Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Asante kwa hilo. Kumbe ni neema nimepataWataalamu wanasema huyo ndio mzuri sio msiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa hilo. Kumbe ni neema nimepataWataalamu wanasema huyo ndio mzuri sio msiri
Wanawake wengi wameumbwa na aibu hawezi kutoa shuzi tuu mbele ya mpenzi wake. Kuna huyo kaka jamani alikuwa anatoa mashuzi bila hata aibu, anatoa mashuzi yananuka kama umelala hadi usingizi unakata sipendi kabisa yaani
Kuna watu mlistahhili kuuzwa pamoja na bidhaa zingine zisizostahili Kwa matumizi ya binadamuKuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,
Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.
Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,
Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.
Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Kwangu mie mwanamke wa staili hiyo ni a big no , kujamba ni moja ya matokeo ya mmeng'enyo wa chakula tumboni japo ni laaibu kifanyika kwenye kadamnasi lakini kwa mtu wa karibu kama mke au mme halina sababu ya kuona aibu.Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,
Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.
Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
[emoji3][emoji3][emoji3]daahKuna mtu anayependa kusikia mashuzi ya mwenzie?? Mkuu hakuna mtu atakayeachia mashuzi siku unamfahamu anasubiri mpaka pale kakuzoea ndio anaonyesha tabia yake, laiti kama nikijua kabla ya kuwa na mahusiano aisee siwezi kumkubalia kabisa ni tabia mbaya mno
Na ulaji wa matunda kwa wingiMbali na aibu, pia unywaji wa maji mengi na kuzingatia mlo bora inachangia kutotoa harufu za ajabu ajabu hususani unapokwena msalani au kutoa hewa chafu.
Ndio alivyofanya yaani, kanitumia weeeee, kanigeuza geuza kama chapati halafu akaanza kunitolea na mashuzi....huko aliko Mungu anamuona aiseeeKwa hiyo baada ya kukutumia alivyotaka, kukueuza geuza kama chapati na kukuzoea, akaona ndiyo muda wa kuonesha tabia (kukutolea mashuzi) yake sasa!!! [emoji23]
Sio usingizini mkuu, unakuta labda mmekaa mnapiga story au hata mnakula. Au labda wewe umesinzia yeye anaangalia movie utaamka tuuKijamba ukiwa usingizini Kwani uko ndani ya uwezo wa mtu, Kuna mtua asiyejamba akiwa usingizi na hata wewe si unajamba mashuzi na hio ndio maana ya uvumilivu wa ndoa.
Hapana nilikuwa nasinzia sebuleni tunavyoangalia moviesUlikuwa unalala na kaka'ko?
Na wewe pia si ulimtumia lknNdio alivyofanya yaani, kanitumia weeeee, kanigeuza geuza kama chapati halafu akaanza kunitolea na mashuzi....huko aliko Mungu anamuona aiseee
Nimemjibu kama alivyotaka mkuu, nadhani alihisi nitakuwa offended labda. Kwenye mahusiano sidhani kama kuna mmoja anayemtumia mwenzie labda mimi sijuiNa wewe pia si ulimtumia lkn
Ulimpa ndogo?Ndio alivyofanya yaani, kanitumia weeeee, kanigeuza geuza kama chapati halafu akaanza kunitolea na mashuzi....huko aliko Mungu anamuona aiseee
Sio usingizini mkuu, unakuta labda mmekaa mnapiga story au hata mnakula. Au labda wewe umesinzia yeye anaangalia movie utaamka tuu
Acha tuu kuna maajabu duniani yaaniKumbe wanaume nao wanajambAga[emoji23][emoji23]