Haya yangetufaa maana sisi ni SC sio AfvVigagula fc
Matambiko fc
mbumbumbu fc
Jichagulieni jina jipya litakalotumika msimu ujao
Hamjaipigia promo kwakua nyie sio wenyeji wala sababu sio hiyo unayoisema hapa.Ndio kukomaa huko kisoka tunakotaka hata Yanga siku moja waje wafikie level hizo
Ukishapata upinzani kwa Al Ahly, Tp Mazembe, Rs Berkane, USGN, Orlando, Kaizer Chiefs utagundua wazo la kuipigia promo mechi ya Yanga kwa terms za kiupinzani ni bonge moja la UPIMBI
Hii mechi pengine Yanga walikuwa na mahesabu nayo miezi mingi huko nyuma lakini kwa ssisi Simba nikiwemo mimi nimekuja kuijua jana
Hiyo inakupa tafsiri gani?
Ni kwamba wakati Simba anafikiria ni namna gani atafuzu nusu fainali club bingwa ikiwezekana na kuchukua ndoo kabisa, Yanga anafikiria afanye nini ili kumfunga Simba.
Unazungumzia ile sare mliyoshangilia wiki nzimaMbona unaenda mbali kutafuta mifano wakati juzi hapo tulicheza?
Ukitaka tutumie mifano ya mbali sidhani kama utatoa ushirikiano wa kujadili zile 4-1 za FA
Da babra punguza makasiriko basi,yan povu limekutoka kuliko lile povu ulilolitoa uliposhikwa tako na mkude!Unapotumia neno mikia basi hapo kwenye jina la timu yako weka utopolo isomeke hivi "Utopolo wanafnya kama wanaiogopa mikia"
Dada wa jiesiem wewe
Mi nimezungumzia mechi yenu ya mwisho mliyocheza FA
Hiyo mechi unayoisema wewe ambayo huyo mayele alifunga hakuna mtu wa sports anaweza kuelezea kwa angle yeyote bila kuhusianisha na rushwa
Unakumbuka mara ya mwisho ilikua lini mikia kumfunga Yanga kwenye ligi?Hizi mbinu za kitoto, uwa zinaishia kwa kupewa kichapo na kutoka aibu
Asante sana kwa hitimisho murua kabsaa.View attachment 2204818
Siku zote kwenye harusi bwana harusi makini huwa hana mbwembwe. Mbwembwe anawaachia upande wa kikeni
Hiyo unayoisema wewe mistake kumbuka ndio ilikuwa sababu ya kamati nzima ya yanga kufanya mfululizo wa press kulalamikia hayo hayo unayoyaita ma mistakeHujui mpira umejawa na hisia. Mistake za au wachezaji unahisiana vipi na rushwa? Rushwa haikukiwi kwa hisia bali kwa uthibitisho kutokana na ushahidi wa mpokea na mtoa rushwa. Katufute highlights za mechi ya juzi kati ya Bologna dhidi ya Intermilan. Angalia goli la pili la Bologna je ingekuwa ndio Yanga wamepata goli la namna hiyo nadhani mishipa ingekutoka haswa. Mpira wa miguu unaambatana na mistakes
Niache kushangilia sare ya 1-1 na USGN nikiwa ugenini nianze kupagawa na sare ya dhidi ya uto si itakuwa ubwege huo?Unazungumzia ile sare mliyoshangilia wiki nzima
Mbona nyie mliipigia promo mechi yetu wakati sio wenyeji?Hamjaipigia promo kwakua nyie sio wenyeji wala sababu sio hiyo unayoisema hapa.
Kama simba ndo angekua mwenyeji ungeona jinsi msemaji wenu anavyozunguka na gari ya matangazo mtaani kuwaasa mkaujaze uwanja.
