Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
- Thread starter
-
- #101
so sad!!
lkn hii haikupi sababu ya kuifanya jf kikao cha ukoo cha kumtaliki mumeo.Bado ulikuwa unauwezo wa kutumia approach ambayo ni nzuri zaid kama kushirikisha marafiki wale wa karibu sana na hata wazee wa kanisa. huoni hapa unakuwa umejivunjia heshima na kuwafanya watu wengine kama mimi kuhisi kwamba huu ni utani??
Mie nahisi bibie ndio shetani wa ndoa yake mwenyewe.
Mie kuna siku niliweka hapa sred ya mwanamme emotional, people did not understand me.
Lakini kiukweli kwenye mahusiano lazima emotional stability iwe inakaribiana, sio mmoja iwe chini mwingine iwe juu sana. Mtaumizana sana kihisia wote bila kukusudia(emotional abuse). Unakuta mwingine ukisahau birthday analia siku nzima, wakati mwignine hakumbuki hata bday ya mama yake, na mwaka ujao hakumbuki vile vile.
umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.
mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.
hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.
be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.
hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.
Yaani wewe dada nakuona kama mjumbe aliyetumwa na mungu kutoka mbinguni, mbona sikupata maneno yako tangu mwanzo??? Naahidi jua halitazama leo bila kuyafanyia kazi maneno yako naweza kuwa nafikia ushindi bila kujua nakata tamaa. Asante sana, ubarikiwe.
kama hakuhangaika wakati upo nyumbani,ukiondoka ndio atahangaika!!!!!!
kama ulimwambia mkiwa nyumbani,then kwa sim the Message was sent and delivered
Mkunde Original hukuwa na haja ya kuja huku,usijitese zaidi mateso aliyokupa yanatosha.....
Ukiondoka nitakukata makofi ujue? Mie namaliza wino kukushauri hapa, unadhani unanilipa?
kufanya utani kwenye shuhuli ya mwenzio masihara hayo, vile tuu mie sijui kugombana wala ingekuwa baba mtoto wangu angeshakukata mitama. Punguza utani mwenzio niko siriasi.
af we mkubwa ujue!nimelazimika kufanya hivi maana kunawakati unamtumia message hazisomi na kama ilikuwa ni taarifa baada ya wiki anakwambia kwanini hukuniambia kuhusu hili kumbe meseji hasomi so nimetumia njoa zote ili kama moja itafail basi nyingine zitawork, nime tumaini hivyo.
hivi unamshirikisha Mungu kwenye hili??
umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.
mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.
hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.
be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.
hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.
Ha ha ha, najua mie kiazi.
Ngoja nimkuze huyu mkunde hadi awe mchicha feki.
Ha ha, nikupe siri kwa nini nimeamua kumpa ukweli huu? Kuna kitu amenigusa, ukitaka kujua just hola.
yani kama vile sisi tusivyopenda wale sijui ndo tunawaita mamas boy hata wanaume hawapendi papaz girl
unaweza kuamini hupendwi hujaliwi hufanwyi nini sijui kumbe mtu tu anataka a grown up woman in you!\
ila,
historia ya bidada na yenyewe has some charm on this !
huyu mamii mama yake alimwacha akaolewa na mudhungu,AKAJIHISI KUKATALIWA
huyu mamii akalelewa na bibi,bibi wa watu wacha adekeze,hajakaa vizuri bibi akafariki maskini,AKAJIHISI AMEACHWA
huyu mamii aliona labda awe na mwenza,mwenza nae ndo hivyo hardcore ,AKAAMINI HAPENDWI
huyu mamii aliamini familia ya mumewe itakuwa ya kwake,kauta familia ni melanchony kuliko maelezo,AKAHITIMSHA HANA THAMANI
(angalia namna anavyokomaa na mwanae,sijasema ni mbaya)MAANA NDIYE ANAAMINI NI WAKE PEKEE
kuwa mwanamke umeskia?? na sio uwe mschana.Kwakweli nimekuja hapa kutua ambayo nilitaka kuyatua kwa baba mtoto ni mume wangu wa ndoa ila nimeona nazidiwa kazi sizifanyi vizuri, moyo wangu somehow ulishakufa ganzi hauna hasira tena wala haujali kwakuwa nilishafanya rescue nyingi na hakuna iliyozaa matunda. Hata wanaofanya utani sina la kuwafanya wala kuajibu zaidi ya kuwapita tuu.
af sio mdogo wewe ujue!
ila hebu twende taratibu! Kongosho kaa kushoto\
sasa mamii dah!
manake umenifanya niwe na akili baa ya hii post!\
ilikuwaje ukadate na huyo mtu,mkaoana,mkazaa, halafu mpka mnafika hapa!\
manake si umeamua kuongea wacha tuongee!nimeacha kupiga puff hapa ila ombea King'asti asije humu!
mi mwenyewe kanitachimo! we acha tu
Na mie mke mwenzio leo ndio nahamia rasmi mjengoni,ukinyanyuka tu wenzio twakaa so usije ukabadili mawazo ati
Kila jumatatu na alhamis huwa nafunga na kufanya maombi ya faragha kwa ajili ya ndoa yangu huu mwaka wa 4 sasa.
Aliniapproach moja ya jumapili baada ya ibada na ilinichukua miezi sita kusoma na kumkubalia ombi lake. tulikuwa marafiki kwa miaka miwili na mwaka wa tatu tukaoana na maisha ndo yakaanza hapoo.
Aliniapproach moja ya jumapili baada ya ibada na ilinichukua miezi sita kusoma na kumkubalia ombi lake. tulikuwa marafiki kwa miaka miwili na mwaka wa tatu tukaoana na maisha ndo yakaanza hapoo.
kuwa mwanamke umeskia?? na sio uwe mschana.
ndo mana kifua chako kina manyonyo mawili hayo yanakuongezea nguvu ya kustahimili. ningelikuwa ni mimi nigetuliza akili yangu nikamwita Mungu nikamuuliza niani hatma yangu akiniambia sepa basi taratibu tena pasi hata jiran kujua nasepa akisema nitambadilisha basi namwabia rekebisha ma here for him.
acha ueki na uneng'ene acha kujiona huna msaaa na kwamba umesukumiwa kwenye kichaka cha miiba. amka uwe active kwaajili hata ya mwanao. usione watu wanakushauri wengine tuna experience mbaya kuliko hizi na still tumesurvive na sasa tuko paradiso