Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe unanielewa vyema nagonga kwenye nyanja gani... siku njemaUmenielewa vibaya kama una mindset kwamba ukifa bora pesa wale ndugu zako na una watoto na huyo mume na hufikirii kuinvest kwa watoto wako na unafikiri ndugu zako wanaweza kuwatunza wanao kama nyie mnavyowatunza, You are doomed! That is the fact kama unabisha bora kubisha ni sawa ila ukweli unaujua mwenyewe. Na siyo kila mtu anayekueleza opinion yake ni marioo!! Wewe shikilia uferminism wako usiinvest kwa watoto.
Na Kuna wengine wanavumilia na Mambo yanakuwa mazuri to yeye . Kuna jamaa yangu wa karibu alikuwa kicheche na mlevi balaa. Mke kavumilia karibia miaka 10 anasali anamwombea mme wake. Ghafla mme kabadilika, Kawa mtulivu mtu wa kujali familia kaachana na maovu Yale.Bora uliyejisepea,huku watu huvumilia mpaka wauawe,waue au wajiue.
Ahhh Yani sijui jamii imekuaje alafu wana Ile tabia ya kusema kuwa ndoa ikivunjika mwanamke ndo mwenye matatizo so ameachwa ahhh. Huyo Kaka angekua anatimiza majukumu take sidhani Kama yote haya yangetokea.Hafu hii tabia ya jamii ku force watu wabaki kwenye mahusiano kinguvu ni tatizo linalofanya watu wavumilie shida huku wakiwa wanateseka mioyoni mwao
Wanaume nao sikuhizi wanajisahau majukumu Yao kama head of family, wanataka walelewe, na bado waku cheat na kukupiga pia wakupige kipigo Cha mbwa kokoAhhh Yani sijui jamii imekuaje alafu wana Ile tabia ya kusema kuwa ndoa ikivunjika mwanamke ndo mwenye matatizo so ameachwa ahhh. Huyo Kaka angekua anatimiza majukumu take sidhani Kama yote haya yangetokea.
Mi ndo nisingefika huku kwa huyu dada maana sipendagi majeraha y kujitakia.Wanaume nao sikuhizi wanajisahau majukumu Yao kama head of family, wanataka walelewe, na bado waku cheat na kukupiga pia wakupige kipigo Cha mbwa koko
Tujikite kwenye kutafuta pesa.... Labda tunaweza kuwa tunapata faraja na kujispoil now and then.... Kupunguza machungu mbalimbali ya ndani ya Ndoa😅😅Kuna watu huwa wanadhani ndoa inaweza kum badilisha mtu jamaniii Mwanaume akiwa mlevi usitegemee atabadilika baada ya kufunga ndoa haiwezekani
Mapenzi yalikuepo, na yasingekuepo wasingekua wanarudiana kila mara.Sielewi hata unatetea nn
Sasa insecurity za mwanaume ndo ajihami? Tukubaliane hapakua na Mapenzi hapa. Kila mru abaki na chake
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Haina shida,Wajinga kweli... mnaonaga tumasujudu sana ndoa eh? Huwa mnaonaga ndo kila kitu eh? Mpaka nakupeleka polisi nimejikamilisha
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hueleweki ata unatetea Nini,Hayo si maandiko yameagiza hivyo? Mnapenda sana kulelewa mkuu?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kabisa,Tufanye mimi sijui haya,niambie ww viapo vya ndoa vinasemaje?
Nani anapenda kulelewa........? hivi partner wako umeanza mahusiano yupo vizuri kiuchumi na huduma anatoa vizuri....... ila kuna vipindi (vinaweza kuwa virefu au vifupi) anapitia changamoto za kiuchumi.... hivi huyu utasema anapenda kulelewa?
Ila si shangai kwenye swala 50/50 mnalolipigania hali include kipato chenu bali cha mwanaume.
Exactly,Kaka hawa malaya wenye videgree na viajira mavi sana wana dharau sana ndio maana hata hawaolewi afu hapa anakuja kuandika kana kwamba yeye ndio victim wakati yeye ndio kiini cha tatizo
Zamani nikiishi kwa baba angu mdogo, alkua dreva pale Ofisi ya rais-magogoni.Mwanamke mwenye mdomo usio na breki kupigwa huwa ni swala la muda tu! Tena uwe na mdomo mbele ya mwanaume ambaye hana hela [emoji23] aisee unakitafuta kipondo cha haja!
Unaonesha ni wale wanawake wenye kejeli sana mdomoni mwao...kumzodoa mwanaume hadi anakosa kujiamini yani na kum compare na hao wa kazini kwako..This is the most evil thing that you shouldn’t do to your men ila wengi wenu huu mtihani huwa mnafeli vibaya sana.
Lugha ya staha huwa ni kitendawili kikuu kwenu hasa mkiwa na vijimishahara kila mwisho wa mwezi! Mpe support mtu ila usimsimange hata kidogo
Ukiona mwanamke anakulinganisha na wanaume wenzio, maana ake anawatamani.Wanawake wanachekesha sana, huwa wana demolish psychology ya wanaume kupitia kauli abusive making them feel worthless and useless katika uhusiano yet atakuja aseme hujiamini kisa huna pesa!
Women are good at killing men spirits alive kwa kupitia abusive and harsh language ila hili hawalionagi kama sababu. Making fun of how insecure you have become na kujaribu kukulinganisha na wenzio akina flani dah[emoji85][emoji85][emoji85] life sucked my balls staki kumbuka.
There was a time in life nilipitia hii abuse kama ya mtoa mada with one of my partners na surely ilikuwa mara ya kwanza namzabua mtoto wa kike. Alishanigeuza kama msukule wake full. Hakuamini ila nilimtia makofi sana akagundua kumbe yuko na mwamba heshima ikafata mkondo wake.