Ukizungumzia Aucho unazungumzia chances zilizotengenezwa na Yanga. Je unataka kusema kuwa Yanga hawakutengeneza mashambulizi yeyote kwenye lango la Simba? Kuna header aliyoipiga Aucho ambayo ilikuwa ni free header hukuiona? Kuna shuti la Saidoo lililogonga mwamba hukuona? Nyie mmetengeneza big chances ngapi? Tukija kwa Mayele, ni kwamba ni mchezaji mmoja aliyekabwa kwa mabeki wawili kusaidiana.Niache kushangilia sare ya 1-1 na USGN nikiwa ugenini nianze kupagawa na sare ya dhidi ya uto si itakuwa ubwege huo?
Sisi tulikuwa tuna send message kuwakumbusha mawazo yenu na fikra zenu ilivyoshindwa kufika mbali
Ile mehi naichukulia kama somo (siji kama viongozi wenu walijifunza) kwasababu kuna mengi ambayo mlikuwa mnayafikiria yakaja kinyume
Aucho mlimpa promo lakini siku ya mechi sina kumbukumbu kama hata alivuka mstari wa kati akiwa na mpira
Huyo mayele naye ndo mkampa promo lakini mwisho wa siku alijikuta akibembea kwenye msuli wa onyango
Mistakes walizolalamikia ni za waamuzi. Hoja yako ilikuwa ni kuhusisha rushwa kutokana mistakes za mchezaji nikakuambia nenda kacheki goli la pili la Bologna dhidi ya Intermilan uone kipa alichokifanya katika mchezo muhimu kama ule.Hiyo unayoisema wewe mistake kumbuka ndio ilikuwa sababu ya kamati nzima ya yanga kufanya mfululizo wa press kulalamikia hayo hayo unayoyaita ma mistake
Exactly [emoji817] hiyo ndio utofauti wa sisi Simba SC na utopolo.Ndio kukomaa huko kisoka tunakotaka hata Yanga siku moja waje wafikie level hizo
Ukishapata upinzani kwa Al Ahly, Tp Mazembe, Rs Berkane, USGN, Orlando, Kaizer Chiefs utagundua wazo la kuipigia promo mechi ya Yanga kwa terms za kiupinzani ni bonge moja la UPIMBI
Hii mechi pengine Yanga walikuwa na mahesabu nayo miezi mingi huko nyuma lakini kwa ssisi Simba nikiwemo mimi nimekuja kuijua jana
Hiyo inakupa tafsiri gani?
Ni kwamba wakati Simba anafikiria ni namna gani atafuzu nusu fainali club bingwa ikiwezekana na kuchukua ndoo kabisa, Yanga anafikiria afanye nini ili kumfunga Simba.
Chances ndio nini?Ukizungumzia Aucho unazungumzia chances zilizotengenezwa na Yanga. Je unataka kusema kuwa Yanga hawakutengeneza mashambulizi yeyote kwenye lango la Simba? Kuna header aliyoipiga Aucho ambayo ilikuwa ni free header hukuiona? Kuna shuti la Saidoo lililogonga mwamba hukuona? Nyie mmetengeneza big chances ngapi? Tukija kwa Mayele, ni kwamba ni mchezaji mmoja aliyekabwa kwa mabeki wawili kusaidiana.
Na ndio maana nimesema kama nyinyi ile hamkuichukulia mistake unafikiri ni busara kwa sisi kuona mistake kwenye jambo la kizembe kama lile?Mistakes walizolalamikia ni za waamuzi. Hoja yako ilikuwa ni kuhusisha rushwa kutokana mistakes za mchezaji nikakuambia nenda kacheki goli la pili la Bologna dhidi ya Intermilan uone kipa alichokifanya katika mchezo muhimu kama ule.
Jambo lipi la kizembe, kwahiyo uzembe wowote kwenye mpira wa miguu ni kupewa rushwa?Na ndio maana nimesema kama nyinyi ile hamkuichukulia mistake unafikiri ni budara kwa sisi kuona mistake kwenye jambo la kizembe kama lile?
Inamaana wewe ni mkubwa kimawazo kuliko uongozi wa yanga ulioweka tume ya kulalamika kwenye press kila uchao?Jambo lipi la kizembe, kwahiyo uzembe wowote kwenye mpira wa miguu ni kupewa rushwa?