Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

Nyie mliokula hela za ada alikuwa na uhakika hata kama issue itabuma mzazi wako atalipia tena mi alikuwa kabsa kula hata sh Mia kwa sababu familia yangu nilikuwa najua tabu wanazopitia adi nilipe
Ni ukweri kabisa wengi waliokula ada za shule familia zao zilikuwa zinajiweza Ila pamoja na ivo ni utoto na tamaa ulikuwa unatusumbua
 
dahh dogo umenifanya nicheke ile mbaya.Nilikuwa jeeuri lakin kula hela ya ada sijawahi.japo na mimi nimewahi kula kichapo ile mbaya kwenye ishu zingine
 
Mi nilikula kama roho ya michango pamoja na ada kwenye 500 nikapeleka 300 risiti nikapewa nikatumia kalamu nyeusi kurekebisha ionekane nimelipia 500 mambo yakaenda hivyo nikizungushana na mwasibu mpaka namaliza shule nadaiwa.

Sikuwahi kufata cheti wala nini mana nilizungusha nikavamia mtaa kaanza kuzisaka mungu si mwajuma mambo yanasonga...
 
Nimepapenda hapo uliposema "hadi demi wako akawa analia".

Aisee, kama mnamawasiliano..mtafute umnunulie japo coke baridi
 
Nikiwa msingi Kama la pili HV Kuna jamaa aliiba ada mwalimu aliyoweka mezani kitu Kam 430 enzi hzo [emoji23][emoji23] jmaaa alikuja pigwa hatari akaishia lasaba bhan

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna shule nimewasusia cheti cha advance, wananidai kama 200k hivi, sijui niliitumia vipi.
 
Tamaa ya hela nyingi nikatumia ada kununulia dhahabu(kofuli lililobondwa) kwa thamani ya sh.laki 2.5. Ili nikapate milioni 15.
 
Nilikuwa bingwa wa kula ada mpaka chuo. Niseme tu ni Mungu alikuwa upande wangu yani linatokea lakutokea napata hela nalipa. A'level kuna muda nilikuwa nadaiwa mpaka 794k nailipa. Chuo mpaka 1M nailipa ila unaishi kwa mateso badae nikajifunza hela isiyo yangu hailiki.
 
Maharufu = maarufu. Ulikuwa mpuuzi kula hela ya ada.
 
Wizi wa WaTz ni wa kuzaliwa nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…