Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Anataka katiba mpya au analeta Hadaa ili atawale bila pressure? Kwenye bajeti hii kuna fungu kwa ajili ya upatikanaji wa katiba mpya?Mbona mama Samia kishasema anataka katiba mpya, au huelewi hilo?