Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahha sio poaa kaka, haya mambo mepesi ukisimuliwa tuuKidogo nipasuke kwa kucheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti 'lifatuma kichwani'! Dah.
[emoji23][emoji23][emoji23] umenifurahisha sana mkuu.Unamwamini vipi mtu wa dar,mimi hata ndugu yangu akishaamua kuishi dar siwez muamini tena nakuwa nae kimachale,hawanaga huruma wale
Ulicho smell mi kinanukia hadi huku. Harufu yake ni kwamba wakati huyu dada anampambania jamaa aligawa uroda kufanikisha mipango kati ya hiyo. Kijana akavuta subra. Mwanaume akiwa kapuku ni mvumilivu sana. Mwanamke akiwa na kipato kuzid mwenzie risk ya mahusiano inakuwa juu maana mwanaume anahisi nguvu zake za asili zinakuwa undermined! Atapima kila kauli, kila tendo, kila kitu kujua kama woman loyalty ipo? Kumbuka matendo mil 72 mema kw mmeo yanafutwa na tendo moja kasorobo la kutokuwa mwaminifu au mtiifu!Tumesikia only one side of the story. Siwezi kuhukumu. I only smell something fishy there [emoji848]. Sijui kwanini...
Mahusiano ya saivi dada ni kuwa na exit plan mapema sana, asikudanganye mwanamme sijui umzalie ndio akuoe, utapigwa na lifatuma kichwani. Mbaya zaidi uko ndani ya mkenge huu ushauri wangu hauwezi kukusaidia.
Cha kufanya ni kupambana tu, jikung'ute vumbi simama songa mbele... Trust me atakuja siku moja akutafute kama anapajua kwenu ipo siku atakuja kukulilia na kusingizia ni shetani alimpitia.
Mimba sio kilema kama wazazi wako wapo wazima wambie hio scenario, wao wameyaona mengi kama hayo watakusaidia tu.
WANAUME TUSIUMIZE WADADA KAMA HAWA WANAOJITOA KWETU NI NADRA KUWAPATA[emoji24]