Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

mmmmh bidada ebu vumilia kidogo bwana usimpe chance mwenzio otherwise kama umejipanga kweli kweli
 
Ha ha ha ha, unadhani mioyo mitukutu huja tu? Ni magunzo ya kijeshi ya miaka kadhaa

Umenikumbusha kitu, nimecheka kwa headphone, oops kwa spiker

its not an overnigt thing!
atuulize wenzie tulivyolowesha mito na kupishwa viti kwenye daladala(manake wanahisi sijui umefiwa)
 
Ndio changamka sasa

Usisubiri mtu mwingine akuonee huruma, tafuta suluhisho la matatizo yako wewe mwenyewe kwa kujiamini. Una haki ya kuishi kwa furaha, na iko mikononi mwako. Ongea na mumeo, sio kwa kujiliza liza, bali ukiwa unataka kupata suluhu ya matatizo yenu.


Nimekuuliza, ni kipi kinachokukera sana kwa mmeo?

Attention hasa hasa, yaani kwa kifupi uliyoniambia hapo juu ni kweli tupu na nimegundua mengi, bibi yangu was everything to me na yeye ndio aliniozesha kabla hata hajafariki. Nimeumia sana nakuwa na kitu au shida ya kumueleza baba mtoto yeye haoneshi attention hata au ukishamueleza unategemea a sympathy na wewe yeye ndo kwanza anachukua simu anaanza kuchat bila hata kukwambia kitu au anakwambia ok yaaani nilikuwa kama kichaa.............
Ila now nimegundua kitu usiku huu walah na hivi kesho sikukuu nahakikisha nayafanyia kazi haya yote akirudi silali hadi nimalize mzizi wa fitina. Asanteni sana.
 
Ha ha ha ha, unadhani mioyo mitukutu huja tu? Ni magunzo ya kijeshi ya miaka kadhaa

Umenikumbusha kitu, nimecheka kwa headphone, oops kwa spiker

umiona enh!
yani we wacha tu!
tena ukikuta ndo sisi watoto wa marehemu wajukuu wa kaburi!
uuuwih!yani hakuna kitu utaacha kusema angekuwa mamangu isingekuwa hivi,mara babangu angekuwepo nisingepata manyanyaso haya!
ehehhehehe komaa nae!oh!we unabaki kulia lia hapa mimi nimeachwa oh mimi sipendwi!
 
Kwako baba mtoto,
Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.

Ni wewe mama watoto, unayenifanya nijisikie nipo juu kwenye hii dunia...

Tafadhali nakuomba urudi nyumbani, tumlee mtoto wetu mke wangu...

Najua nimekukosea sana na nimeunyong'onyesha moyo wako...

Kwa kumaanisha kabisa ninaomba unisamehe, nipe tena nafasi nyingine...

Ni mimi mwandani wako, Baba nanihiii!!!
 
salamu kwa wakwe zangu wa zamani uwape, waambie maisha ni magumu siku moja kwa mumeo utarudi, hata mimi hakika nilikupenda sawasawa niipendavyo JF, sikuwahi kukusaliti wala kukushiti, kila lenye mwanzo halikosi mwisho mpenzi
 
Yaani umenichekesha kwa nguvu jamani hapo nilipo-bold, khah. Like real?!!!!

Mie nilidhani harudi home, hachangii matumizi au ana wanawake wengi mno. Jamani, kweli inabidi ujifanyie tathmini. Jaribu kumweleza na mmeo akusaidia kukua kihisia. Mweleze unavyoumia na ajaribu kukuvumilia kipindi hiki cha mpito wakati unajifunza kuwa dismainda sana.

Huna marafiki wa kukudistract? ila wasije kukutafutia mabwana. Hata hapa jf mbona ni distraction ya kutosha?
gfsonwin, kumbe nilikubishia bure, kweli ni attention.
cc snowhite
Attention hasa hasa, yaani kwa kifupi uliyoniambia hapo juu ni kweli tupu na nimegundua mengi, bibi yangu was everything to me na yeye ndio aliniozesha kabla hata hajafariki. Nimeumia sana nakuwa na kitu au shida ya kumueleza baba mtoto yeye haoneshi attention hata au ukishamueleza unategemea a sympathy na wewe yeye ndo kwanza anachukua simu anaanza kuchat bila hata kukwambia kitu au anakwambia ok yaaani nilikuwa kama kichaa.............
Ila now nimegundua kitu usiku huu walah na hivi kesho sikukuu nahakikisha nayafanyia kazi haya yote akirudi silali hadi nimalize mzizi wa fitina. Asanteni sana.
 
Last edited by a moderator:
Afu wakongwe kama Kaizer siwaoni kabisa

He he he, mkunde aleta kizaa zaa mmu

naona wanaume wanachungulia tu humu bila kutia neno; ninaanza kuwahisi baadhi. Katika guest hatakuwepo mzazi mwenzie Mkunde kweli? LOL
There are currently 103 users browsing this thread. (19 members and 84 guests)

 
Last edited by a moderator:
Yaani umenichekesha kwa nguvu jamani hapo nilipo-bold, khah. Like real?!!!!

Mie nilidhani harudi home, hachangii matumizi au ana wanawake wengi mno. Jamani, kweli inabidi ujifanyie tathmini. Jaribu kumweleza na mmeo akusaidia kukua kihisia. Mweleze unavyoumia na ajaribu kukuvumilia kipindi hiki cha mpito wakati unajifunza kuwa dismainda sana.

Huna marafiki wa kukudistract? ila wasije kukutafutia mabwana. Hata hapa jf mbona ni distraction ya kutosha?
gfsonwin, kumbe nilikubishia bure, kweli ni attention.
cc snowhite
hv unajua huo ni ugonjwa!
yani mtu anaumwa kabisa!anatafuta kujaliwa!mwe
 
Nawashukuru sana mlionipa ushauri humu mbarikiwe, nimesikia moyo wangu umepata dawa na uso wangu sasa umenyooka kwa tabasamu ninayopata, mbarikiwe nawaahidi kuyafanyia kazi na ile ya kuondoka nimeiweka miguuni maana nimeikanyaga nikipiga hatua moja mbele naiacha hapo. Pamoja sana MMU Mkunde anawapenda sana.
 
Nawashukuru sana mlionipa ushauri humu mbarikiwe, nimesikia moyo wangu umepata dawa na uso wangu sasa umenyooka kwa tabasamu ninayopata, mbarikiwe nawaahidi kuyafanyia kazi na ile ya kuondoka nimeiweka miguuni maana nimeikanyaga nikipiga hatua moja mbele naiacha hapo. Pamoja sana MMU Mkunde anawapenda sana.
natamani BAK angekuwepo akupe lisongi la ONE STEP AT A TIME!wa jordan Sparks
ukija na mashairi yake ndo poa zaidi!
JIPE MUDA!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom