Nilikupenda sana...

ahahahahhah hakyamama sikuwahi kujua wananyamwezi mmeniwekea charm namna hii!
ujue Ablessed nilikuwa namzimikia tu siku nying sikujua kuwa ni mnyamwezi!
ehhhehehehheh yu guys niwekeeni maji kidgo basi!hamnitedei haki kwa kweli!

Nikuibie siri?
It is hard not to fall in love with mnyamwezi, l tell you.
Sema tuko somehow reserved, tungekuwa wote machakaramu kama The Boss na mzabzab mbona tungekimbiza JF.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ingia tu mwenzio anatoka na wewe wataka kuingia leo leo karibu na wewe hujaribu nyota yako:smile-big: kama mwenzio ameishi naye miaka 2 basi hata mwaka 1 wewe hutomaliza
 

Yaani si utamfanya mkunde originl atulaani sisi tunaomlaum kuja kukutaliki hapa jf kama atlast hii njia imework kuulainisha moyo uliogoma kwa 3 good yrs
 
Last edited by a moderator:
Sometimes try to have an artistic eye...an A to an artist is seen as a vertical line inscribed in two tilted horizontal lines...

The thing am doing is of the same intention as your very first post....

Yaani si utamfanya mkunde originl atulaani sisi tunaomlaum kuja kukutaliki hapa jf kama atlast hii njia imework kuulainisha moyo uliogoma kwa 3 good yrs
 
ngoja waje wanyamwezi wenzie waseme hapa!
nyie kina Sikonge, Kaunga The Boss Elli, KIKUNGU hebu mkuje huku
si mlikula mahari nyie,au na nyie mahari mliipokea kwa tigopesa?

Mie si mnyamwezi mama na bibi yangu ni wachaga so nimepewa jina la bibi yangu mzaa mama ndo alikuwa anaitwa Mkunde ni wachaga na nimekua nikijua mie ni mchaga hadi now as simjui baba wala ndugu zake.
 
Wewe ingia tu mwenzio anatoka na wewe wataka kuingia leo leo karibu na wewe hujaribu nyota yako:smile-big: kama mwenzio ameishi naye miaka 2 basi hata mwaka 1 wewe hutomaliza

Kwa jinsi nilivyo makini kuokota haya madesa hapa kwakweli mkunde akinichia tu lile gorofa mi sifanyi makosa
 
Fixed Point ndio alifaa kuwa mama malezi; weye mwalimu wa misosi, Da Sophy mwalimu wa sexology
ha haa, rafiki hii kazi unayonipa sijui imeanzia wapi? maana nasoma kwenye mention tu....
huu umama mlezi ni wa Mkunde Original tu au?
kama ni wa huyo bidada ntaweza kweli?
maana nina mengi sana hata sijui pa kuanzia, ila naona kuna walionitangulia wamefanya kazi nzuri sana....
haya nafunga kamba, hakuna kushindwa, si unaifahamu formula yangu? kitaeleweka tu mwisho wa siku....
ukiona hadi Da Sophy anatoa ushauri wa mlengo wa kushoto ujue hapa mtu anatakiwa mema....
Mkunde tuwasiliane tafadhali, malezi yanaanza faster.....
 
Last edited by a moderator:
hivi mkunde ni mnyamwezi?
Mimi nilifananisha na mkude (mji kasoro bahari)
Mkunde si mmea jamani? Au?

wakati nasoma nilitaniwa sana kama aina ya nafaka mkunde mchicha mbaazi ila nilikuwa mpole sana sikuwanajibu uchokozi wao. Hapana si mnyamwezi na mchaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…