Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Zamani nikiishi kwa baba angu mdogo, alkua dreva pale Ofisi ya rais-magogoni.
Alkua na MKE wake akifanya kazi pale bandar.

Jpm alipoingia Ikulu,
Jamaa akawa demoted hadi Kua dreva Tamisemi.
Aisee alipitia kipind kigumu Sana KIUCHUMI, ukzingatia alkua mtu wa Bata Sana.
Alkua na kitambi, kilikata chote.

Baadae (2018) akaja rudishwa nafas yake kule kule Ikulu, aisee mambo yalirudu Kama mwanzo.

Ila alichofanya ndani ya wiki TU ya kuanza kazi,
Mzee alimuachisha kazi MKE wake pale bandar, Tena kwa ukali na akampiga adi boss wake mkwara Kama akiendelea na kazi watafikishana pabaya.

Nilimuona Kama mzee muonevu Sana.

Ila nilivokua mkubwa,
Nilikuja gundua aisee huenda mzee alikua sahii japokua hajawai nambia sababu hasa za kumuachisha ile kazi.
Hahahahahahah mzee wako alipata ubatizo wa moto!

Mwanamke akikuzidi kipato tu ni balaa atakutesa kishenzi af mbaya zaidi awe kwenye mazingira exposed kwenye wanaume wengi wenye hela utakomaa mzee😅

Sahizi ukiwa mtu mzima ndio utaelewa kuwa kumbe wazee walikua na point ila kipindi kile ungeona mzee ana uonevu sana😅
 
Alafu anatokea kiroboto mmoja anasema kuwa single mother Ni kujitakia,Ni kutokujitunza daah. Pole Sana mkuu
Huyu kinachomponza ni uzungu mwingi wakati yuko Africa,kitu kidogo tu Therapy,huku kwa Magu watu wanadundana na Therapy hawaendi na ndoa zinaendelea,ushauri punguza uzungu uwe kama mama yako utakaa kwenye ndoa,na kingine punguza huo mdomo pisto,hakuna mwanaume anayependa mwanamke wa kumpigia kelele(Vuvuzela)
 
pole sanaa madamee japo ktk maisha jifunze sanaa kukubali matokeo na sio kulazimisha matokeo kushndwana ktk maisha kulingana na utashi wa kibinadamu upo ndo maana tukapewa mamlaka kamili ya kujua mema na mabaya tafta kampani sahihi hasa za maendeleo mtengenezee mwanao future ilio bora.
Wanawake wa hivi huwalisha Sana sumu watoto wao wawachukie baba yao bill sababu.

Unakuta mtoa mada kamfukuza mwenyewe baba mtoto wake.

Ila akikaa na mwanae atamlisha sumu kua baba ako hakukujali Wala kukulea, alkua anaendekeza starehe.

Mwisho wa siku mtoto anamuona baba Kama mtu mmoja mbaya sana.
 
Naona wotee mnaona mwanaume ndio mwenye kosaa ila....

1. Wewe unaweza kuishi na MDOMO PISTOL?
2. Ina maana mumewe alikua akiamka tu na kutembezea kipigo kama ana MASHETANI?
Atuambia ukweli kwanini alikua anapigwa

In all, Aitwe mume nae aseme yake.

#YNWA
Comment yangu itoe hapo,
Nishatengua kauli tayar, uyo mwanamke Ni fedhuli kabisa.

nilicomment mwazon kabisa kabla sijasoma vizur content nzima ya mtoa mada.
 
Ukiona mwanamke anakulinganisha na wanaume wenzio, maana ake anawatamani.

Apo jibu Ni kumpa kelebu Moja ya maana sana akalale nao mbele.

Upuuz huu sio was kufumbia macho hata kidogo
Uboya kweli yani 🤣
 
Pole sana mleta mada

Ila itoshe tu kusema kwamba hakuna mwanaume yeyote anayeweza kuvumilia matusi rejareja (mdomo pistol wako) kutoka kwa mwanamke wake regardless unamtunza wewe. We cherish our pride kwa wivu mkubwa hata kama mfukoni kumetoboka.

Pia most men if not all will never really forget and forgive once wana ushahidi 100% kwamba umecheat kwa kumvulia chupi njemba nyingine - no matter the circumstances. Deep down hili kosa huwa halisameheki hata kama atakuchekea usoni.

Mungu akutangulie mbele ya safari yako ya maisha. Usije kufanya kosa la tatu kujaribu kurudiana na yule bwana. Hiyo biashara is done and dusted
Maneno kuntu kabisa, mwenye maskio na asikie[emoji106]
 
Ahhh Yani sijui jamii imekuaje alafu wana Ile tabia ya kusema kuwa ndoa ikivunjika mwanamke ndo mwenye matatizo so ameachwa ahhh. Huyo Kaka angekua anatimiza majukumu take sidhani Kama yote haya yangetokea.
Nyie wanawake Ni wepesi wa kulaumu,

Unasema jamaa angekua anatimiza majuku yake,
Hivi Anatimizaje majukum yake ilhali mfukoni kumetoboka?

Au mnajisahaulisha kua mtoa mada keshasema jamaa hakua na kazi.
 
Wanaume nao sikuhizi wanajisahau majukumu Yao kama head of family, wanataka walelewe, na bado waku cheat na kukupiga pia wakupige kipigo Cha mbwa koko
Hivi are you serious, mtu Hana kazi afu unamlaumu eti anajisahau.

Inamaana jamaa anafanya kusudi anaficha Ela au?
 
Mbona mnamshambulia sana mleta mada badala ya kumshairi nn cha kufanya kwa changamoto alizopitia.lawama hazimsaidii tena kwa sasa weka ushauri wako nn afanye
 
Hahahahahahah mzee wako alipata ubatizo wa moto!

Mwanamke akikuzidi kipato tu ni balaa atakutesa kishenzi af mbaya zaidi awe kwenye mazingira exposed kwenye wanaume wengi wenye hela utakomaa mzee[emoji28]

Sahizi ukiwa mtu mzima ndio utaelewa kuwa kumbe wazee walikua na point ila kipindi kile ungeona mzee ana uonevu sana[emoji28]
Nakwambia ma mdg alkua akisimulia jins alvomuachisha kazi roho ilkua inauma Sana.
Sometimes mamdg alkua analia Hadi kamasi kiss jamaa akamharibia future yake.

Ba mdg aliitwa kikao Cha familia akagoma kata kata kufika akasema maamuzi yake hayajadiliki kikao chochote kile isipokua Cha talaka Kama binti yao wanamtaka.

Ila kwahizi sarakasi nnazoona za wanawake,
Huenda Yule mzee alkua sahii.

Kuna MDA huenda Kuna upuuz alipitia akajifunza kitu.
Mpaka leo Hii mamdg Ni mama TU wa nyumbani na masters yake kabatini[emoji4]
 
Mapenzi yalikuepo, na yasingekuepo wasingekua wanarudiana kila mara.

Back the story,
Hawa walkua na history ndefu San kwny mahusiano yao (tangu wako chuo, almost 10yrs back)

Sasa unapata wapi ubavu wa kusema kupakua na mapenzi?
Ha ha ha aisee. Badili fikra zako. Kuwa na mahusiano miaka 10 ndo kwamba watu wanapendana? Hujui mambo ya fursa eh? Unachekesha. Mapenz gani hapo na unaona yameegemea upande mmoja

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Heh, hivi mnaonaga no big deal kuwa kwenye abusive marriage kwamba nikitoka hapo sina pa kwenda ama cha kufanya?[emoji23][emoji23][emoji119] men bwana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ndo hivyo,
Kama mtoa mada flani kaandika,
"Kuishi na mwanamke mdomo pistol ni Bora mungu anipumzishe TU"
 
Ha ha ha aisee. Badili fikra zako. Kuwa na mahusiano miaka 10 ndo kwamba watu wanapendana? Hujui mambo ya fursa eh? Unachekesha. Mapenz gani hapo na unaona yameegemea upande mmoja

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unayaona yameegemea upande mmoja kwasababu mwanaume Hana kazi.

Ila hata uku majumbani kwetu always yameegemea huo huo upande mmoja coz wanaume Ndo provider wa kila kitu kwenye familia.

Na husikii kelele Wala purukushani
 
Toka enzi na enzi chakula cha mwanamke kina masimango! Pole sana ndoa unaipenda lakini umeshindwa kui ishi. Kama huyo mwanaume ungempenda Kweli ungemtengeneza kwa Kumpa Mwongozo wa Kiuchumi! au ulihofia atawaonga wanawake wa nje? Kweli ndoa ni Ngumu. Wewe ulitaka kuishi nae kama Kivuli kijamii nae amegundua! Why huyu mwanamke alipe mahari who there which secret?
 
Mbona mnamshambulia sana mleta mada badala ya kumshairi nn cha kufanya kwa changamoto alizopitia.lawama hazimsaidii tena kwa sasa weka ushauri wako nn afanye
Huo upuuzi wake ulitaka tumshauri Nini Sasa.

Mimi Kama ungelikua ushauri ningemshauri akatubu Kwanza izo dhambi zake kwa muumba wake, maana moyo wa mwanaume Yule unamlilia mpaka kesho.

Pili, akatubu pia dhambi yake kwa kulivunja agano la mungu wake madhabauni alipokula kiapo Cha kuvumiliana kwenye shida na Raha.

Kisha arudi kijijini kwao kwa wazazi wake akafundwe angalau mwaka mzima miiko ya kuishi kwenye ndoa.
 
Back
Top Bottom