Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Anataka kuolewa kisa maisha magumu.Maisha magumu.
Uzuri sio mimi ilikuwa ni wewe, haya tuambie ulifanyaje?Kama ni Wewe ungefanyaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kuolewa kisa maisha magumu.Maisha magumu.
Uzuri sio mimi ilikuwa ni wewe, haya tuambie ulifanyaje?Kama ni Wewe ungefanyaje hapo?
Oya tupo kwenye jukwaa letu bana usitusumbue! hizi ndo mada zetu m.m.u we vp?.Thread kama hizi ndizo zinatrend JF! unajifunza nini kutoka thread kama hii! Jf masikini! Maxence Melo
Safi kabisa chea maniNyama kwa nyama inauma kwa malaya, kwa sababu malaya hana feelings na hana muda, anataka ukojoe asepe. She cant be wet.
Mwanamke mwenye nyege na wewe anakuwa wet kwa wepesi. Kavu kwake haiwezi kuuma maana dudu inateleza tu
Aend jukwa la Uchumi kuleOya tupo kwenye jukwaa letu bana usitusumbue! hizi ndo mada zetu m.m.u we vp?.
Ndo nashangaa amekuja hapa kuleta makasiliko yake.Aend jukwa la Uchumi kule
Amejichanganya😅😅Ndo nashangaa amekuja hapa kuleta makasiliko yake.
Si vibaya tukawa tunashare stori za hapa na pale. Zinatuwezesha kujifunza lakini pia kutupa Burudani.
Mwezi uliopita nikiwa katika Mishe mishe zangu nza kusaka Maisha nikiwa nimebeba mafaili ya No Reform, Poor Election.
Basi nikakutana na Dada Mzuri tu alikuwa kavaa Baibui, Mweupe Kiasi.
Pale pembeni walikuwepo Wanawake wengine wawili wanaonekana na umri under 30.
Kwa kuwa nilikuwa pia mawindoni Bi Dada alinielewa nilichoniweka pale. Japo nilikuwa nimepita kuweka Oild Tumboni Nipate Fuele ya Energy.
Dada nikamsalimia maongezi hakaendelea. Alikuwa mzuri kiasi hana baya.
Basi wale wadada wengine wakaondoka, mhudumu akajisemea mbona hao wadada wanaongea stori chafilu chafu tu? Dada huyu ambayw kashkua rafiki akadakia, Wanajiuza hao. Hawana Lolote ni Malaya tu.
Nami sikuacha stori iendelee hivi hivi, nikasema mbona wazuri hao na tena bado wadogo wanashida gani?
Dada Rafiki Yangu akasema, wanahangaika tu hata mimi nilifanya sana hizo kazi. Na wao watachoka tu wataziacha. Hazina faida zaidi ya kuchoka tu na kudhalilisha utu wako.
Unasikia Kaka? Mimi Eeh? Yaani enzi zangu mimi usinione hivi hizo kazi nimefanya sana.
Nilikuwa Mkoa wa Mtwara, kule nilikuwa nalala na vichwa hata 10 kwa usiku mmoja. Asubuhi natoka na maumivu sana. Tena afadhali kama umetumka kondomu i a mafuta mafuta. Lakini Nyama kwa nyama inauma sana.
Kuna Wakati unakutana na Mwanaume ana siku nyingi hajafanya harafu anataka nyama kwa nyama aisee....inauma sana.
Mipango yangu kichwani ya mawindo ilikata ghafla kama umeme wa Tanesco. Kidudu kilisinyaa, nikajawa na mawazo kichwani. Huku niki imagine inawezekana vipi Mwanamke kulala na wanaume 10 kwa siku?
Wakati nawaza hayo, akajisemea. " Sasa hivi nimeamua kutulia, nawaza nitampata wapi Mwanaume wa kunioa, Heri Niolewe tu na mimi nipate wangu. Maisha magumu.
Aisee.
Kama ni Wewe ungefanyaje hapo?
Nawasilisha
À Bion̈tot, bonjournée
Hahaha, Bro ukorofi huu.Ukiona huwezi ujue tayari wewe ni pro kwenye game!!
Duh dr anazichapa haswa.Vichwa 10 kwa siku ni kawaida sana kwa hawa dada poa hususan asipopata sleepover
Nakumbuka kuna kipindi nipo chuo, mwaka wa pili semester ya mwisho na mwaka wa tatu nilikua navusha Sketi mpaka 3 kwa siku [almost 15 kwa wiki] aisee ilifikia kipindi nilichoka mpaka ilikua nikitembea road naonekana kama mlevi, nikiingia venue au group discussion niponipo tu kama Zoba sielewi kitu
Nilipokua nakaa kulikua na daktari mmoja (ajira mpya lakini age mate) ndo tulikua tunashindana kuvusha aisee jamaa alikua anapenda sketi yule Dunia nzima sijapata kuona, niliamua kusurrender. Kwa hesabu ya kawaida jamaa kwa wiki analaza zaidi ya 20.
Mimi nilifanikiwa kuacha iyo michezo baada ya kugraduate ila jamaa angu ndo dini yake mpaka keshokutwa.
Kuna muda nao K zao zinaimba amelowa amelowa.... ukimkuna vizuri nae anakupapasaKuna malaya atakubali umdinye hila condom kweli? Na mtu unapata wapi ujasiri wa kula malaya bila kinga??