Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madhara ya kula hela mkuu😁Bwege kabisa wewe, yani hadi unafika sekondari lakini haujui kutofautisha L iwe wapi na R ikae wapi shenzi wewe
😁😁😁😁😁Nilikula hela ya mtihani 30k,nikiamini ntairudishia mana kuna bro aliniahidi atanipa,baada ya kula hela mishe ikagoma,kila kitu kikawa kinafeli.
Iliniokoa kamali,
cheki avatar ya huyo mdau.Hahahaha kwann ulijua ni mimi mkuu
Ahahahahaa jamani!Ujue zaman wanafunz walikuwa wanakula Sana ada lkn saiv wazazi ndo walaji wa Ada ,kumbe wale wanafunz wàliokuwa wanakula ada zaman ndo wazazi saiv[emoji3][emoji3][emoji3]
Ulianza kuchakatwa ungali mdogo kabisaMim pia nishawai kula ada. Sema niliilipa mwenyewe nilikua na mahusiano na mtoto wa tajiri kwa hyo vi laki laki hivi nilikua nahongwa kirahis.
Tupe huu mkasa ulikuwajeWatu tulimaliza elimu kimiujiza ujiza, ushawahi jihamisha shule tatu kuwapoteza wazazi maboya 😅😅😅
You r not my typeNdio unataka na ww unichakate.
Ulikimbia ninNilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Kisago.Ndio kilichokua kinafata na wale maticha walikua wanakupiga mande.Nikalala mbele.Ulikimbia nin
Mdomo wa chini au wa juu?Aisee, ulipigwa mpaka mdomo ukavimba?
Leo unanipeleka wapi mdogo wangu😂😂😂😂😂Wacha weeh.
🤗🤗🤗🤗🤗🤗😋😍😘Lunch Wag hill
Jion The Breeze kaka angu
Mzee alihakikisha unacheza beki usilete mashambulizi mbele,mzee alikuwa makini na pesa zake safiiMzee alikuwa ana challange kila mchango anaouona kwenye karatasi. Utasikia "hii sidaiwi"," hii nimelipa", "hapa iliyobaki ni hii na hii". kwa kibano kile nilikuwa sina hata ujasiri wa kumbambikia hata mia.
Lete kisa hicho mkuu[emoji16] umenikumbusha mbali sana nitaleta kisa changu hapa