Kwa zamu, nimuanze yeye Kisha itafuatia zamu yangu. Mazungumzo yaliishia hapo. Nilichefukwa sana, kwanza hata mahusiano na mwanamke sikuwa nimewahi kujaribu. Pili, nilikua mtu wa ibada sana.

Ndio siku hizi natafakari huenda yule mwenzangu alikua ameshaanza haya mambo kitambo, alikua mziefu. Aliweka bayana kabisa nimuanze yeye. Inamaana hata kama ningekataa kusinfekua na tatizo lakini yeye alikua ameridhia.

Kutokana na hilo tukio, wazazi tuongeze umakini kwenye malezi ya watoto wetu, hasa wa kiume. Suala la kuwalaza na watu wengine iwe ni ndugu au wageni wa aina yoyote Ile, liepukwe kadri inavyowezekana.
Sio ndugu pekee wa nje hata wa ndani yaan kama kaka na mdogo wake pia umakini uwepo huwezi jua wametolea nje wanaenda kufundishana na wazazi hawajui
 
Sio ndugu pekee wa nje hata wa ndani yaan kama kaka na mdogo wake pia umakini uwepo huwezi jua wametolea nje wanaenda kufundishana na wazazi hawajui

Ahsante umenikumbusha hapo nilisahau point muhimu. Nilikua nagombana na wife huwalaza watoto kaka na dada ( miaka 10ke Kwa 6me) kitanda kimoja. Haya mambo yanaanzia mbali sana.

Cartoon zenyewe zimejaa ufedhuli. Kuna siku naangalia cartoon tupo na Mama, Mara vikaanza kupitia vipi ha vya kopa kopa, vikaanza kusogeleana Kisha kubusisna midomoni. Hapo watoto walikua wanaangalia huku napiga story mbili tatu na Mama.
 
Asanteni kwa wote mliotoa mawazo yenu ya kunipa moyo kiukweli hii kitu ndio kitu pekee huwa natamanigi mda urudi nyuma nifute kile kilichotokea nyuma nakijutia sana ila wapo baadhi ya watu wameona kama hii ni fursa na kuja pm kuendelea kunikandamiza kihisia wananitongoza kwa kila kitu nilichokielezea ila watu hawana huruma wengine wananiambja watanipangia apartment wanataka mm niwe mkeo wao tu inasikitisha sana na naumia ndio hP
 
Kuna kesi nimekutana nayo mwanafunzi wakiume anamuandikia mwanafunzi mwenzie wa kiume barua akimtongoza, tunatafakari huyu dogo tumchukulie hatua gani … hatari sana
 
Asanteni kwa wote mliotoa mawazo yenu ya kunipa moyo kiukweli hii kitu ndio kitu pekee huwa natamanigi mda urudi nyuma nifute kile kilichotokea nyuma nakijutia sana ila wapo baadhi ya watu wameona kama hii ni fursa na kuja pm kuendelea kunikandamiza kihisia wananitongoza kwa kila kitu nilichokielezea ila watu hawana huruma wengine wananiambja watanipangia apartment wanataka mm niwe mkeo wao tu inasikitisha sana na naumia ndio hP
Pole sana mkuu, kuwa makini humu ndani wenye ushenzi type ni wengi.
 
Kama upo karibu na mkoa wa Kilimanjaro, fika hospitali ya kcmc omba kuonana na kiongozi wa youth social group linaitwa CUB.Utapata msaada kama upo nje ya huo mkoa, tafuta afisa ustawi wa jamii ataweza kukusaidia.
 
Asanteni kwa wote mliotoa mawazo yenu ya kunipa moyo kiukweli hii kitu ndio kitu pekee huwa natamanigi mda urudi nyuma nifute kile kilichotokea nyuma nakijutia sana ila wapo baadhi ya watu wameona kama hii ni fursa na kuja pm kuendelea kunikandamiza kihisia wananitongoza kwa kila kitu nilichokielezea ila watu hawana huruma wengine wananiambja watanipangia apartment wanataka mm niwe mkeo wao tu inasikitisha sana na naumia ndio hP
Nilijua tu mibasha itakuja ipige block tu mashetani hayo usikubali usodoma huo
 
Mojawapo ya matibabu utakyotakiwa kufanyiwa baada y kupata ushauri wa kisaikolojia utahitajika kusafishwa ili kutolewa uchafu unaokuletea kero.Pamoja na yote, rudi kwa Mungu na uwe mtu wa Dua na Sala kwakuwa kwa mwenyezi Mungu hakuna kinachoshindikana.Unaweza ukapona kabisa na kurudi katika hali ya kawaida kwa kuwa una dhamira ya kuona mabadiliko.Kila la heri na mwenyezi Mungu akusaidie.Usiwe tayari kuonana na mtu wa humu, wengi ni mazombi yaliyoshindikana.
 
Hapo uume unakuwa umesinyaa kabisa baada ya labda lisaa ndio unasimaa nalo nikienda chini ya dakika 1 au dakika 1
Sikia kijana kanunue asali ya nyuki wadogo, vitunguu swaumu vilivyo menywa kikombe cha chai.

Unga wa msamitu, limao kubwa 7, tangawizi kubwa 5 na unga wa mdalasini

TwangaVitunguu swaumu na tangawizi kwa pamoja.

Weka asali kwenye blenda, weka hiyo mixer ya vitunguu na tangawizi.
Weka msamitu, mdalasini.
Kamulia limao zote humo, na uendelee ku blend.

Tumia vijiko 2×3 kwa siku, pata tikiti maji kipande, parachichi, na chai ya tangawizi kali isiyo na sukari.

Hakika ndani ya wiki 2-4 uta pata wepesi, nakuombea kheri kijana.
Natamani nisingezaliwa
 
Sikia kijana kanunue asali ya nyuki wadogo, vitunguu swaumu vilivyo menywa kikombe cha chai.

Unga wa msamitu, limao kubwa 7, tangawizi kubwa 5 na unga wa mdalasini

TwangaVitunguu swaumu na tangawizi kwa pamoja.

Weka asali kwenye blenda, weka hiyo mixer ya vitunguu na tangawizi.
Weka msamitu, mdalasini.
Kamulia limao zote humo, na uendelee ku blend.

Tumia vijiko 2×3 kwa siku, pata tikiti maji kipande, parachichi, na chai ya tangawizi kali isiyo na sukari.

Hakika ndani ya wiki 2-4 uta pata wepesi, nakuombea kheri kijana.
Natamani nisingezaliwa
Madaktari wa mtaani hamchelewi
 
Sikia kijana kanunue asali ya nyuki wadogo, vitunguu swaumu vilivyo menywa kikombe cha chai.

Unga wa msamitu, limao kubwa 7, tangawizi kubwa 5 na unga wa mdalasini

TwangaVitunguu swaumu na tangawizi kwa pamoja.

Weka asali kwenye blenda, weka hiyo mixer ya vitunguu na tangawizi.
Weka msamitu, mdalasini.
Kamulia limao zote humo, na uendelee ku blend.

Tumia vijiko 2×3 kwa siku, pata tikiti maji kipande, parachichi, na chai ya tangawizi kali isiyo na sukari.

Hakika ndani ya wiki 2-4 uta pata wepesi, nakuombea kheri kijana.
Natamani nisingezaliwa
Asante sana nitafanya hivyo
 
Back
Top Bottom