Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
ha haaa, nimelipenda hili jibu lako rafiki.......umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
kumbe makonzi yakichanganywa na gin ukapata usingizi ukiamka kesho yake unakuwa na akili timamu!!!!! snowhite, Kaunga, Kongosho na cacico hongereni kwa makonzi ya jana kwa rafiki yetu......
leo naona yupo sober si mchezo
Last edited by a moderator: