Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Kuna watu mlistahhili kuuzwa pamoja na bidhaa zingine zisizostahili Kwa matumizi ya binadamu
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu

sio vitu vya vicheko kubana gas kwasababu ya aibu sio nzuri kiafya.
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Kwangu mie mwanamke wa staili hiyo ni a big no , kujamba ni moja ya matokeo ya mmeng'enyo wa chakula tumboni japo ni laaibu kifanyika kwenye kadamnasi lakini kwa mtu wa karibu kama mke au mme halina sababu ya kuona aibu.
haujawahi kumsikia haimaanishi kuwa hajambi bali hataki ujue kama anajamba! Kama anaficha kitu kidogo kama hiki kuna mengi makubwa pia anaficha.
 
Back
Top Bottom