Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Sio infiriority. Ni vigumu sana kukubali kuzidiwa uwezo na mwanamke
 
Kaka umekereka sana maana [emoji2][emoji2]
 
Embu jaribuni kumsikiliza wenyewe kwanza inawezekana uandishi wangu umem misrepresent

 
Kuna kitu kipo hapo tujifunze ni kwamba hata mtu umpende vip ukampata ipo siku itakuja mchoka na ni bora kuachana kwa amani

Ndo maisha vyote tutaacha duniani
 
Pole dear
 
Embu jaribuni kumsikiliza wenyewe kwanza inawezekana uandishi wangu umem misrepresent

Uzi Umeandika mwenyewe, na Hakuna mahali umetoa credit kwa kucopy kazi ya mtu.

Wala Hakuna mahali Umeandika "my take:.." tukajua labdaumeikwapua mahali.

Sahv unatuletea upuuz wa umecoppy&kupaste.

Yaan mara hii
Umenza kua Kama wale wa

"Rafiki yangu alikua naomba ushauri...."

Kumbe ndo yeye mweyewe
 
Hii hadith umei-construct vizuri sana.nimependa sana uandishi wako.
 
Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi

Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa[emoji116]

"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Hakuna kitu wanaume kinatuumiza kama maneno aiseee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…