Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???

Kama imekuingia hiyo point, basi fanya maamuzi magumu ya kughairi kuondoka...
 
Hata mimi nilishangaa unaniagia huku laazizi, sasa turudi kanisani kule tulipokutana wakati tuna hofu ya mungu tukamweleze shetani ameshaiteka ndoa yetu ili tupewe faraja na kuirudisha ndoa yetu iliyoshuhudiwa na mungu, malaika na binadamu wenye sura na mfano wa mungu. Tafadhali usisahau tuwahi mapema ili tuonane na wachungaji wetu wa kiroho na pia uende kwa mama nanii msimamizi wa ndoa yetu nami naenda kwa baba nanii ili nao wawepo.

kufanya utani kwenye shuhuli ya mwenzio masihara hayo, vile tuu mie sijui kugombana wala ingekuwa baba mtoto wangu angeshakukata mitama. Punguza utani mwenzio niko siriasi.
 
Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???

dah!
ila inakuwaje lakini mambo haya?
 
Pole mamy.
Ndio maisha,kuanza upya si ujinga.
Nenda kaanze upya ila usisahau kufata taratibu ili muagane for good.

asante best, naondoka japo bado nampenda ila ndo nimechoka mnoo kana kwamba siwezi tena kuvumilia.
 
so sad!!
lkn hii haikupi sababu ya kuifanya jf kikao cha ukoo cha kumtaliki mumeo.Bado ulikuwa unauwezo wa kutumia approach ambayo ni nzuri zaid kama kushirikisha marafiki wale wa karibu sana na hata wazee wa kanisa. huoni hapa unakuwa umejivunjia heshima na kuwafanya watu wengine kama mimi kuhisi kwamba huu ni utani??
ukiacha zanzi unakuwaga na akili sana!
mi nilianza na puff tatu kabla sijaingia kwenye hi sredi ila inakoelekea nimeona niweke msuba pembeni tuongee na Mkunde Original
af mdogo wake Kaunga huyu!
 
Last edited by a moderator:
Pole, now I understand clearly. Ulitakiwa kuonesha umekulia katika familia gani tangu mwanzo ili wachangiaji tukuelewe wewe ni mtu wa aina gani.

Kwanza nataka ujue hili, "The truth is, everyone is going to hurt you. You just got to find the ones worth suffering for."

Usidhani kuna mwanamme utampata akawa perfect 100%, unachotakiwa kujiuliza ni je, anakupa furaha? Anatimiza majukumu yake? Ankupenda kwa dhati? Ukishajijibu maswali hapo juu, utajua kama anakufaa ama lah.

At 30, ulitakiwa kuwa mwanamke mkomavu, ngangari na mwenye kutafuta suluhisho la matatizo yake kwa njia za kiutu uzima zaidi, Hili ulilofanya hapa, ni kama binti wa miaka 17. Haliendani na umri wako kabisa.

Wakati huo huo, baada ya kujua umelelewa na bibi, uko peka yako, nimekuelewa kwa nini umetumia njia hii. Watoto wanaolelewa na bibi zao wanakuwa na deko zisizo za kiuhalisia. Unaweza kuwa ulizoea kubembelezwa bembelezwa bila sababu za msingi. Ndio maana labda hata huyu mwanamme uliyenaye anaona kero kushinda na wewe sababu unataka kila saa ubembelezwe (love sucker?')

Kwanza unatakiwa kujiuliza, kwa nini mzazi mwenzio anashinda mtandaoni? Unamkera? Na kama ndio, ni mambo yapi yanamkera?

na watu wengine husema, watoto wanaozaliwa na kulelewa peke yao huwa selfish in term ya vitu na hisia, je na wewe ukoje katika hilo?

Emotional stability yako pia unatakiwa kuichunguza, are you emotionally stable? Sio kakitu kadogo tu unaruka kama umeona simba. Kweli alichokifanya mzazi mwenzio kinastahili kuachana.

Mie nakushauri kwanza ujichunguze mapungufu yako, halafu ndio uanza kumlaumu mzazi mwenzio. Nashawishika kuamini kuwa wewe ndio chanzo cha matatizo, bila hata ya wewe kujijua. na inaweza kuwa inachangia na makuzi yako.

You can do better than this. Hii dunia sio laini kihivyo, usipokuwa imara wewe mwenyewe kutetea unalolitaka hakuna atakayekuja kukutetea. Be strong for you kid and hubby, hili linajadilika. Kaa nyumbani, pika, msubiri mmoe jioni akirudi mkalishe chini muongee. Waweza jaribu kumuuliza kama na wewe unamkwaza, usidhani wewe ni malaika.

