Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Nilikupenda sana mke wangu, sikujua kama ningeharibu ua kwa kulimwagilia maji mengi

Nilituma upendo,nimerudishiwa maumivu
Ukalambe na kwingine tundu la sindano.๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kulambalambana ovyo na kufanya tendo bila staha mnafukuza uwepo Mungu na mnakaribisha roho chafu.
Matokeo yake mnabeba roho za uzinzi na uasherati na matokeo yake mnaona kucheat ni suala la kawaida
 
Kwako wewe ambae hujalelewa kwenye misingi ya ndoa
Baba na mama walioana Wakafariki
Nikachukuliwa na mlezi mwenye ndoa (famili with 2 kids)
Rafiki yangu kipenzi familia yake ilishawahi nilea kipindi fulani wazazi wake wameoana
Mwaka jana nilichanga harusi 3 na 4 niligoma kuchanga

Kifupi ndoa niliziona na naziona Ila kiukweli ni upuuzi tu.

Maana hawahawa wanandoa nikishuhudia nayoyaona nadhani zitavunjika ila Hayanihusu.

Waache wabaki na ujinga wao wa kutomban(a) huko duniani wakija ndani I LOVE YOU.

Refer:- mtoa mada na kutombew(a)

#YNWA
 
"๐—ก๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฒ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—ถ ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ! " ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Ukitaka mwanamke akuache, we jidai unamuonyesha mapenzi ya kweli. Haitachukua raundi
 
"๐—ก๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฎ ๐˜€๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฒ ๐—บ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜„๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ท๐˜‚๐—ถ ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ! " ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Ukute anaomba afumaniwe apigwe had asitamanike๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Back
Top Bottom