zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Hahaha jomba ulitisha,bibi inaonekana ulimtesa Sana,Mara ela za test tubeNilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.