Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

Mkopo wa miaka 8 ni uwendawazimu aisee. Huwa najiuliza watu huwa hawapigi hesabu kabla ya kuchukua mikopo? Inatia hasira sana kuona mtu anachukua 5m na kulipa kwa miaka mingi bila kujali analipa Tsh ngapi
Kama unaizungushia kwenye biashara unajikuta unatengeneza pesa nzuri kuliko hio unayo warudishia
 
Nyumba nyingi za Wafanyakazi wa Serikali zina gharama kubwa sababu ya mkopo wa muda mrefu japo nyumba husika akisema aiuze atauza kwa bei ndogo kuliko mkopo.

Unakuta nyumba ya milioni 30 anachukua mkopo ambao analipa jumla 68
 
Ukikopa 10m kwa riba ya 17% kwa muda wa 6 years, utatakiwa kulipa Jumla ya 25+m. Mikopo inatumika hesabu za future value of money. Yaani thamani ya 10m ya leo kwa miaka sita itakuwaje?
Kwani hiyo miaka 6 ijayo bado itakuwa mil 10 deni?
 
Kwa hesabu za fasta umelipa riba 28% na sio 17 % kama unavyosema , hapo zinaongezeka vipi ,kwa nini kwenye mkataba wa mkopo hawaelezi haya ??
 
Bado haingii akilini ulipe mara mbili ya deni.
Muda wa mkopo ndiyo uhamua gharama ya mkopo kwa u Jumla wake. Kadri muda unavukua mrefu na marejesho uwa makubwa (riba haibadiliki)
 
Ipo mkuu sema hujui

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Duuh,pole sana.
 
Kwa hesabu za fasta umelipa riba 28% na sio 17 % kama unavyosema , hapo zinaongezeka vipi ,kwa nini kwenye mkataba wa mkopo hawaelezi haya ??
Hapana, hesabu za benki riba huwa ni kwa mwaka, kwenye mkopo wangu ilionyesha hiyo 17%, ambapo kwa hesabu za kawaida ningelipa 51% kwa hiyo miaka 3. Hiyo 28% ni kwa miaka 3 so kwa mwaka ni 9.5%.
 
Wala siyo kweli. Ina maana hukujaza Mkataba mpaka usubirie slip? Maana mkataba huainisha kiasi chote unachopaswa kulipa.

Na hakuna benki Tanzania inayotoza riba ya zaidi ya asilimia 100. Hakuna.

Hii ni Chai.
UMBA YASIKUKUTEEE...OMBA SANA NDUGU[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio asilimia 100 tu bali 200...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…