Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Ubarikiwe sana mkuu,
hizi ndo busara Sasa wanawake mnatakiwa kufundishana.

Ndoa za Mashindano always hazinaga mwisho mzuri.

Umeongea point[emoji106]
Ni better mtu ukiwa na hasira unywe maji au utoke nje ukatembee mbali kuanza kurushiana maneno huharibu kabisa mambo. Hasira zikipungua ndio muongee
 
Mwanamke akishakuwa mchepukaji tu ndoa haiwezi kudumu lazima mikosi ije mfululizo. Kosa la kwanza ilikuwa kuchepuka kwa lengo la kushindana na mwanaume. Pamoja na mapungufu ya mwanaume lakini haikuwa suluhu kuamua kuchepuka bali kuleta mikosi maradufu.
 
Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi

Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa[emoji116]

"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Tatizo lipo hapo na Mambo ya wawili ukisikiliza upande mmoja uwezi pata ukweli ingawa ukisoma ukweli wake unaona hata yeye ni chanzo Cha matatizo yake. Wakati mwingine kwa Africa mtoto wa kike akienda shule ni Kama umezika ndoto zake sio wote lakini. Mungu tusaidie
 
Mdomo pistol'uzinzi na jeuri...hakuna mwanaume anayaweza kuvumilia. Ni story ya upande mmoja.
 
Reactions: Mbu
Youtubers kwa kutafuta viewers wapo vizuri! Huwa wanpenda story za kutunga
 
Hakuna jambo jipya chini ya jua, maana haya yaliyopo ndio yaliyokuwepo.
Huu msemo ukiutafakali sana,ni uongo,
Whatsaap,Instagram,YouTube,Drones,smartphones,Samsung Galaxy zilikuwepo kipindi hicho Cha Nuhu,
 
Actually ukimsikliza kwenye hiyo interview mama yake naye hakuwa na historia nzuri, akaishia kwenye pombe za kupitia kiasi, mwishowe akapata pressure then kapata stroke kapooza upande, haongei. Huyo dada akawa anasema wazazi wetu walikuwa wakivumilia mengi na hawakuwa open Kwa therapy, Bora yeye alikuwa mrahisi kutafuta msaada ambao umemsaidia sana, na anapendekeza therapy.
 
Kama umesikiliza interview au kusoma nilichoandika, clearly huyo mama hamesemei baba mtoto vibaya. Stop generalizing and demonizing people.
 
Mtuleteage true story sio kutafsiri story za watu, ala!!!
 
Nadhani una msongo wa mawazo ni wapi nimeandika Mwanaume aki cheat nami ni cheat acha Ungese nitakutia pumbavu [emoji1610]
[emoji91][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122][emoji122][emoji122][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji112]
 
Kama umesikiliza interview au kusoma nilichoandika, clearly huyo mama hamesemei baba mtoto vibaya. Stop generalizing and demonizing people.
Jamaa hakua tayr kuoa ndo maana hajagharamua chochote mpaka Ndoa inakamilika.
 
Ha ha haa,sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…