Na pia jaribu kuangalia mmeo kakulia mazingira yapi, kama ni mtu asiye emotional sana, ujue hapo kuna 'clash' Inabidi mjadialiane mtachukulianaje hizo tabia zenu za kuhisia.

Mengi ya kuandika hapa.
Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.
 
Pole, now I understand clearly. Ulitakiwa kuonesha umekulia katika familia gani tangu mwanzo ili wachangiaji tukuelewe wewe ni mtu wa aina gani.

Kwanza nataka ujue hili, "The truth is, everyone is going to hurt you. You just got to find the ones worth suffering for."

Usidhani kuna mwanamme utampata akawa perfect 100%, unachotakiwa kujiuliza ni je, anakupa furaha? Anatimiza majukumu yake? Ankupenda kwa dhati? Ukishajijibu maswali hapo juu, utajua kama anakufaa ama lah.

At 30, ulitakiwa kuwa mwanamke mkomavu, ngangari na mwenye kutafuta suluhisho la matatizo yake kwa njia za kiutu uzima zaidi, Hili ulilofanya hapa, ni kama binti wa miaka 17. Haliendani na umri wako kabisa.

Wakati huo huo, baada ya kujua umelelewa na bibi, uko peka yako, nimekuelewa kwa nini umetumia njia hii. Watoto wanaolelewa na bibi zao wanakuwa na deko zisizo za kiuhalisia. Unaweza kuwa ulizoea kubembelezwa bembelezwa bila sababu za msingi. Ndio maana labda hata huyu mwanamme uliyenaye anaona kero kushinda na wewe sababu unataka kila saa ubembelezwe (love sucker?')

Kwanza unatakiwa kujiuliza, kwa nini mzazi mwenzio anashinda mtandaoni? Unamkera? Na kama ndio, ni mambo yapi yanamkera?

na watu wengine husema, watoto wanaozaliwa na kulelewa peke yao huwa selfish in term ya vitu na hisia, je na wewe ukoje katika hilo?

Emotional stability yako pia unatakiwa kuichunguza, are you emotionally stable? Sio kakitu kadogo tu unaruka kama umeona simba. Kweli alichokifanya mzazi mwenzio kinastahili kuachana.

Mie nakushauri kwanza ujichunguze mapungufu yako, halafu ndio uanza kumlaumu mzazi mwenzio. Nashawishika kuamini kuwa wewe ndio chanzo cha matatizo, bila hata ya wewe kujijua. na inaweza kuwa inachangia na makuzi yako.

You can do better than this. Hii dunia sio laini kihivyo, usipokuwa imara wewe mwenyewe kutetea unalolitaka hakuna atakayekuja kukutetea. Be strong for you kid and hubby, hili linajadilika. Kaa nyumbani, pika, msubiri mmoe jioni akirudi mkalishe chini muongee. Waweza jaribu kumuuliza kama na wewe unamkwaza, usidhani wewe ni malaika.

Na pia jaribu kuangalia mmeo kakulia mazingira yapi, kama ni mtu asiye emotional sana, ujue hapo kuna 'clash' Inabidi mjadialiane mtachukulianaje hizo tabia zenu za kuhisia.

Mengi ya kuandika hapa.
hata mimi ile post yake ilizimua akili yangu kiasi amcho mpaka niliogopa!\
sante shosti!
kuna issue hapa!
 
ukiacha zanzi unakuwaga na akili sana!
mi nilianza na puff tatu kabla sijaingia kwenye hi sredi ila inakoelekea nimeona niweke msuba pembeni tuongee na Mkunde Original
af mdogo wake Kaunga huyu!
leo niko poa kabisa manake jana nimelala na chupa za gin kama mbili hivi kichwan. sasa ile akili ya kubalance equation nio ninaitumia hapa
 
Hapo ndio unapokosea, too much emotions

Afu kuna wanamme hawazipendi, hizi za kujiliza liza bila sababu.

Labda uliondoka bila jambo la msingi na halafu ameshakusoma unapenda kujiliza liza, ameona asijali tena maana ndio hobby yako.

Kuna mwanamke kula kwetu kila akigombana na mmewe anaenda kwao, mme hamfuati hata mwezi, anarudi mwenyewe.

Sasa wewe unaenda kwa wifi yako, unadhani yeye hana matatizo na boufurendi wake? Kila mahusiano yana matatizo yake, kikubwa ni wewe kujua unataka nini maishani.

Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???
 
