Niliingia CCM sababu ya Magufuli. Nachana kadi muda sio mrefu

Niliingia CCM sababu ya Magufuli. Nachana kadi muda sio mrefu

Binadamu hajawahi kuwa na Mamlaka hayo , na ukiendelea kuamini huo ujinga jiandae kwa laana Takatifu .
Basi leo hii miaka 20 Mbowe asingekuwa mwenyekiti wako chadema. Wangekuwa wamepita hata watatu au wanne hadi sasa.
 
Tunawajuwa mna chuki na Uislam na mnatumwa kusambaza chuki.

Waarabu walikukosea nini?


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwa hiyo anawapa sababu ni waislam wenzie?? Sio ndio unachomaanisha.
 
Siku akija Rais akajipunguzia mamlaka na kutoa haya mambo ya Kinga ya kutoshitakiwa!
Huyo ndiyo atakuwa mzalendo namba moja
 
Siku akija Rais akajipunguzia mamlaka na kutoa haya mambo ya Kinga ya kutoshitakiwa!
Huyo ndiyo atakuwa mzalendo namba moja
Mbona mama Samia kishasema anataka katiba mpya, au huelewi hilo?
 
Mamawe,
unaweka ndoto zako kwa baba wa wenzio, kwa nini usingemwambia baba ako agombee urais au kwenu wewe pekee ndiye mwenye akili kidogo za kuvukia barabara?
 
Back
Top Bottom