Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Mtoa mada unatatizo la kimaadili,
Ata Kama ugombane vipi na mme wako, unapata wapi ujasili kwa kumwambia AONDOKE? [emoji116]

"...Nisingejua kuhusu huyo mwanamke nafikiri bado ningekuwa naye. Nikamwambia aondoke. Hiyo ni miezi minne tu baada ya harusi....."

Inamaana unataka kutuaminisha Yule alikua mfugo wako au kibenten wako?

Kwa uzoefu wangu,
Wanawake mkishapata vifedha, na nyinyi mnajiona mmeshakua wababa wa familia.

TWENDE MBELE TURUDI NYUMA, unatatizo la kimaadili.

Hata Kama jamaa ajakuja hapa tukamskia upande wake,
Ila kwa haraka HARAKA nikikusoma herufi kwa herufi uandishi wako, unatabia ya kumdominate mwanaume kwasababu TU umemlisha.

Iyo Ni tabia mbaya
Na HAKUNA MWANAUME alokamilika ATAVUMILIA UPUUZI HUU.

Kaka hawa malaya wenye videgree na viajira mavi sana wana dharau sana ndio maana hata hawaolewi afu hapa anakuja kuandika kana kwamba yeye ndio victim wakati yeye ndio kiini cha tatizo
 
Kwa ulivyoandika bila kusikiliza upande wa pili wewe unaonekana kabisaa ni chanzo cha tatizo kisa mshikaji hakuwa vizuri kiuchumi
Wanawake wa Kenya waliowengi mna tabia za kujikweza sana
 
Mwanamke mwenye mdomo usio na breki kupigwa huwa ni swala la muda tu! Tena uwe na mdomo mbele ya mwanaume ambaye hana hela 😂 aisee unakitafuta kipondo cha haja!

Unaonesha ni wale wanawake wenye kejeli sana mdomoni mwao...kumzodoa mwanaume hadi anakosa kujiamini yani na kum compare na hao wa kazini kwako..This is the most evil thing that you shouldn’t do to your men ila wengi wenu huu mtihani huwa mnafeli vibaya sana.

Lugha ya staha huwa ni kitendawili kikuu kwenu hasa mkiwa na vijimishahara kila mwisho wa mwezi! Mpe support mtu ila usimsimange hata kidogo
 
Hii stori imelalaia upande mmoja hii.

Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.

Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.

Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
Domoooo...Teeengaaaa!!!
 
Mtoa mada sio kwamba nakusema sana.


La hasha,
penye ukweli lazima tuseme. Wewe pia Una matatizo.

Hapa unatwambia mumeo hakua na ajira, afu wewe una ajira.[emoji116]
"....Mimi huku nako niliendelea kuchakarika, kuanzisha biashara n.k."

Hivi Umeolewa uko na mume wako, afu umeajiriwa
Unaendelea kuchakarika na kuanzisha biashara mpya za peke yako (bila shaka uliweka watu Baki wasimamie) .

afu baba mtoto wako anashinda TU nyumbani na rimoti Kama lisanamu. Is this fair?

Afu baadae
Unakuja mlalamikia na kumsimanga apa mwenzako eti[emoji116]

"Nilichogundua, mwanaume akiwa hana kitu chake/pesa yake anakuwa hajiamini kabisa...."

Hii HAIKUBALIKI na siwezi kukuelewa kabisa.
Hukumtendea haki Wala kuthamini nafasi yake kwako.
Wanawake wanachekesha sana, huwa wana demolish psychology ya wanaume kupitia kauli abusive making them feel worthless and useless katika uhusiano yet atakuja aseme hujiamini kisa huna pesa!

Women are good at killing men spirits alive kwa kupitia abusive and harsh language ila hili hawalionagi kama sababu. Making fun of how insecure you have become na kujaribu kukulinganisha na wenzio akina flani dah🙈🙈🙈 life sucked my balls staki kumbuka.

There was a time in life nilipitia hii abuse kama ya mtoa mada with one of my partners na surely ilikuwa mara ya kwanza namzabua mtoto wa kike. Alishanigeuza kama msukule wake full. Hakuamini ila nilimtia makofi sana akagundua kumbe yuko na mwamba heshima ikafata mkondo wake.
 
Kama bado unampenda, toa kwanza pistol zote mdomoni, jifunze kutokumdharau mwanaume, ukiweza mtafute jamaa ongea naye, mwombe msamaha. Huenda labda atakuelewa na mtarudiana.

Ukianza tena kumletea mdomo pistol usirudi tena huku kuomba ushauri tutakutimua vibaya sana.
 
Mletee jamaa nae tumsikie. Maamuzi ya upande mmoja hayatakuwa fair.

Hakuna Mwanaume mkorofi Kwa mwanamke mtiifu.
 
Kama vijana mpk mnaolewa siku hizi mnafikri nn? Wanawake wanapigana nyie mmelala tu. Acha mkomeahwe kwa kuendekeza umariooo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Sasa kama ni hivyo, hakukuwa na haja ya mtoa mada kuleta maumivu yake humu jukwaani kama alishafanya maamuzi yake sahihi ya kumfukuza huyo marioo kuna haja gani ya kuleta tena malalamiko humu.

Kama upweke umemzidi angemtafuta mwanaume mwingine kimyakimya. So unaposupport kitu jiulize kwanza kwanini mtoa mada bado anaumia kwa aliyoyafanya.
 
pole sanaa madamee japo ktk maisha jifunze sanaa kukubali matokeo na sio kulazimisha matokeo kushndwana ktk maisha kulingana na utashi wa kibinadamu upo ndo maana tukapewa mamlaka kamili ya kujua mema na mabaya tafta kampani sahihi hasa za maendeleo mtengenezee mwanao future ilio bora.
 
Sasa kama ni hivyo, hakukuwa na haja ya mtoa mada kuleta maumivu yake humu jukwaani kama alishafanya maamuzi yake sahihi ya kumfukuza huyo marioo kuna haja gani ya kuleta tena malalamiko humu.

Kama upweke umemzidi angemtafuta mwanaume mwingine kimyakimya. So unaposupport kitu jiulize kwanza kwanini mtoa mada bado anaumia kwa aliyoyafanya.
Hilo ndo la msingi sasa. Atulie kwanza mkuu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Bora uliyejisepea,huku watu huvumilia mpaka wauawe,waue au wajiue.

Alafu anatokea kiroboto mmoja anasema kuwa single mother Ni kujitakia,Ni kutokujitunza daah. Pole Sana mkuu

Ivi mtu unaanzaje kumlea wanaume? Ujinga tu

Dah! Duniani kuna mitihani aisee[emoji848]

Unaanzaje kumlea mtoto wa mwanamke mwenzio? Pole kwa msiba wa kujitakia.

Maisha yana changamoto kila mahali, kikubwa Mungu atututie nguvu ya kukabiliana na hizo changamoto muda mwingine mtu anaweza kudhani mambo yanavyoaribika unajitakia lakini kumbe mtu umepambana kwa hali yako yote lakini umekwama.. tuombe Mungu atupe nguvu kwa magumu tunayopitia...
Pole sana dada!

Kosa kubwa ulilo fanya ni kujioa

Jamaniii mnyonge,Mnyongeni haki yake mpeni mtoa mada kaandika kwamba jamaa ndie alianza ku cheat au kosa la Mwanaume mwenzenu hamlioni😬😬😬

Nimeumia sana lakini.... Sema wanaume mwenzetu kazingua sana!

Naona wotee mnaona mwanaume ndio mwenye kosaa ila....

1. Wewe unaweza kuishi na MDOMO PISTOL?
2. Ina maana mumewe alikua akiamka tu na kutembezea kipigo kama ana MASHETANI?
Atuambia ukweli kwanini alikua anapigwa

In all, Aitwe mume nae aseme yake.

#YNWA
 
Hasira ni mbaya sana,ukijijua una hii kitu,piga magoti na umuombe Mungu kwa kumaanisha akuepushe na hii roho.Roho ya kutokusamehe,roho ya kutokuachilia ni mbaya sana kwenye mahusiano ya ndoa...
 
Kumbe humu marioo wengi sana. Kama ni wanangu sasa wewe za nini..

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Umenielewa vibaya kama una mindset kwamba ukifa bora pesa wale ndugu zako na una watoto na huyo mume na hufikirii kuinvest kwa watoto wako na unafikiri ndugu zako wanaweza kuwatunza wanao kama nyie mnavyowatunza, You are doomed! That is the fact kama unabisha bora kubisha ni sawa ila ukweli unaujua mwenyewe. Na siyo kila mtu anayekueleza opinion yake ni marioo!! Wewe shikilia uferminism wako usiinvest kwa watoto.
 
Back
Top Bottom