Niliingia CCM sababu ya Magufuli. Nachana kadi muda sio mrefu

Niliingia CCM sababu ya Magufuli. Nachana kadi muda sio mrefu

Ashampoo burning

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2023
Posts
593
Reaction score
2,219
Boss ashampooo mtoto wa mjini basi nikiwa mwaka mwisho pale BOT kwa pembeni chuo cha IFM ndio kipindi Magufuli nae alikuwa anaingia madarakani toka akiwa waziri nilitamani aje kuwa raisi na ndoto yangu ikatimia akawa raisi 2015

Alivyoanza kwa kasi yake tu mimi na rafiki yangu tulijiunga CCM Magomeni pale tawini kiukweli uongozi wake ulitukosha tukaona CCM ya maana sana baada ya kuona hata watu wasio julikana wanaweza kuwa viongozi bila kuwa mtu ndani ya chama..

2021 mwaka mbaya mzee wetu akafariki baada ya hapo watu ambao tulienda CCM ya sababu ya Magufuli tukabaki tunaangali je CCM itaweza kuenzi mambo ya magufuli tumekaa ndani ya CCM huku tukijua kabisa CCM ya zamani itarudi maana fisi yake mizoga tu

Basi manyang'au ya zamani yakarudishwa CCM yote

Hujakaa sawa Mara DP world na hili la DP-World ndio limenifanya nione CCM haina maana wamefanya mengi sana nimevumilia hili DP-World ndio limenifanya kesho nachoma kadi live kabisa NIMEAMUA KUACHA SIASA SITAKI KABISA MAMBO YA SIASA NIKOMAE TU NA MAISHA HIVI KWELI HATA MTOTO MDOGO ANAJUA KABISA DP WORLD NI UJINGA AFU MTU KABISA NA AKILI ZAKO UNA SIGN.....

2025 natamani ashindwe ...
 
Alivyoanza kwa kasi yake tu mimi na rafiki yangu tulijiunga CCM Magomeni pale tawini kiukweli uongozi wake ulitukosha tukaona CCM ya maana sana baada ya kuona hata watu wasio julikana wanaweza kuwa viongozi bila kuwa mtu ndani ya chama..

2021 mwaka mbaya mzee wetu akafariki baada ya hapo watu ambao tulienda CCM ya sababu ya Magufuli tukabaki tunaangali je CCM itaweza kuenzi mambo ya magufuli tumekaa ndani ya CCM huku tukijua kabisa CCM ya zamani itarudi maana fisi yake mizoga tu
Aliposema tutamkumbuka alimaanisha alijua yajayo, kuna genge lililomuondoa ndilo linayafanya haya yanayojiri hivi sasa
 
Mimi mwenyewe CCM nilimfuata Magu nikitokea Chadema, sasa kwa vile kadi yangu ya CCM na chadema bado ipo hai nitarudi chadema tu
Mi pia..baada ya kukosa uelekeo nikavutiwa na mr Magu..nikaona watu wanapata fursa ccm bila kujali una backup ya nani..nikachukua kadi tena walinicheleweshea nikagombana nao..ila sasa limenishuka..kilanga komo..sitaki hata kukisikia hicho chama wallah.
 
Back
Top Bottom