Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna wepesi kaka, tatizo kubwa sana hilo kwenye jamii yetu. Ila nina imani wanawake watachukua usukani na kuwa viongozi mambo ya kujilinda na kuzaa kwa kutegemea tu uwepo wa baba mtoto... bora wazae wakiwa tayari kwa lolote ili mtoto awe na kesho salama na uhakika zaidi.Ahahha sio poaa kaka, haya mambo mepesi ukisimuliwa tuu
Mada za wakina ROBERT HERIEL na The unpaid Seller zimenifanya niweje yaani.
Any way! Pole sana dada yetu, Mungu siku zote ni mwema, tena ni mwema mno jua tu utavuka salama kabisa.
Nitakujia Chemba ni kusupport kwa chochote kitu.
Umeniwahi. Ina dalili zote za TATEPA hasa kule mwishoni [emoji16][emoji16][emoji870][emoji870]Hii story umeitoa kwa idd makengo au?
Angalia nyuzi zake mara ni ke mara me hamna uhalisia kabisaUmeniwahi. Ina dalili zote za TATEPA hasa kule mwishoni [emoji16][emoji16][emoji870][emoji870]
View attachment 2264148
Dah ndugu pole nahisi una sababu ya kuamini hivyo ila tafadhali , wape nafasi wengine wema wapo ndugu [emoji120][emoji120]Unamwamini vipi mtu wa Dar, mimi hata ndugu yangu akishaamua kuishi Dar siwez muamini tena nakuwa nae kimachale, hawanaga huruma wale
It's reality! realy situation.Hii story umeitoa kwa idd makengo au?
Nilikwambia uje PM kama hiyo Sola ni ya Mobisol au Mysol lakini haujajaIt's reality! realy situation.
Pole sana Mfalme Daudi kwa kutelekezwa na ujauzito..