Kuna jamaa alimuacha mkewe wa ndoa kwa mbwembwe na akaowa mwingine. Aliyemuacha walishazaa mtoto mmoja... Kuja kushtuka huyu mke mpya hazai, mwisho wa siku jamaa anaiba na mtalaka wake na hadi naingia mtandaoni, wameshazaa mtoto mwingine... ETI WANAENDELEA KUIBA


Hhehehee walau umenipa tabasamu usoni kupunguza majonzi kwa hiyo story yako.
 
leo niko poa kabisa manake jana nimelala na chupa za gin kama mbili hivi kichwan. sasa ile akili ya kubalance equation nio ninaitumia hapa

kuna shida hapa!
thanks to konnie ameliweka vizuri kuliko maelezo
 
Hapo ndio unapokosea, too much emotions

Afu kuna wanamme hawazipendi, hizi za kujiliza liza bila sababu.

Labda uliondoka bila jambo la msingi na halafu ameshakusoma unapenda kujiliza liza, ameona asijali tena maana ndio hobby yako.

Kuna mwanamke kula kwetu kila akigombana na mmewe anaenda kwao, mme hamfuati hata mwezi, anarudi mwenyewe.

Sasa wewe unaenda kwa wifi yako, unadhani yeye hana matatizo na boufurendi wake? Kila mahusiano yana matatizo yake, kikubwa ni wewe kujua unataka nini maishani.

sema wewe kiazi!
 
Mie nahisi bibie ndio shetani wa ndoa yake mwenyewe.

Mie kuna siku niliweka hapa sred ya mwanamme emotional, people did not understand me.

Lakini kiukweli kwenye mahusiano lazima emotional stability iwe inakaribiana, sio mmoja iwe chini mwingine iwe juu sana. Mtaumizana sana kihisia wote bila kukusudia(emotional abuse). Unakuta mwingine ukisahau birthday analia siku nzima, wakati mwignine hakumbuki hata bday ya mama yake, na mwaka ujao hakumbuki vile vile.

hata mimi ile post yake ilizimua akili yangu kiasi amcho mpaka niliogopa!\
sante shosti!
kuna issue hapa!
 
Ha ha ha, najua mie kiazi.
Ngoja nimkuze huyu mkunde hadi awe mchicha feki.

Ha ha, nikupe siri kwa nini nimeamua kumpa ukweli huu? Kuna kitu amenigusa, ukitaka kujua just hola.

sema wewe kiazi!
 
bwana yaani mimi siku hizi nashindwa hata kusema. Huyu anamtaliki mumewe kisa anashinda mitandaoni nyumban hamwoni na hana msaaa kwa mtoto. Lakini ninajiuliza hili tatizo lilianza lini?? je alishawah kuchuukua hatua gani?? assume alifanya yote yaliyotakikana yakashindikana kumrekebisaha akafika mahali akasalimu amri.

sasa kweli ndipo uende twitter, fb, jf, bbm and the like kumtaliki mumeo?? halafu unajisifu ni jina lako halisi na sura ni yako, imaginie ni watu wangapi wanaosoma haya?? je kama ni wewe kweli umejiharibia vipi??

hivi unategemea kwa staili hii umpate mume bora?? yumkini huyu ataishia kupata bora mume.

NARUDIA KUSEMA KAMA ALISHINDA KANISANI VITI VYA MBELE NA AKAAMBULIA HUYU SASA ANATEGEMEA AKUTANE NA MALAIKA ILIHALI KAMUACHA MUME WA UJANA??
Mkunde Original rudi magotini ongea na Mungu wako kama ulikuwa unaenda kanisani kumtega Mungu akupe mume basi omba toba ya kweli kwa Mungu kisha funga kwaajili ya ndoa yako.Yumkini ulishindwwa kufikia ule utakatifu Mungu alokusudia uufikie ili akupe mume aliyefanana na wewe sasa ndio wakati wako wa kuanza kufanya toba uufikie huo utukufu ili ambadili mumeo.

Jua wazi kwamba tatizo sio mumeo tataizo ni hicho kilichoko nani ya mumeo na mwenye uwezo wa kukibadili ni unu peke yake. Ujue shetani ni mjanja sana anakutizama na atakuletea mwanaume mwingine useme mume ndo huyu lkn nakumbia hata huyo atakuwa ni majanga kuliko hata huyu wa kushinda mitandaoni.

nakutakia kila la heri ila nakushauri sana usimtenge mwanao na baba yake hata kama wewe utaondoka

Yaani wewe dada nakuona kama mjumbe aliyetumwa na mungu kutoka mbinguni, mbona sikupata maneno yako tangu mwanzo??? Naahidi jua halitazama leo bila kuyafanyia kazi maneno yako naweza kuwa nafikia ushindi bila kujua nakata tamaa. Asante sana, ubarikiwe.
 
asante best, naondoka japo bado nampenda ila ndo nimechoka mnoo kana kwamba siwezi tena kuvumilia.
umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.

mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.

hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.

be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.

hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.
 
Back
Top Bottom