Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Mdogo wangu maisha yanabadilika sana, Ila kwa case ya huyu binti naona kabisa hulka yake ni ya kibabe...kifashisti! Hata uandishi wake ni kama anajimwambafai, japo siwezi mtetea mwamba kwa jinsi alivyokuwa lazy affair, kufanyiwa kila kitu, Ila huyu kudundwa has smth to do with mdomo wake.

Kingine, inferiority inatumaliza sana wanaume.
Sio infiriority. Ni vigumu sana kukubali kuzidiwa uwezo na mwanamke
 
Hao sio wanaume, Ni wavulana.

Na ndo maana wengi wao bado wanavaa vile vikaptura na kuning'iniza funguo Kwenye luksi kwa vigari vya kuhongwa na wanawake (vitz,ist, rumion, raum n.k)

Tangu dunia iumbwe,
Mwanaume ameubwa Ni provider, na mwanamke Ni msaidizi.

Hizi tabia za kuwataka wanawake na wao wale kwa jasho, ndo zimeleta huu upumbavu.

Na wao wamejiona wamekua vichwa vya familia Sasa Kama wewe Apo mtoa mada

[emoji1787]Eti nikamwambia "ONDOKA..."

Aisee,
Hivi mwanamke anaanzaje sasa kunambia ondoka?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yaa nikianzaga kuwaza
Hii jeuri kapewa na Nani hasa[emoji848]

Kitakachofuata, Ni yesu tu itabidi aingilie kati[emoji2]
Kaka umekereka sana maana [emoji2][emoji2]
 
Mdogo wangu maisha yanabadilika sana, Ila kwa case ya huyu binti naona kabisa hulka yake ni ya kibabe...kifashisti! Hata uandishi wake ni kama anajimwambafai, japo siwezi mtetea mwamba kwa jinsi alivyokuwa lazy affair, kufanyiwa kila kitu, Ila huyu kudundwa has smth to do with mdomo wake.

Kingine, inferiority inatumaliza sana wanaume.
Embu jaribuni kumsikiliza wenyewe kwanza inawezekana uandishi wangu umem misrepresent

 
Mume wangu tulikutana chuo, mimi nikiwa na miaka 20, yeye 21. Tukaanza kuishi pamoja kama mke na mume.

Tulikuwa tukiandika majarida mitandaoni ndo tunapata pesa ya kujitunza wenyewe, na ndo pesa nilimsomeshea mdogo wangu kwani mama alikuwa mgonjwa na tuliishi maisha duni sana. Mimi na mume wangu tulilelewa na mama pekee.
Pole dear
 
Embu jaribuni kumsikiliza wenyewe kwanza inawezekana uandishi wangu umem misrepresent

Uzi Umeandika mwenyewe, na Hakuna mahali umetoa credit kwa kucopy kazi ya mtu.

Wala Hakuna mahali Umeandika "my take:.." tukajua labdaumeikwapua mahali.

Sahv unatuletea upuuz wa umecoppy&kupaste.

Yaan mara hii
Umenza kua Kama wale wa

"Rafiki yangu alikua naomba ushauri...."

Kumbe ndo yeye mweyewe
 
Mume wangu tulikutana chuo, mimi nikiwa na miaka 20, yeye 21. Tukaanza kuishi pamoja kama mke na mume.

Tulikuwa tukiandika majarida mitandaoni ndo tunapata pesa ya kujitunza wenyewe, na ndo pesa nilimsomeshea mdogo wangu kwani mama alikuwa mgonjwa na tuliishi maisha duni sana. Mimi na mume wangu tulilelewa na mama pekee.
Hii hadith umei-construct vizuri sana.nimependa sana uandishi wako.
 
Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi

Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa[emoji116]

"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Hakuna kitu wanaume kinatuumiza kama maneno aiseee
 
Back
Top Bottom